Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inakera mkuu sio kwamba humtunzi hapana , ila utashangaa sms nna njaa sijala toka asubuhi naomba afu tatu, ogopa demu wa hivyo mkuu ,mjinga ataona,Dah! Ila kwenye huu uzi tutaona shuhuda nyingi sana za wanaume walivofanyiwa na ke.
sio kipo, vipo.Haya tumekuelewa kingine kipo?
kaka kuna kadem flan kanasoma pharmacy kameniomba aftatu au ndo redflag hiyo nianue zangu kasije nipa UPARANTAInakera mkuu sio kwamba humtunzi hapana , ila utashangaa sms nna njaa sijala toka asubuhi naomba afu tatu, ogopa demu wa hivyo mkuu ,mjinga ataona,
Demu hana gharama huyu kumbe hizo afutatu tatu anaomba kwa watu kumi hapo hukosi , UTI sugu,papuchi iliyochokaa na kutepeta
afadhali hata huyu najua nikikwama ata nikwamua kuliko hawa wa af20, kwanza hawa aibu kutokana na njaa zinawakimbiza kama bodaboda pili hawana shukran. Yan niviumbe vya ajabu sana.Na wenye pesa nao wanataka uwasapoti biashara zao unaambiwa "baby nicash mil 3 niweke sawa pale dukani" utawakumbuka mbona wenye shida za afu 20
Wameoa vizuri tu.Wameolewa sio wameoa bwana.
Mwanamke anamkwepa broke guy kama ukoma
Hamnaga kitu kama hicho labda wanavumilia matusiWameoa vizuri tu.
Mkuu acha kabisa!narujua acha kabisa uzuri hata wao wanasema hawapendi "nice guy"sa jipendekezeniviumbe vya ajabu sana, yani mwanamke anakuomba kitu ila ukikumbka vile hawana shukran mzuka unakata ghafla.
Hatari mtu wangu, halafu wengine wajanja, mwanaume unamhonga ukijua unamsaidia, kumbe mwenzio anajenga nyumba yake nzuri, na gari ananunua, mwanaume unabakia kuishi kwenye nyumba za kupangaNa wenye pesa nao wanataka uwasapoti biashara zao unaambiwa "baby nicash mil 3 niweke sawa pale dukani" utawakumbuka mbona wenye shida za afu 20
Unamuona kama hana gharama na ndio mbinu yao hiyo afutatu mmeombwa kumi hapo na wote watasema" daah mtoto hana mambo mengi yani"kaka kuna kadem flan kanasoma pharmacy kameniomba aftatu au ndo redflag hiyo nianue zangu kasije nipa UPARANTA
ko kumpa mwanamke kitu ni adi iwe kwa mapenzi ya me na sio kwa kumuonea huruma au kushinikizwa na ke.Mkuu acha kabisa!narujua acha kabisa uzuri hata wao wanasema hawapendi "nice guy"sa jipendekeze
Dah! kupitia hii comment umenisanua kitu. barikiwa sana mkuu.Hatari mtu wangu, halafu wengine wajanja, mwanaume unamhonga ukijua unamsaidia, kumbe mwenzio anajenga nyumba yake nzuri, na gari ananunua, mwanaume unabakia kuishi kwenye nyumba za kupanga
Binafsi kuna wadada hadi nimewakimbia, unakuta hujamtongoza wala hujamuomba hata namba ya simu, ni ile tu mmezoeana, ila karibia kila siku vizinga, looh princess ariana
Sio matusi pekee kwa Sasa ni hadi physical abuseHamnaga kitu kama hicho labda wanavumilia matusi
Hata hayo mapenzi yahakikishe sana kabla ya kutoa anyway tulishaambiwa tuishi nao kwa akiliko kumpa mwanamke kitu ni adi iwe kwa mapenzi ya me na sio kwa kumuonea huruma au kushinikizwa na ke.
mkuu we mwamba sana haujapepesa macho [kwa sauti ya maulid baraka kitenge] umemaliza kila kitu apaapa 🤣Binafsi kuna wadada hadi nimewakimbia, unakuta hujamtongoza wala hujamuomba hata namba ya simu, ni ile tu mmezoeana, ila karibia kila siku vizinga, looh @princess ariana
Aione Kalaga Baho Nongwa kule visiwani unguja, akiwa katika harakati zake za kutafuta "mpenzi wa kigeni" 😂Na wanaume siku hizi wanadanga hatari.
ushenzi wa kuombwaombwa hela na wanawake siku hizi siutaki na sina mpango wa kuwa na mahusiano na mwanamke asiye na shughuli ya kumpatia hela.Wasalam wakuu,
Kama mada inavojieleza. kwenye haya maisha inatokea kunamwanamke unampenda sana yani nawewe unatamani arudishe upendo kama unavompenda.
Cha ajabu sasa kadri siku zinavozidi kwenda unahisi kabisa mapenzi huyaoni ila unaona kabisa anakuchukulia ni kama fursa ya kujinufaisha kiuchumi hadi unahisi huyu atakua anataka tu kuokota kwa mgongo wa mapenzi.
Wanawake achen utapeli kama hela taften na nyie zakwenu kwenye mahusiano kila mtu kuna umuhimu wa kuprovide a provide.
kingine- msigawe UTI mkibaki nayo nyinyi itakuwa poa sanaHaya tumekuelewa kingine kipo?