VINICIOUS JR
JF-Expert Member
- Dec 29, 2022
- 208
- 518
we acha tu mkuu ila hawa wanawake pasua kichwa.Mkuu yamekukuta nini?
Hao kwa mizinga sio wa polepole.Ni singlemom?
Huyo hajakupenda trust me mim ni mwanamke naelewa Ivo vitu huyo Hana mapenz na ww mwanamke anayekupenda sio mtu wa kufanyia Ivo mfano mim nikiwa nahitaj kua na mahusiano na mtu ni inatoka moyon kwamba moyo umedhamiria kua na huyo mtu swala la hela litakuja endapo Kuna ulazima wa kutaka au kupewa hizo hela sio Kila wakat Sasa hapo nitakua najiuza au ni kitu gan
umetisha sana. ukimwambia unajiuza anakuja juu. utasikia umeniona mimi eeh?, haya niache na maisha yangu.Huyo hajakupenda trust me mim ni mwanamke naelewa Ivo vitu huyo Hana mapenz na ww mwanamke anayekupenda sio mtu wa kufanyia Ivo mfano mim nikiwa nahitaj kua na mahusiano na mtu ni inatoka moyon kwamba moyo umedhamiria kua na huyo mtu swala la hela litakuja endapo Kuna ulazima wa kutaka au kupewa hizo hela sio Kila wakat Sasa hapo nitakua najiuza au ni kitu gan
nahudhuria mkuu, wenda nafel kwenye kutake notes.Tatzo lako uhudhurii vikao....
Na wanaume siku hizi wanadanga hatari.Hata kudate a broke ass men ni kazi vilevile, maana unageuka mwanaume kwenye mahusiano ni kumuhudumia tu kijana mara buku mara afu tatu.
Eniweiz tuvumiliane.
maskin wenzenu. sisi matajir tunaona mnafake love yan mnafata hela tu.Sasa mnataka sisi wanawake maskini tupendwe na nani...hebu acha basi
Misso Missondo_ft_RayvannyWasalam wakuu, kama mada inavojieleza. kwenye haya maisha inatokea kunamwanamke unampenda sana yani nawewe unatamani arudishe upendo kama unavompenda cha ajabu sasa kadri siku zinavozidi kwenda unahisi kabisa mapenzi huyaoni ila unaona kabisa anakuchukulia ni kama fursa ya kujinufaisha kiuchumi hadi unahisi huyu atakua anataka tu kuokota kwa mgongo wa mapenzi. wanawake achen utapeli kama hela taften na nyie zakwenu kwenye mahusiano kila mtu kuna umuhimu wa kuprovide a provide.