Kuwa Mwenyekiti wa kamati ya harusi ni kazi sana

Kuwa Mwenyekiti wa kamati ya harusi ni kazi sana

Pledges za michango yote ni milioni 18, harusi ni mwezi huu wa tatu mwishoni, hadi muda huu watu wachache wametoa, cash iliyopo ni milioni moja kasoro. Bwana Harusi kachanganyikiwa kaniachia mipango yote nipange mimi, nafanyaje?

Bwana Harusi aliahidi kutoa milioni tano lakini katoa laki tano tu, nyingine hajatoa, anamtaka MC Garab wakati uwezo hana, yaani ni kama ndugu wamemsusia, simu hawapokei, nimemshauri asifanye sherehe ni kama haelewi, sijui itakuwaje.
kwahiyo kuja Jf kunitia Aibu ndo nini??
 
Nilishawahi kuwa mshika fedha ya shuguli moja hvi ndg hapo hapo nkapotea watu walisikiaa nko kusini nlijipatia nauli[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kitambo sanaaa hiyoo

Ova
Hahahahaa waliingia cha kike
 
harusi ni jambo la kifamilia mimi sitaki kabisa mambo yakuwekana mbele kama padri anaongoza ibada. Kuna rafiki yangu alifunga ndoa mwezi uliopita, aliweka milioni 5 hakuna mchango wa mtu. Tulitoa order hotel moja matata waandae chakula chenye thamani ya sh 20,000 kwa kila mtu, vinywaji tulipiga bajeti ya bia 10 kwa kila mtu yani 25,000 (kumbuka wengine hawanywi pombe gharama inashuka) jumla max 45,000 kwa kila mtu. Waalikwa 30 upande wa bibi na 30 baba.. 45,000*60=2,700,000 iliyobaki ilitumika kwenye mavazi na vitu vingine vidogo vidogo. Sehemu ya shughuli hotel waliandaa kwa gharama zao cause ni order kubwa.. watu walikula wakasaza, wakatambaa tulikesha mpaka majogoo..


Mkuu ii idea n nzr ntaitumia uko mbele.
 
Ujinga mwambie bwana harusi achanganyikiwe mpaka atembee uchi, ka pledge 5M katoa laki5, anataka mambo makubwa asiyo na uwezo nayo, stupid!
Alitangaza hivyo mwisho wa siku zawadi ingetokea kwenye hela aliyojitangazia, angesema tiyari kawekewa kwenye account, fool!

Aende kanisani akitoka hiyo laki5, aende fungate na mkewe siku 2, wakirudi, maisha yaendelee.
Atakoma kama anaoa wadada wa Instagram.

Everyday is Saturday................................😎
Kuna siri moja nime-note kwenye harusi za namna hii hapa Bongo. Mafukara ndiyo hutaka harusi za gharama.
 
harusi ni jambo la kifamilia mimi sitaki kabisa mambo yakuwekana mbele kama padri anaongoza ibada. Kuna rafiki yangu alifunga ndoa mwezi uliopita, aliweka milioni 5 hakuna mchango wa mtu. Tulitoa order hotel moja matata waandae chakula chenye thamani ya sh 20,000 kwa kila mtu, vinywaji tulipiga bajeti ya bia 10 kwa kila mtu yani 25,000 (kumbuka wengine hawanywi pombe gharama inashuka) jumla max 45,000 kwa kila mtu. Waalikwa 30 upande wa bibi na 30 baba.. 45,000*60=2,700,000 iliyobaki ilitumika kwenye mavazi na vitu vingine vidogo vidogo. Sehemu ya shughuli hotel waliandaa kwa gharama zao cause ni order kubwa.. watu walikula wakasaza, wakatambaa tulikesha mpaka majogoo..
Hii ndiyo harusi ya watu wenye akili. Maskini wengi wana inferiority complex hivyo huwa wanaona kufunga ndoa ndogo ni kujidhalilisha.
 
Pledges za michango yote ni milioni 18, harusi ni mwezi huu wa tatu mwishoni, hadi muda huu watu wachache wametoa, cash iliyopo ni milioni moja kasoro. Bwana Harusi kachanganyikiwa kaniachia mipango yote nipange mimi, nafanyaje?

