Kuwa na mahusiano na Wanawake wasio na pesa ni tabu sana

Kuwa na mahusiano na Wanawake wasio na pesa ni tabu sana

Na wanaume siku hizi wanadanga hatari.
Daah! ila hii ni dharau. tengua hii kauli kabla siku haijapinduka. tena hao wanaume labda wa huko daslam, wa huku kwetu ni vidume kwelkwel hawanaga huu ujinga ujnga.
 
Mbaya zaidi wanawake wasio na hela wana wengi wa kuwaombaomba. Hata ukimpa hataridhika ataomba na wengine wenye kumpa zaidi yako. Kama ni kutaka shoo unampa iliyopo kisha unaachana nae fasta hakuna kuweka kambi nae. Ni shoo shoo tu unalipia kwa kila shoo imetoka hiyo
 
Tafuta wenye kazi wasio na kazi tuachie sisi, au tafuta Mwanamke mwenye pesa uhamie kwake atalipa Kila kitu we utakula na kulala na utamkula na yeye pia.
mkuu wewe upo upande upi?
 
Mbaya zaidi wanawake wasio na hela wana wengi wa kuwaombaomba. Hata ukimpa hataridhika ataomba na wengine wenye kumpa zaidi yako. Kama ni kutaka shoo unampa iliyopo kisha unaachana nae fasta hakuna kuweka kambi nae. Ni shoo shoo tu unalipia kwa kila shoo imetoka hiyo
mkuu unawaza kama mimi, yan inakua kama vocha tu ukiwa nashda nayo unaitumia then unaitupa, unaikumbk ukiwa na shda tena hamna kuweka kambi.
 
Niko upande huu, wasio na kazi tuachie sisi, huu nd upande nilipo.
hama huko kwa ajili ya afya yako ya akili na mwili pia mana utakufa kabla ya siku zako. hao broke women kwa asilimia kubwa ndo wasaliti, hawana shukran, matapeli, hawana mapenzi ya kweli, siku akizipata ndo utazijua rang zake na kila kitu. kma unajifanya mbish sawa.
 
Nimewahi kupitia kipindi kigumu sana kwenye maisha yangu lakini kuna bibie mmoja alisimama na mimi.
Alikua na kipato kidogo lakini nilikua naomba hadi mia ya sigareti lakini hakunichoka wala ku complain...... mwishowe tulikaa sawa na nikasimama
R.I.P Annabella

Sijui kama ni mchepuko wako au mchumba wako
Whatever the case kuna watu wanapitia vipindi vigumu kwenye maisha hadi wanafikia hali hiyo au pengine hadi kujiuza kabisa
Kama UNAMPENDA kweli angalia namna bora ya kumsaidia ajikwamue au muache

Hakuna mtu iwe mwanaume au mwanamke anayependa kuwa na mtu masikini
Stop complaining and do something about it
 
Shindikanaa ndio umenichoka kiasi hicho? Eti simbilisi😭😭
🤣🤣🤣🤣🤣 sasa pisi kali kakuhurumia, nawe angalau ujione kidume, halafu unaleta za kuleta!!
 
🤣🤣🤣🤣🤣 sasa pisi kali kakuhurumia, nawe angalau ujione kidume, halafu unaleta za kuleta!!
Shindikanaa mwaka huu naona utashindikana zaidi kuliko wakati wowotešŸ¤”šŸ¤”šŸ¤”
 
Nimewahi kupitia kipindi kigumu sana kwenye maisha yangu lakini kuna bibie mmoja alisimama na mimi.
Alikua na kipato kidogo lakini nilikua naomba hadi mia ya sigareti lakini hakunichoka wala ku complain...... mwishowe tulikaa sawa na nikasimama
R.I.P Annabella

Sijui kama ni mchepuko wako au mchumba wako
Whatever the case kuna watu wanapitia vipindi vigumu kwenye maisha hadi wanafikia hali hiyo au pengine hadi kujiuza kabisa
Kama UNAMPENDA kweli angalia namna bora ya kumsaidia ajikwamue au muache

Hakuna mtu iwe mwanaume au mwanamke anayependa kuwa na mtu masikini
Stop complaining and do something about it
kuna watu kweli wanashda nakweli ataakija kukueleza unaguswa kumsaidia lakn tunaongelea hapa niwale watoto wa mjini matapeli yani wazee wa kucheza na fursa. ndo watu au mapepo tunayoyakemea hapa mkuu.
 
🤣🤣🤣🤣🤣 sasa pisi kali kakuhurumia, nawe angalau ujione kidume, halafu unaleta za kuleta!!
kwenye mapenzi hakuna huruma. especially ke. akishafanya maamuzi yake ni kama israeli mtoa roho anakua ni mkatil sanaaa.
 
kuna watu kweli wanashda nakweli ataakija kukueleza unaguswa kumsaidia lakn tunaongelea hapa niwale watoto wa mjini matapeli yani wazee wa kucheza na fursa. ndo watu au mapepo tunayoyakemea hapa mkuu.
Sasa mkuu unakwenda sehemu za starehe kutafuta ma slay queen wa mchongo na unategemea usiombwe hela wakati wapo kazini

Mi nilidhani unaongelea madem decent wa mtaani kumbe unaongelea wadangaji?
Sasa ata danga vipi bila mizinga mkuu?
 
Huyo hajakupenda trust me mim ni mwanamke naelewa Ivo vitu huyo Hana mapenz na ww mwanamke anayekupenda sio mtu wa kufanyia Ivo mfano mim nikiwa nahitaj kua na mahusiano na mtu ni inatoka moyon kwamba moyo umedhamiria kua na huyo mtu swala la hela litakuja endapo Kuna ulazima wa kutaka au kupewa hizo hela sio Kila wakat Sasa hapo nitakua najiuza au ni kitu gan
Kwanini wewe si unaweza kujishikiza kwa Mwanaume ili akutatulie shida zako na wakati huo unakua hujampenda ila unakua umependa pesa zake, wakati huo Mpenzi wako unae mpenda kweli unajua kabisa kipato chake kidogo na wewe unataka maisha mazuri ndiyo unatafuta Mwanaume wa pembeni kuziba gepu la kiuchumi.
 
Sasa mkuu unakwenda sehemu za starehe kutafuta ma slay queen wa mchongo na unategemea usiombwe hela wakati wapo kazini

Mi nilidhani unaongelea madem decent wa mtaani kumbe unaongelea wadangaji?
Sasa ata danga vipi bila mizinga mkuu?
wapi nimeongelea sehemu za starehe mkuu.
 
Unakuwaje na mwanamke ata ela ya kununua chupi ya buku mbili hana, uyo chenga achana nae tafuta mwanamke ambae siku ukikwama basi ataokoa jahazi
Kumpata huyo sasa Nilikua na lidemu tuliite malaya la chinichini kwenye maongezi yetu sikumbuki vizur ilianzaje nakumbuka alisema Mimi nimpe Mwanaume mwili wangu anichezee kanifanyia nini nikajiuliza huyu inamaana kumbe yeye anaangalia umemfanyia kitu gani ndiyo akupe mwili nikajua huyu mdangaji.
 
Back
Top Bottom