Kuwa Mwenyekiti wa kamati ya harusi ni kazi sana

Kuwa Mwenyekiti wa kamati ya harusi ni kazi sana

Upuuzi mtupu. Haya ngoja tuwatoe kwenye dilema inayowakabili. Muoaji, mashahidi 2, muolewaji msindizaji 1, mfungishaji ngoja jumla watu 6

6 x chakula 5,000 kila mtu = 30,000/=

Hela inayobaki kafanyia ishu nyingine. Kwa nini mnacomplicate vitu?
 
Mimi namjua kiasi kwakua ni rafiki wa familia jamaa miaka ya 2010 alikua mwalimu tena kule Temeke secondary najua analipwa si chini ya m2 sasa hiyo m4 sijui.

Kwa sasa hivi kweli pesa anayo, mke wake ana masters ila alimpiga marufuku asifanye kazi kamnunulia Bmw x3.
Mamc wengi top ni 2m hata huyo garab ila jamaa noma kuanzia alhamisi mpaka jumapili already booked....jumatatu anaamka na 8M kumbuka na dili la picha plus video anachukua yeye so uwezekano wa kufika 4m upo......
 
Na hapa hata tungetaka kutumia mil 200 uwezo huo tulikuwa nao bila kumchangisha mtu... Watu walikuwa surprised kusikia tangazo la kwanza la ndoa kanisani..
Wedding ceremony ni event yenye utulivu wa hali ya juu angalia wedding za wazungu, philipines na kenya. Hizi za bongo huwa ni vurugu tupu ukumbini na complications kibao mara sijui mziki unapigwa sekunde 30 mc ame interact, sijui kutambulisha, zawadi watu wanabeba li fridge, pikipki, mabeseni, vigoda, cheers, wosia arggghhhh upumbavu tupu tulikataa haya ukizingatia mwamba ni mtu mpole kiasili
We ni mwanamke[emoji44][emoji44]
 
Na hapa hata tungetaka kutumia mil 200 uwezo huo tulikuwa nao bila kumchangisha mtu... Watu walikuwa surprised kusikia tangazo la kwanza la ndoa kanisani..
Wedding ceremony ni event yenye utulivu wa hali ya juu angalia wedding za wazungu, philipines na kenya. Hizi za bongo huwa ni vurugu tupu ukumbini na complications kibao mara sijui mziki unapigwa sekunde 30 mc ame interact, sijui kutambulisha, zawadi watu wanabeba li fridge, pikipki, mabeseni, vigoda, cheers, wosia arggghhhh upumbavu tupu tulikataa haya ukizingatia mwamba ni mtu mpole kiasili

Et vigodaa[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Vijana Wa sasa ni tabu sana,huwa sipendi mtu aniletee kadi ya mchango Wa harusi, na sidhani kama itatokea kuchangia harusi,ogopa sana kupata mwenza mwenye makuu,atakupelekesha sana.

Ndoa Yangu nilifunga kanisani,hakuna hata mtu aliyechangishwa hata shilingi kumi,jumla ya pesa yote nilitumia shilingi 100,000/= ,yaani chakula,malazi na nauli,baada ya ndoa kufungwa watazamaji walitawanyika kama vile walikuwa mpirani,kila mtuna njia yake.

Nashukuru mke wangu si mtu Wa kupenda makuu.nilichogundua watoto Wa kike huwa ndo chanzo cha kushinikiza ndoa za kifahari ,mwisho Wa siku mnaishia kwenye madeni makubwa.niliwahi kuwa na binti kwenye mahusiano ,kila siku alikuwa akinikumbusha jinsi ndoa yetu itafana,alikuwa na matarajio makubwa sana ya kuwa surprise watu kwa ndoa ya kifahari,kwa kifupi alikipata alichokuwa anakitamani baada ya kuachana na Mimi,lakini hadi muda huu kaishia kuzalishwa Toto mbili na kuachana na bwana yake.
 
