Jobless_Billionaire
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 3,106
- 8,101
Tujinywee tuUzi huu SIO chai
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tujinywee tuUzi huu SIO chai
tena ya maziwa. hahahahahUzi huu SIO chai
Usisahau chapati mbiliTujinywee tu
Wanapenda princess treatments hao🤣🤣🤣🤣🤣🤣Na wanaume siku hizi wanadanga hatari.
Hiyo ni sheria mkuu. Japo wengine tunapenda vitumbua (D tatu hapa)Usisahau chapati mbili
Sawa tajiri....ukatafute tajiri mwenzio sasamaskin wenzenu. sisi matajir tunaona mnafake love yan mnafata hela tu.
Masikini wa mali tutawapenda ila Masikini wa fikra wao watatumika na jamii kama chombo cha stareheSasa mnataka sisi wanawake maskini tupendwe na nani...hebu acha basi
kumbe unaweza pata mwanamke na akakupenda kabisa kutoka moyoni mwake‽‽‽Huyo hajakupenda trust me mim ni mwanamke naelewa Ivo vitu huyo Hana mapenz na ww mwanamke anayekupenda sio mtu wa kufanyia Ivo mfano mim nikiwa nahitaj kua na mahusiano na mtu ni inatoka moyon kwamba moyo umedhamiria kua na huyo mtu swala la hela litakuja endapo Kuna ulazima wa kutaka au kupewa hizo hela sio Kila wakat Sasa hapo nitakua najiuza au ni kitu gan
Alafu deilee anasikiliziaga michongo tu anakukopa hadi nauli.Hata kudate a broke ass man ni kazi vilevile, maana unageuka mwanaume kwenye mahusiano ni kumuhudumia tu kijana mara buku mara afu tatu.
Eniweiz tuvumiliane.
Kabisa. Utasikia mwanaume mzima anasema eti “mwanamke akinitaka lazima awe na hela”😂😂😂Wanapenda princess treatments hao🤣🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣Alafu deilee anasikiliziaga michongo tu anakukopa hadi nauli.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣aiiiiKabisa. Utasikia mwanaume mzima anasema eti “mwanamke akinitaka lazima awe na hela”😂😂😂
Kwenu huwa ni kwa ridhaa yenu, watoto wa mjini wanaita 'kulea'.Hata kudate a broke ass man ni kazi vilevile, maana unageuka mwanaume kwenye mahusiano ni kumuhudumia tu kijana mara buku mara afu tatu.
Eniweiz tuvumiliane.
🤣🤣🤣🥴Hao kwa mizinga sio wa polepole.
Zile haki sawa mlizokuwa mnataka zifundishwe mpaka mashuleni mwanzoni mwa miaka ya elfu mbili, vijana walizielewa so mda wakuziapply,ile mbegu iliyo pandwa ishaanza kuzaa.Kabisa. Utasikia mwanaume mzima anasema eti “mwanamke akinitaka lazima awe na hela”😂😂😂
Ndio wapo sema ndo Ivo kuwapatakumbe unaweza pata mwanamke na akakupenda kabisa kutoka moyoni mwake‽‽‽