kiredio Jr
JF-Expert Member
- Jul 8, 2024
- 989
- 1,843
Nikikua nitaacha nini?Unaonekana wewe ni mvulana sio mwanaume, anyway ulikuwa utaacha
Nikiweka picha haitakuwa uamuzi mzuri, ila ujumbe unatoshaHebu kapicha tuoanishe na maneno yako
Mimi siwezi kuleftUzuri tunawaachia wanawake, mwanaume kaza usije ukaleft group
Ujumbe bila picha ni chai🤣Nikiweka picha haitakuwa uamuzi mzuri, ila ujumbe unatosha
Pre bargain unaanza mapema.Jimbo appHebu kapicha tuoanishe na maneno yako
ukiombwa unatoa siyo kutuhangaisha na kututamanishaNimeamini kuwa mtanashati ni mzigo mkubwa, hasa ukiwa hauna strong financial stability, expectations zinakuwa kubwa kwa watu wanao kuona, wanalinganisha muonekano wako na kipato chako.
Ukiwa umebarikiwa muonekano mzuri, wengi watadhani hata mfuko wako upo vizuri, huenda unabangaiza na kupata kidogo. Ukazingatia unadhifu na mavazi mazuri yasiyo na gharama, lakini bado watadhani wewe ni pedeshe.
Hayo yote yananikuta mimi, kila sehemu nikienda nakaribishwa kifalme kwa sababu ya muonekano tu, kumbe mfukoni ni mtu wa hali ya kawaida kabisa.
Am tired of this......
Sina tabia za kulamba lips, picha siwezi kuwekaWeka picha mjongeo ukiwa una lamba lips
Nikiombwa nini?ukiombwa unatoa siyo kutuhangaisha na kututamanisha
Mimi ni mwanaume sio mwanamke, nimesema utanashati sio uzuriWadogo zangu wa kike mnakazi sana daah,kwa hiyo wewe mzuri..........
Sijakuelewa MkuuPre bargain unaanza mapema.Jimbo app