Kuwa Mwenyekiti wa kamati ya harusi ni kazi sana

Kuwa Mwenyekiti wa kamati ya harusi ni kazi sana

Pledges za michango yote ni milioni 18, harusi ni mwezi huu wa tatu mwishoni, hadi muda huu watu wachache wametoa, cash iliyopo ni milioni moja kasoro. Bwana Harusi kachanganyikiwa kaniachia mipango yote nipange mimi, nafanyaje?

Bwana Harusi aliahidi kutoa milioni tano lakini katoa laki tano tu, nyingine hajatoa, anamtaka MC Garab wakati uwezo hana, yaani ni kama ndugu wamemsusia, simu hawapokei, nimemshauri asifanye sherehe ni kama haelewi, sijui itakuwaje.
Sherehe haizuii kufunga ndoa.Wafunge ndoa wasepe kwani sherehe ni lazima.

Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app
 
Eti,mnaipiga pale church mkimaliza buku 50 za pastor then hao group mtu sita tu mnapiga bonge la dinner kituo chochote mnarudi home mbonji hiyo kilo 5 chenchi inabaki.
Harusi yangu nilipika mwenyewe chakula watu 100,watu walikula,kunywa mpk kusaza na kudance usiku wote.
Sikumchangisha mtu senti 10,walileta vizawadi tu.
Weeee nae ubahili ulikujaaa upike mwenyewe alaf tena wewewe ndio bwana harusi
 
Pledges za michango yote ni milioni 18, harusi ni mwezi huu wa tatu mwishoni, hadi muda huu watu wachache wametoa, cash iliyopo ni milioni moja kasoro. Bwana Harusi kachanganyikiwa kaniachia mipango yote nipange mimi, nafanyaje?

Bwana Harusi aliahidi kutoa milioni tano lakini katoa laki tano tu, nyingine hajatoa, anamtaka MC Garab wakati uwezo hana, yaani ni kama ndugu wamemsusia, simu hawapokei, nimemshauri asifanye sherehe ni kama haelewi, sijui itakuwaje.
Afuate ushauri wako. Kinachohitajika ni ndoa, sio harusi!
 
Uhalisia wa hali halisi mbona unaonekana kutokea kwake bwana harusi ndio maana na pledge yake pia imegoma? Fanyeni shughuli kutokana na pesa iliyopatikana maana yake na wachangaji waliopatikana. Kwani mna malengo ya kuwaalika watu mamia kwa hela kutokea wapi, kwa mkopo benki?
 
Ndo manaake, gari ya harusi wife aligoma kukodi,akasema ntadrive mwanzo mwisho mwenyewe. Wala hatukua na gharama ingawa waswahili waliiba pombe vilevile kwenda nazo kwao.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]komesha ya wabahili bilashaka hata wahudumu mlikuwa nyinyi wenyewe
 
nishawah kuwa mwenyekiti wa kamati nikakimbia na million 5 wakanikamatia stendi nikarudishwa nikaendelea kukusanya michango chini ya uangalizi mkali,zile ela zinatamanisha sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kuna jamaa alikusanya mchango akakimbia nao sijui harusi ilifanyika vipi lakini alikuja kuwarudishia baadae bwana harusi akamshukuru sana maana ilikuwa hela nyingi sana bwana harusi akapata na mtaji wa maisha ulikuwa mpango wa bwana harusi na mweka hela
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kuna jamaa alikusanya mchango akakimbia nao sijui harusi ilifanyika vipi lakini alikuja kuwarudishia baadae bwana harusi akamshukuru sana maana ilikuwa hela nyingi sana bwana harusi akapata na mtaji wa maisha ulikuwa mpango wa bwana harusi na mweka hela
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Pledges za michango yote ni milioni 18, harusi ni mwezi huu wa tatu mwishoni, hadi muda huu watu wachache wametoa, cash iliyopo ni milioni moja kasoro. Bwana Harusi kachanganyikiwa kaniachia mipango yote nipange mimi, nafanyaje?

Bwana Harusi aliahidi kutoa milioni tano lakini katoa laki tano tu, nyingine hajatoa, anamtaka MC Garab wakati uwezo hana, yaani ni kama ndugu wamemsusia, simu hawapokei, nimemshauri asifanye sherehe ni kama haelewi, sijui itakuwaje.
Unajua hiyo M ni nyingi sana maana , najua hao waliochanga wanaweza kuenjoy sana
 
Pledges za michango yote ni milioni 18, harusi ni mwezi huu wa tatu mwishoni, hadi muda huu watu wachache wametoa, cash iliyopo ni milioni moja kasoro. Bwana Harusi kachanganyikiwa kaniachia mipango yote nipange mimi, nafanyaje?

Bwana Harusi aliahidi kutoa milioni tano lakini katoa laki tano tu, nyingine hajatoa, anamtaka MC Garab wakati uwezo hana, yaani ni kama ndugu wamemsusia, simu hawapokei, nimemshauri asifanye sherehe ni kama haelewi, sijui itakuwaje.
Mc garab gharama yake no shilingi ngapi mkuu
 
Hiyo Million moja kasoro inatosha kulipia photoshoot na dinner moja matata sana kwa hao hao waliochanga tu!
Kweli, haina haja ya harusi kubwa ilhali hakuna hela, bora lipikwe kitu cha biriani na wapigwe photo kadhaa hapo, iishe ivyo bora kapata mke hakuna issue ya kujiumiza kichwa kwa mawazo. Hali ya mifuko ni mibaya sahi! 🤣
Salamu toka nchi jirani ✌️
 
Back
Top Bottom