Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Sio kwa bongo hii mkuu, hata ndgu zako, wasanii wenzio na wana kitaa wanazidi 30.Hiyo sio sababu hata cr7 ana followers milion miatano 500M anaelekea 600 lakini akipost anapata 10M yaan hata robo ya followers wake hawafiki
Unaweza kuwa na followers 4M kati ya hao 3.7M ni kutoka uarabuni na India waliobaki ndio wabongo wanaoelewa hata ulichopost kina maana gani ,so usishangae wala usiogope unawza kua na followers wachache na ukafanikisha mambo yako pakubwa kuliko mwenye followers namba tuNilikuwa naangalia wasanii wenye followers Wengi nimeshangaa kuona Zuchu kazidiwa followers na wasanii Wengi wa kike lakini wasanii hao Wana "struggle"... kulinganisha na Zuchu ..imenishangaza sana.
Nilifikiri sanaa ya sasa kuwa na followers Wengi ndo kila kitu. Unauza chochote na unapata matangazo Tele...lakini ajabu sana kuna wasanii "Wana struggle Sana" huku Wana followers milioni zaidi ya tano..... tatizo ni nini?
Kingine mbona watu wenye page zenye followers chini ya milioni wengine Wana claim wanaendesha maisha Yao vizuri Tu Kwa kupitia page zao?
Shida ni nini kwa wasanii wenye followers Wengi?
Kuna yeyote anajua hii industry na mbinu zake kuhusu followers??
Nyie ndo wale mnashangaa diamond ana followers mil 16 lkn akipost like huwa hazifiki milion moja mnashangaaa sana!!Hesabu za Ratio ulikuwa unapata ngapi shuleni
Hili swali! Nasubiria jbu lakeWanafanikiwa sana kwenye Nini?
Kwani biashara yao kubwa inayowaweka Instagram ni Nini?
Ninyi ndio watu munakurupuka kuandika kabla ya kusoma hoja....trace kwanza ujue kwanini nimekwambia RatioNyie ndo wale mnashangaa diamond ana followers mil 16 lkn akipost like huwa hazifiki milion moja mnashangaaa sana!!
ila cr7 ana followers zaidi milion 500 lkn akipost hafikishi like milion 50 hapa huwa hamshangai!
Mwisho nasema toa upumbavu wako
Twitter ndio safi followers laki moja tu matangazo yanakuhusu sana sana ya kusafisha na kuwafagilia viongozi.Nilikuwa naangalia wasanii wenye followers Wengi nimeshangaa kuona Zuchu kazidiwa followers na wasanii Wengi wa kike lakini wasanii hao Wana "struggle"... kulinganisha na Zuchu ..imenishangaza sana.
Nilifikiri sanaa ya sasa kuwa na followers Wengi ndo kila kitu. Unauza chochote na unapata matangazo Tele...lakini ajabu sana kuna wasanii "Wana struggle Sana" huku Wana followers milioni zaidi ya tano..... tatizo ni nini?
Kingine mbona watu wenye page zenye followers chini ya milioni wengine Wana claim wanaendesha maisha Yao vizuri Tu Kwa kupitia page zao?
Shida ni nini kwa wasanii wenye followers Wengi?
Kuna yeyote anajua hii industry na mbinu zake kuhusu followers??
Yeah nakubali engagement ndo mtaji wenyewe kupata followers na ndo kitu tunafanya kule twitwer.Engagement ndio mtaji. Ukipeleka tangazo lako kwa watu wa insta usitazame followers utakula za uso.
Kwa mond ni parefu uko.Nenda na million 5 yako kwa Diamond akuwekee tangazo lako kwenye page yake. Ukifanikiwa nakuongeza mil 5 nyingine.
Followers wanapaswa waendane na engagements..
Kuna watu wana followers wasiofika hizo milioni 5.. ila wana engagements kubwa na followers wao mfano mwijaku ama baba levo.. ndio maana wanapata madili
Hata hamisa mobetto ana engagements kubwa ndio maana nae anapata pata madili
Diamond platnumz ana followers wengi na ana engagements kubwa
Millard ayo pia followers wengi na engagements kubwa.
Ali kiba ana followers wengi ila ana engagement ndogo
Kwamba alikiba followers wengi ila engagement ni ndogo[emoji16][emoji16][emoji16].
Mbona mnayajua maisha ya wasanii kuliko wao wenyewe jamani???
Engagement zinaonekana.. ama huelewi maana ya engagements za followers?