Minja Ngalason
JF-Expert Member
- Jan 8, 2017
- 1,284
- 1,839
[emoji23][emoji23][emoji23]Anamtaka M Siii Gara Whaaat?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaeni chini muokoe hili jahaziHiyo Million moja kasoro inatosha kulipia photoshoot na dinner moja matata sana kwa hao hao waliochanga tu!
Yaani we acha tu!!. Kweli tutende wema wa kutulipa ni Mungu.Pole sana asee, tenda wema nenda zako! Sie binadamu bana
. Naam hiyo kauli ni Kweli kabisa.Pole sana mkuu. Wahenga walisema "Tenda wema kisha nenda zako"
[emoji86][emoji86][emoji86][emoji86][emoji86]Chukua hiyo michango (milioni kasoro) SEPA
Lulu, BTwelvu na Nani vile?Aachane na sijui party sijui nini afanye kama ya akina Lulu..
🤓 🤓 🤓 🤓 kumbe utani ameuanza mwenyeweBwana Harusi aliahidi kutoa milioni tano lakini katoa laki tano tu, nyingine hajatoa
😳 kwani ndio bei za Mc Gara B izi? saitakuwajeAnamtaka mc garab 😂😂😂...anaoa binti wa instagram au bwanaharusi naye ni walewale tu, yaani kashindwa toa 5m anataka ampe mtu 4m kwa ajili yakupiga piga kelele masaa 3 sijui manne.
Itakuwa walijua kuwa hawezi kutoa hiyo pesa ila aliwahadaa ili watu watoe michango mikubwaUjinga mwambie bwana harusi achanganyikiwe mpaka atembee uchi, ka pledge 5M katoa laki5, anataka mambo makubwa asiyo na uwezo nayo
Alitangaza hivyo mwisho wa siku zawadi ingetokea kwenye hela aliyojitangazia, angesema tiyari kawekewa kwenye account, fool!
Aende kanisani akitoka hiyo laki5, aende fungate na mkewe siku 2, wakirudi, maisha yaendelee.
Atakoma kama anaoa wadada wa Instagram.
Everyday is Saturday................................😎
Harusi imeshangwa au ndio basi tena?Pledges za michango yote ni milioni 18, harusi ni mwezi huu wa tatu mwishoni, hadi muda huu watu wachache wametoa, cash iliyopo ni milioni moja kasoro. Bwana Harusi kachanganyikiwa kaniachia mipango yote nipange mimi, nafanyaje?
Bwana Harusi aliahidi kutoa milioni tano lakini katoa laki tano tu, nyingine hajatoa, anamtaka MC Garab wakati uwezo hana, yaani ni kama ndugu wamemsusia, simu hawapokei, nimemshauri asifanye sherehe ni kama haelewi, sijui itakuwaje.
Niice🤓 🤓 🤓 🤓 kumbe utani ameuanza mwenyewe