joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Si ndio uzuri wenyewe sijasema mrembo,ila mzuriii.........Mimi ni mwanaume sio mwanamke, nimesema utanashati sio uzuri
Watoto wa kiume wa siku hizi,kuna vitu vya kujisifia mtoto wa kiume ila sio kujisifia uzuri, dada zangu mna kazi sana..........