Laki moja mziki zile spika za kwenye library zinatosha

Laki moja kvant kubwa kumi
Laki moja bia kreti nne chukua zinazolewesha mapema

Ukumbi ni laki moja(ongeeni na mkuu wa shule yoyte awapen darasa moja siku za weekend wanafunzi hawaendi shule)

Laki moja chukua mbuzi wawili au watatu tengemeza supu moja matata ,weka pilipili nyingi ili kuweka speed gavana wasinywe kwa hasira au nunua gunia la mihogo katakata chips waambie inaongeza ngvu za kiume na hamu ya tendo kwa wadada

Laki moja nyingine ya hightable
(Wine moja,maji kubwa2,windock 2 heineken 2,keki ya elfu 40)

Shampeni moja ya elfu 30 ..
Kuhusu mavazi ya maharusi nunueni vikoi vya kimasai vile kama vitano au sita hivi ..(hapo mnajipamba afu mnazuga eti kiafrika zaidi) haizidi 70...


Kwenye hiyo milion 1...Chenji ntumieni
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]nimecheka hapo kwenye supu
 
Na hapa hata tungetaka kutumia mil 200 uwezo huo tulikuwa nao bila kumchangisha mtu... Watu walikuwa surprised kusikia tangazo la kwanza la ndoa kanisani..
Wedding ceremony ni event yenye utulivu wa hali ya juu angalia wedding za wazungu, philipines na kenya. Hizi za bongo huwa ni vurugu tupu ukumbini na complications kibao mara sijui mziki unapigwa sekunde 30 mc ame interact, sijui kutambulisha, zawadi watu wanabeba li fridge, pikipki, mabeseni, vigoda, cheers, wosia arggghhhh upumbavu tupu tulikataa haya ukizingatia mwamba ni mtu mpole kiasili
Ooh mkimya,... Bila shaka huyo jamaa ni introvert.
 
Jamaa kama kachanganyikiwa hivi, nimemshauri afanye kama Lulu na Majizo.
Km hataki mwambie aweke milioni 18 mezani,atulie mipango iendelee.AU mwite aje mpigie bajeti hiyo laki tano sherehe ufanyike.Yy awe mkiti wa hicho kikao Cha bajeti.

Unataka ufahari na hela zilizoko mifukoni kwa wanaume wenzio.
 
Km uliowa / kuolewa watu wanajua mambo ya harusi zinavyokuwaga.
Swali kwako ulisha owa/ kuolewa tupe experience ya ndoa yako ilivyokuwa.
Haisaidii kwa sasa.Kinachotakiwa Ni hela na hamna.huyo bwana harusi km alikuwa hachangii wengine alitarajia nn.PILI aliunda kamati ya watu wa aina gani.
 
Alikeni watu wachache, fanyeni kaparty kadogo kimtindo sio mpaka umati wa watu.
 
Mwenyekiti inaonekana wewe una Gundu, ndiyo maana michango inasuasua.Jiuzuru uone michango itakavyo tiririka.
 
Pledges za michango yote ni milioni 18, harusi ni mwezi huu wa tatu mwishoni, hadi muda huu watu wachache wametoa, cash iliyopo ni milioni moja kasoro. Bwana Harusi kachanganyikiwa kaniachia mipango yote nipange mimi, nafanyaje?

Bwana Harusi aliahidi kutoa milioni tano lakini katoa laki tano tu, nyingine hajatoa, anamtaka MC Garab wakati uwezo hana, yaani ni kama ndugu wamemsusia, simu hawapokei, nimemshauri asifanye sherehe ni kama haelewi, sijui itakuwaje.
Yeye mwenye haru
Pledges za michango yote ni milioni 18, harusi ni mwezi huu wa tatu mwishoni, hadi muda huu watu wachache wametoa, cash iliyopo ni milioni moja kasoro. Bwana Harusi kachanganyikiwa kaniachia mipango yote nipange mimi, nafanyaje?

Bwana Harusi aliahidi kutoa milioni tano lakini katoa laki tano tu, nyingine hajatoa, anamtaka MC Garab wakati uwezo hana, yaani ni kama ndugu wamemsusia, simu hawapokei, nimemshauri asifanye sherehe ni kama haelewi, sijui itakuwaje.
Atoe hizo 5M kwanza. Mpuuzi mmoja huyo.
 
Back
Top Bottom