palsa
JF-Expert Member
- Apr 24, 2011
- 1,339
- 1,701
Kama huna hela ya kufanya sherehe ni lazima kuifanya, Majizzo na pesa zake kafanya kitu simple kazi kwenu wananchi wanyonge.Babu tatizo ni umasikini ukisema ujitutumue peke yako siku ya sherehe utakuja kuwalisha watu ugali na samvu