Kuwa na mpenzi JF inawezekana πŸ’•

Labda jamaa anataka kuchapiwa na mabaharia wa hapa JF...

Bai ze wei hayanaga mwongozo!

 
Unanichokonoa eti? Ujue sio PM hapa?
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚!! Ulimuanza, akakufungia kazi vizuri kabisa. Hahaaaa mal….msomi 🀣🀣
🀣 🀣 🀣 🀣 Sasa mkae mshauriane na Suhendra muone na malengo yenu. Ili mkija na vilio kama kina mama wa yerusalem tupate vya kuchamba
 
Watu kwa kufukua makaburi hamjambo
Mtakuja kurushiwa majini...mtu akipendwa kidogo tu mshaanza kufukua ya nyuma
 
Tumeficha mapanga ujue 🀣 🀣 🀣 🀣 kwani mashikorobo yalifikaje JF. Njoo Dodoma kwanza ununue shamba nikupe miti bure 🀣🀣🀣
Nakupenda asilimia 4, hizo 6 zilizobaki skupendi. Niache ninyonyeshe mtoto πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Unaona watoto wa kinondoni akili zenu sasa mm nachunga ng'ombe kila siku mambo ya lodge/guest wapi na wapi🀣🀣porini Kuna maeneo yamekaaa utamu huhangaiki kumbinua binua mtoto wa watu ikitengwa tu chuma inaenda full margin
Kijijini ingekuwa rahisi hivyo bikra tungezisikia na kuishia kuzisoma kwenye nyuzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…