Kuwa na mahusiano na Wanawake wasio na pesa ni tabu sana

Kuwa na mahusiano na Wanawake wasio na pesa ni tabu sana

Huyo hajakupenda trust me mim ni mwanamke naelewa Ivo vitu huyo Hana mapenz na ww mwanamke anayekupenda sio mtu wa kufanyia Ivo mfano mim nikiwa nahitaj kua na mahusiano na mtu ni inatoka moyon kwamba moyo umedhamiria kua na huyo mtu swala la hela litakuja endapo Kuna ulazima wa kutaka au kupewa hizo hela sio Kila wakat Sasa hapo nitakua najiuza au ni kitu gan
[emoji419][emoji419][emoji419][emoji375]
 
Wasalam wakuu,

Kama mada inavojieleza. kwenye haya maisha inatokea kunamwanamke unampenda sana yani nawewe unatamani arudishe upendo kama unavompenda.

Cha ajabu sasa kadri siku zinavozidi kwenda unahisi kabisa mapenzi huyaoni ila unaona kabisa anakuchukulia ni kama fursa ya kujinufaisha kiuchumi hadi unahisi huyu atakua anataka tu kuokota kwa mgongo wa mapenzi.

Wanawake achen utapeli kama hela taften na nyie zakwenu kwenye mahusiano kila mtu kuna umuhimu wa kuprovide a provide.
Siku zote nyota njema uonekana alfajiri, demu mpuuzi (mgogo) akianza tu mambo ya kuomba pesa kijinga ni wa kumtupa chini mara moja no matter ana uzuri gani. Mwache akajiuze tu kwa Wanigeria abebeshwe miunga.
 
Wasalam wakuu,

Kama mada inavojieleza. kwenye haya maisha inatokea kunamwanamke unampenda sana yani nawewe unatamani arudishe upendo kama unavompenda.

Cha ajabu sasa kadri siku zinavozidi kwenda unahisi kabisa mapenzi huyaoni ila unaona kabisa anakuchukulia ni kama fursa ya kujinufaisha kiuchumi hadi unahisi huyu atakua anataka tu kuokota kwa mgongo wa mapenzi.

Wanawake achen utapeli kama hela taften na nyie zakwenu kwenye mahusiano kila mtu kuna umuhimu wa kuprovide a provide.
Mimi nataka Mke wangu anitreat Kifalme kama anavyofanya cheupe wangu huyu. Yanitosha!
 
Wasalam wakuu,

Kama mada inavojieleza. kwenye haya maisha inatokea kunamwanamke unampenda sana yani nawewe unatamani arudishe upendo kama unavompenda.

Cha ajabu sasa kadri siku zinavozidi kwenda unahisi kabisa mapenzi huyaoni ila unaona kabisa anakuchukulia ni kama fursa ya kujinufaisha kiuchumi hadi unahisi huyu atakua anataka tu kuokota kwa mgongo wa mapenzi.

Wanawake achen utapeli kama hela taften na nyie zakwenu kwenye mahusiano kila mtu kuna umuhimu wa kuprovide a provide.
Kwa kweli ni kujitafutia matatizo kudate wanawake kama hawa....unakuta mtu anaamka asubuhi anaanza kukuomba hela ya vocha, matumizi ya wazazi na ndugu zake, wakati wala si mkeo na hana faida kwako zaidi ya kutombwa tu. Wapuuzi sana hawa mademu.
 
Wasalam wakuu,

Kama mada inavojieleza. kwenye haya maisha inatokea kunamwanamke unampenda sana yani nawewe unatamani arudishe upendo kama unavompenda.

Cha ajabu sasa kadri siku zinavozidi kwenda unahisi kabisa mapenzi huyaoni ila unaona kabisa anakuchukulia ni kama fursa ya kujinufaisha kiuchumi hadi unahisi huyu atakua anataka tu kuokota kwa mgongo wa mapenzi.

Wanawake achen utapeli kama hela taften na nyie zakwenu kwenye mahusiano kila mtu kuna umuhimu wa kuprovide a provide.
Madada wa mjini Bongo
 
suala la hela kusaidiana kwenye mapenzi ni jambo la kawaida kwa wapenda nao kama mpenzi wako anashida kubwa za pesa na hajui wapi pa kuanzia ni vyema kuangalia namna ya kumsaidia ili asikuombe hii ndio maana ya mapenzi.

mimi nipo tofauti sana kimtazamo kuhusu pesa yani mpaka naweza kumsaidia mtu yoyote yule pesa hata ambaye simjui sio rafiki yangu wala sio mpenzi na namsaidia bila hata yeye kuniomba unajua kuna baadhi ya shida zinaonekana bila hata mtu kukueleza au kukuomba basi mimi nasaidia watu h
 
🤣
Screenshot_20241230-185259_Instagram Lite.jpg
 
Huyo hajakupenda trust me mim ni mwanamke naelewa Ivo vitu huyo Hana mapenz na ww mwanamke anayekupenda sio mtu wa kufanyia Ivo mfano mim nikiwa nahitaj kua na mahusiano na mtu ni inatoka moyon kwamba moyo umedhamiria kua na huyo mtu swala la hela litakuja endapo Kuna ulazima wa kutaka au kupewa hizo hela sio Kila wakat Sasa hapo nitakua najiuza au ni kitu gan
huwa mnaanza iviivi bdae sasa ndo mnachanganya adi mtu anaishia kuona kila rangi.

yani ukiwa na hitaji la ela hajiulizi mara 2 inainuliwa simu tu utafikiri we ndo mo dewji.

mara utaskia gesi imeisha mara michango ya watoto shuleni yaani na apo ukute wala hamjaoana.

bado atalalamika kufikishwa kileleni.

daah kuna wanawake sio aisee 🙌🙌🙌
 
suala la hela kusaidiana kwenye mapenzi ni jambo la kawaida kwa wapenda nao kama mpenzi wako anashida kubwa za pesa na hajui wapi pa kuanzia ni vyema kuangalia namna ya kumsaidia ili asikuombe hii ndio maana ya mapenzi.

mimi nipo tofauti sana kimtazamo kuhusu pesa yani mpaka naweza kumsaidia mtu yoyote yule pesa hata ambaye simjui sio rafiki yangu wala sio mpenzi na namsaidia bila hata yeye kuniomba unajua kuna baadhi ya shida zinaonekana bila hata mtu kukueleza au kukuomba basi mimi nasaidia watu h
Hili tangazo limekaa vizuri
 
Back
Top Bottom