Ajiuzulu! Wewe unaweza? Siku zote jungu kuu halikosi ukoko. Ng'ang'ana hivyo hivyo mkuu, kwenye kuvunja kamati mambo yatajiseti.Tatizo lipo kwako Mwenyekiti. Jiuzulu
changamoto saanaAnamtaka mc garab 😂😂😂...anaoa binti wa instagram au bwanaharusi naye ni walewale tu...yan kashindwa toa 5m anataka ampe mtu 4m kwa ajili yakupiga piga kelele masaa 3 sijui manne
Mazoea mabayaInawezekana sana tu na inakuwa na Raha yake mno. Watu wangu wakaribu huwa nawashauri hivyo wanakubali, baadae unashangaa kadi ya kuomba mchango. Sijui shida huwa ni Nini?
Kazii iishie hapoHiyo milioni moja iliyo mkononi. Nyumbani kwa maharusi kupambwe vizuri
Nnunueni
Mbuzi
Michele
Ndizi
Viungo vya pilau
Pombe (kama ni wanywaji)
Tafuteni kijana kwa laki mbili apige disco
Naunga mkono hoja. Aende akaoe asubuhi na mapema, akishamaliza aendelee na kazi zake then jioni akitoka kwenye majukumu anafanya shere ndogo home na hio laki 5 yakeJamaa kama kachanganyikiwa hivi, nimemshauri afanye kama Lulu na Majizo.
Siku zote ukiona mwanamke anakupayukia jua hujafiti kuwa King..jichunguze..anakua ashakuona ww si lolote umepwaya mno..wanawake wenyewe hawa, baada ya wiki, anaanza kukupayukia na kutaka kuwa 'sawa' na wewe
piga ya mkeka acha ujinga
Trust me haitoshiHiyo milioni moja iliyo mkononi. Nyumbani kwa maharusi kupambwe vizuri
Nnunueni
Mbuzi
Michele
Ndizi
Viungo vya pilau
Pombe (kama ni wanywaji)
Tafuteni kijana kwa laki mbili apige disco
Hongera Bi HarusiAnamtaka mc garab 😂😂😂...anaoa binti wa instagram au bwanaharusi naye ni walewale tu...yan kashindwa toa 5m anataka ampe mtu 4m kwa ajili yakupiga piga kelele masaa 3 sijui manne