Bwana Harusi aliahidi kutoa milioni tano lakini katoa laki tano tu, nyingine hajatoa, anamtaka MC Garab wakati uwezo hana, yaani ni kama ndugu wamemsusia, simu hawapokei, nimemshauri asifanye sherehe ni kama haelewi, sijui itakuwaje.
Sherehe ya harusi inafanyikia mkoa gani?
 
Pledges za michango yote ni milioni 18, harusi ni mwezi huu wa tatu mwishoni, hadi muda huu watu wachache wametoa, cash iliyopo ni milioni moja kasoro. Bwana Harusi kachanganyikiwa kaniachia mipango yote nipange mimi, nafanyaje?

Bwana Harusi aliahidi kutoa milioni tano lakini katoa laki tano tu, nyingine hajatoa, anamtaka MC Garab wakati uwezo hana, yaani ni kama ndugu wamemsusia, simu hawapokei, nimemshauri asifanye sherehe ni kama haelewi, sijui itakuwaje.
Milioni moja kwetu inatosha mahari na gharama za harusi. Acheni kuendekeza ujinga!
 
Pledges za michango yote ni milioni 18, harusi ni mwezi huu wa tatu mwishoni, hadi muda huu watu wachache wametoa, cash iliyopo ni milioni moja kasoro. Bwana Harusi kachanganyikiwa kaniachia mipango yote nipange mimi, nafanyaje?

Bwana Harusi aliahidi kutoa milioni tano lakini katoa laki tano tu, nyingine hajatoa, anamtaka MC Garab wakati uwezo hana, yaani ni kama ndugu wamemsusia, simu hawapokei, nimemshauri asifanye sherehe ni kama haelewi, sijui itakuwaje.
Chukua hiyo milioni moja weka mkeka wa odd 2 kila siku baada ya wiki moja mnafanya bonge la sherehe dadeki
 
Kutoka pledges 18M hadi cash Milion 1 kasoro duh! Ndugu mwenyekiti itakuaje sasa! Hapo nawashauri sherehe isiwepo tu. Wafunge ndoa then kimya. Ila inawezekanaje wasuse watu wote hivo jamani, inaonesha hata wewe mwenyekiti hujatoa mchango😀
 
Hii ndiyo harusi ya watu wenye akili. Maskini wengi wana inferiority complex hivyo huwa wanaona kufunga ndoa ndogo ni kujidhalilisha.
Na hapa hata tungetaka kutumia mil 200 uwezo huo tulikuwa nao bila kumchangisha mtu... Watu walikuwa surprised kusikia tangazo la kwanza la ndoa kanisani..
Wedding ceremony ni event yenye utulivu wa hali ya juu angalia wedding za wazungu, philipines na kenya. Hizi za bongo huwa ni vurugu tupu ukumbini na complications kibao mara sijui mziki unapigwa sekunde 30 mc ame interact, sijui kutambulisha, zawadi watu wanabeba li fridge, pikipki, mabeseni, vigoda, cheers, wosia arggghhhh upumbavu tupu tulikataa haya ukizingatia mwamba ni mtu mpole kiasili
 
Milioni 18? Mimi nilitumia milioni tatu tu na watu wikula na kujigalagaza hela yote ya nini? Kuna maisha baada ya ndoa ajue
 
Pledges za michango yote ni milioni 18, harusi ni mwezi huu wa tatu mwishoni, hadi muda huu watu wachache wametoa, cash iliyopo ni milioni moja kasoro. Bwana Harusi kachanganyikiwa kaniachia mipango yote nipange mimi, nafanyaje?

Bwana Harusi aliahidi kutoa milioni tano lakini katoa laki tano tu, nyingine hajatoa, anamtaka MC Garab wakati uwezo hana, yaani ni kama ndugu wamemsusia, simu hawapokei, nimemshauri asifanye sherehe ni kama haelewi, sijui itakuwaje.
Hatoboi kamwe huyo....
 
Back
Top Bottom