Mac Bully 001
JF-Expert Member
- Jun 26, 2012
- 6,537
- 13,004
😂 😂 😂 Hata usiwapige chini waache waje wajienjoy kwa aibu zao! 🤣Kabisa mkuu na ndugu ambao hawajatoa wanapigwa chini.
✌️
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂 😂 😂 Hata usiwapige chini waache waje wajienjoy kwa aibu zao! 🤣Kabisa mkuu na ndugu ambao hawajatoa wanapigwa chini.
Dah! 😂😂😂Tatizo lipo kwako Mwenyekiti. Jiuzulu kwa aibu
Yawezekana, ile ya kuunganishwa kwenye ofisi za serikali husika.Mnalipia tu ile certificate mtakayopewa.Hivi kwani huwezi kufanya harusi pekee yenu bila michango?
Nauliza tu
🤣🤣🤣👌Yaani utamu apate yeye anakusumbua wewe?
Watu wengine mnapenda kujipa stress za bure mfe mapema watu wawale wake zenu.
Halafu wakimchangia waifuuu atamlalamikia Nani wakati mahari ya kumuwowa walichanga?Hivi kwani huwezi kufanya harusi pekee yenu bila michango?
Nauliza tu
We jibu swali nililokuuliza..?Km uliowa / kuolewa watu wanajua mambo ya harusi zinavyokuwaga.
Swali kwako ulisha owa/ kuolewa tupe experience ya ndoa yako ilivyokuwa.
Maswali ya kazi gani? subiri majibu research kutoka kwenye harusi hii.We jibu swali nililokuuliza..?
Hahahahahahahaha....... practicalMaswali ya kazi gani? subiri majibu research kutoka kwenye harusi hii.
Kuna mmoja alinipayukia nilimtandika kofi hilo hahahahaaa hawezi sahauSiku zote ukiona mwanamke anakupayukia jua hujafiti kuwa King..jichunguze..anakua ashakuona ww si lolote umepwaya mno
Kisha nani atapika?Hiyo milioni moja iliyo mkononi. Nyumbani kwa maharusi kupambwe vizuri
Nnunueni
Mbuzi
Michele
Ndizi
Viungo vya pilau
Pombe (kama ni wanywaji)
Tafuteni kijana kwa laki mbili apige disco
Beer nyingi sana hizi mkuuvinywaji tulipiga bajeti ya bia 10 kwa kila mtu
Pole sana mkuu. Wahenga walisema "Tenda wema kisha nenda zako"Pole Sana mkuu,hayo yamewahi kunikuta tena wakati mwingine nilikuwa nazama mfukoni mwangu,usingizi sipati,nashindwa kumpa dozi inayotakiwa mke wangu kisa tu nimekuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Harusi,Lkn cha ajabu,siku ya Harusi hakuna aliyekumbuka kunishukuru(Japo huwa sipendi kudai Asante ya mtu),Wakagawa zawadi,akapewa msimamizi,huyo ndo alionekana amefanya kazi kubwa,nikajinyamazia,hata sasa jamaa hajawahi kunikumbuka hata akija kitaa anakuja kumsalimia msimamizi wake,kwake huyo ndo mtu wa maana.Tokea hapo hayo mambo huwa ninayakwepa Sana.
Ndugu au alipwe mtu 50,000 ya upishi na vijana wawili wa kuserve kwa 10,000 kila mmoja.Kisha nani atapika?
Aisee..ni tusi sana kwa mwanaume...yaan umepwaya mno .jirekebishe .kumpiga haisaidiiKuna mmoja alinipayukia nilimtandika kofi hilo hahahahaaa hawezi sahau
Dharau ikizidi, kipigo hakiepukiki. Nilimpiga kisha yeye mwenyewe akarudi kwenye mstari.Aisee..ni tusi sana kwa mwanaume...yaan umepwaya mno .jirekebishe .kumpiga haisaidii
Pole sana asee, tenda wema nenda zako! Sie binadamu banaPole Sana mkuu,hayo yamewahi kunikuta tena wakati mwingine nilikuwa nazama mfukoni mwangu,usingizi sipati,nashindwa kumpa dozi inayotakiwa mke wangu kisa tu nimekuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Harusi,Lkn cha ajabu,siku ya Harusi hakuna aliyekumbuka kunishukuru(Japo huwa sipendi kudai Asante ya mtu),Wakagawa zawadi,akapewa msimamizi,huyo ndo alionekana amefanya kazi kubwa,nikajinyamazia,hata sasa jamaa hajawahi kunikumbuka hata akija kitaa anakuja kumsalimia msimamizi wake,kwake huyo ndo mtu wa maana.Tokea hapo hayo mambo huwa ninayakwepa Sana.
Sasa wakishajua we mlevi hupewi hela mzeeMi wangenikuta bar na walevi wenzangu... Tumebaki na hela ya supu tu, waoane wao niteseke mie...
Hongera kwao!Mimi namjua kiasi kwakua ni rafiki wa familia jamaa miaka ya 2010 alikua mwalimu tena kule Temeke secondary najua analipwa si chini ya m2 sasa hiyo m4 sijui.
Kwa sasa hivi kweli pesa anayo, mke wake ana masters ila alimpiga marufuku asifanye kazi kamnunulia Bmw x3.
Kwani kama mtu huna uwezo lazima ufanye sherehe? Kama kufanya muoaji ana laki 5 unadhani amejiandaa kuishi na mwanamke kweli? Washone vitenge wakafunge ndoa yao......hiyo hela ndogo waanzie maisha.....mambo ya kuforce kitu ambacho huna uwezo nacho ni ufala......maisha huwezi copy na kupaste........ndugu mwenyekiti asikusumbue kuoa siyo lazima sherehe.......Pledges za michango yote ni milioni 18, harusi ni mwezi huu wa tatu mwishoni, hadi muda huu watu wachache wametoa, cash iliyopo ni milioni moja kasoro. Bwana Harusi kachanganyikiwa kaniachia mipango yote nipange mimi, nafanyaje?
Bwana Harusi aliahidi kutoa milioni tano lakini katoa laki tano tu, nyingine hajatoa, anamtaka MC Garab wakati uwezo hana, yaani ni kama ndugu wamemsusia, simu hawapokei, nimemshauri asifanye sherehe ni kama haelewi, sijui itakuwaje.