Kuwa na followers Wengi Instagram hakuna faida?

Kuwa na followers Wengi Instagram hakuna faida?

The Boss

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2009
Posts
49,282
Reaction score
117,244
Nilikuwa naangalia wasanii wenye followers Wengi nimeshangaa kuona Zuchu kazidiwa followers na wasanii Wengi wa kike lakini wasanii hao Wana "struggle"... kulinganisha na Zuchu ..imenishangaza sana.

Nilifikiri sanaa ya sasa kuwa na followers Wengi ndo kila kitu. Unauza chochote na unapata matangazo Tele...lakini ajabu sana kuna wasanii "Wana struggle Sana" huku Wana followers milioni zaidi ya tano..... tatizo ni nini?

Kingine mbona watu wenye page zenye followers chini ya milioni wengine Wana claim wanaendesha maisha Yao vizuri Tu Kwa kupitia page zao?

Shida ni nini kwa wasanii wenye followers Wengi?

Kuna yeyote anajua hii industry na mbinu zake kuhusu followers??
 
Wanawake wengi wenye followers wengi hawana talents, Lulu Diva na Hamisa Mobetto hapa walikuwa Mwanza wanafanya show.

FuInH5TWYAMC1su.jpeg
 
Unaweza ukawa na followers kidogo lakini wakawa wanaelewa bidhaa zako. Kikubwa ni ujue una hitaji watu wa aina gani mitandao inalipa lakini nini unakileta kwa jamii ndicho kitakachofanya uone kuna faida au hakuna
 
Followers wanapaswa waendane na engagements..

Kuna watu wana followers wasiofika hizo milioni 5.. ila wana engagements kubwa na followers wao mfano mwijaku ama baba levo.. ndio maana wanapata madili

Hata hamisa mobetto ana engagements kubwa ndio maana nae anapata pata madili

Diamond platnumz ana followers wengi na ana engagements kubwa

Millard ayo pia followers wengi na engagements kubwa.


Ali kiba ana followers wengi ila ana engagement ndogo
 
Amber Lulu na Gigi money Wana followers kwa mamilion...lakini huoni kama wanafanikiwa sana
Followers inategemea na akili Yako kuwatumia haswaa matangazo ya bidhaa ,wengi wasanii wanaona kutangaza biashara za elf kumi kumi hizi lakini zinalipa mnoooo kimtindo

Ukiwa na uhakika wa matangazo 10 per day Kwa elf 30 ni PESA kubwa ila wasanii wetu hawataki wanaona haya
Mtu km diva,kumbuka,lokole wale kutangaza ni elf 30 nadhani so wanapata riziki

Bado hatujafikia level za kina Messi ila wapo wanatangaza laki Kwa pages zao Kwa tangazo
 
Nilikuwa naangalia wasanii wenye followers Wengi nimeshangaa kuona Zuchu kazidiwa followers na wasanii Wengi wa kike lakini wasanii hao Wana "struggle"... kulinganisha na Zuchu ..imenishangaza sana.

Nilifikiri sanaa ya sasa kuwa na followers Wengi ndo kila kitu. Unauza chochote na unapata matangazo Tele...lakini ajabu sana kuna wasanii "Wana struggle Sana" huku Wana followers milioni zaidi ya tano..... tatizo ni nini?

Kingine mbona watu wenye page zenye followers chini ya milioni wengine Wana claim wanaendesha maisha Yao vizuri Tu Kwa kupitia page zao?

Shida ni nini kwa wasanii wenye followers Wengi?

Kuna yeyote anajua hii industry na mbinu zake kuhusu followers??
Ushaona akaunt ya yule dada mfupi anaitwa TAUSI? ana follower 1m lakini akipost hizo like na comment hazifiki 100. Wananunua booster waleee. Anaonekana ana watu wengi kumbe hewa tu
 
Ushaona akaunt ya yule dada mfupi anaitwa TAUSI? ana follower 1m lakini akipost hizo like na comment hazifiki 100. Wananunua booster waleee. Anaonekana ana watu wengi kumbe hewa tu
Imebidi nikaicheki aisee..
Screenshot_20230524-150109~2.png

Kweli ana followers 1M.

Ila content zake naona akipata likes 100 mara chache sana.

Screenshot_20230524-150101~2.png


Picha ya zaidi ya week iliopita.

Screenshot_20230524-150116~2.png
 
Back
Top Bottom