Kuwa na mahusiano na Wanawake wasio na pesa ni tabu sana

Kuwa na mahusiano na Wanawake wasio na pesa ni tabu sana

Zile haki sawa mlizokuwa mnataka zifundishwe mpaka mashuleni mwanzoni mwa miaka ya elfu mbili, vijana walizielewa so mda wakuziapply,ile mbegu iliyo pandwa ishaanza kuzaa.

Kuna kizazi kijacho cha wanawake watakuwa wakisumuliwa story za bibi zao watashangaa kusikia walikiwa wanahongwa majumba na magari kwani kwao itakuwa tofauti, kwani hata Nabii Isaya alisha ya tabiri.
Hivi hii haki sawa mbona huwa mnaihubiri linapokuja suala la pesa tu!!! Ila kwa mambo mengine mnang'aka hatari!
 
Hivi hii haki sawa mbona huwa mnaihubiri linapokuja suala la pesa tu!!! Ila kwa mambo mengine mnang'aka hatari!
pesa ndo kila kitu mkuu. mtu yeyote linapo kuja swala la pesa anakua serious kdogo,
 
Wasalam wakuu,

Kama mada inavojieleza. kwenye haya maisha inatokea kunamwanamke unampenda sana yani nawewe unatamani arudishe upendo kama unavompenda.

Cha ajabu sasa kadri siku zinavozidi kwenda unahisi kabisa mapenzi huyaoni ila unaona kabisa anakuchukulia ni kama fursa ya kujinufaisha kiuchumi hadi unahisi huyu atakua anataka tu kuokota kwa mgongo wa mapenzi.

Wanawake achen utapeli kama hela taften na nyie zakwenu kwenye mahusiano kila mtu kuna umuhimu wa kuprovide a provide.
Dont date broke ladies wacha wafe na njaa zao. Wee kula mbususu sepa.
Remember women never even look at a broke man
 
Huyo hajakupenda trust me mim ni mwanamke naelewa Ivo vitu huyo Hana mapenz na ww mwanamke anayekupenda sio mtu wa kufanyia Ivo mfano mim nikiwa nahitaj kua na mahusiano na mtu ni inatoka moyon kwamba moyo umedhamiria kua na huyo mtu swala la hela litakuja endapo Kuna ulazima wa kutaka au kupewa hizo hela sio Kila wakat Sasa hapo nitakua najiuza au ni kitu gan
downloadfile.gif
 
Wasalam wakuu,

Kama mada inavojieleza. kwenye haya maisha inatokea kunamwanamke unampenda sana yani nawewe unatamani arudishe upendo kama unavompenda.

Cha ajabu sasa kadri siku zinavozidi kwenda unahisi kabisa mapenzi huyaoni ila unaona kabisa anakuchukulia ni kama fursa ya kujinufaisha kiuchumi hadi unahisi huyu atakua anataka tu kuokota kwa mgongo wa mapenzi.

Wanawake achen utapeli kama hela taften na nyie zakwenu kwenye mahusiano kila mtu kuna umuhimu wa kuprovide a provide.
Msaidie mpenzi wako Jamani
 
Huyo hajakupenda trust me mim ni mwanamke naelewa Ivo vitu huyo Hana mapenz na ww mwanamke anayekupenda sio mtu wa kufanyia Ivo mfano mim nikiwa nahitaj kua na mahusiano na mtu ni inatoka moyon kwamba moyo umedhamiria kua na huyo mtu swala la hela litakuja endapo Kuna ulazima wa kutaka au kupewa hizo hela sio Kila wakat Sasa hapo nitakua najiuza au ni kitu gan
Kumbe hawa wanaotuomba hela wanatuenjoy tuu kwa i love u nyingi na wakati wanauza bupa😭😭😭😭
 
Hivi hii haki sawa mbona huwa mnaihubiri linapokuja suala la pesa tu!!! Ila kwa mambo mengine mnang'aka hatari!
Duu haki sawa ina hubiriwa na wanaume? Tokea lini.......? Nyie kwenye vyomb vya habari mwanzoni si mlitaka waweke mpaka kwenye mitaala au sio nyie na NGO zenu....?K

Linapokuja swala la pesa nani yupo mbele.......? Maana kwenye nyumba hata mwanamke awe na mil 1,mwanaume laki 2 ,jumla nyumba ina laki 2.

Ila siku hizi mkubaliane nayo kwani ile mbegu mliyo ipanda kupitia NGO zenu hizi ishaanza kumea na kuzaa,hata vijana siku hizi wanafikiria kwenye mitizamo ya haki sawa sababu ndivyo walivyo fundishwa.
 
Duu haki sawa ina hubiriwa na wanaume? Tokea lini.......? Nyie kwenye vyomb vya habari mwanzoni si mlitaka waweke mpaka kwenye mitaala au sio nyie na NGO zenu....?K
Hii inahubiriwa na nyie wanaume kwa kasi sanaaa ila ni kwenye pesa tu, mengine hamtaki🤣🤣
Linapokuja swala la pesa nani yupo mbele.......? Maana kwenye nyumba hata mwanamke awe na mil 1,mwanaume laki 2 ,jumla nyumba ina laki 2.
Si mnajiita vichwa vya familia, sasa iweje hilo liwe tatizo!!!
Ila siku hizi mkubaliane nayo kwani ile mbegu mliyo ipanda kupitia NGO zenu hizi ishaanza kumea na kuzaa,hata vijana siku hizi wanafikiria kwenye mitizamo ya haki sawa sababu ndivyo walivyo fundishwa.
Kwahiyo mnataka haki sawa au hamuitaki?
 
Back
Top Bottom