Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
Hadi matusi analike yaani🙄Sasa mtu gani huyu ana-like kila comment na kila post?
Wewe unaweza?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hadi matusi analike yaani🙄Sasa mtu gani huyu ana-like kila comment na kila post?
Wewe unaweza?
Shindwaaaaaaaaaaaaaa 1998-04 mshangazi? 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 halafu 90 awe bibi ? Sisi wa 84-89?Sasa ndo utofauti wenu na mabinti zamani wao hawakua hvo .....siku hz unakuta kbs mshangazi aliezaliwa Kati ya 1998-2004🤣 nae hana akili kbs Hapo hujakutana na mibibi ya 90's🤣 yaan full vurugu tu
Mm mhafidhina nachojua kipenyo kinachotumika ni kimojaKina Yunge mdogo sio 😂
Utepe mbona hata wa mjini wanao? Inategemea tu ni utepe wa wapi
Mjini vinatumika zaidi ya kimojaMm mhafidhina nachojua kipenyo kinachotumika ni kimoja
Hv hii generation bado ipo? Aisee mpelekwe makumbusho muingizie taifa pato la utalii, mtakua mlishuhudia biashara ya utumwa nyieSisi wa 84-89?
🤣🤣🤣Dah upo sahihi sana.Unaogopa kuumizwa??!! huogopi kuumiza ??!! hii JF sijui kama unaielewa vizuri, anakupenda kwa ID hii, anapenda mwingine kwa ID nyingine.
Na ukuda ukikomaa unageuka kuwa unaa😁Acha ukuda
Halafu anaaandika na Uzi wa kukusindikizia ulivyo na kichogo kirefu...ila JF nyiee🤣🤣 inapaswa ukae kwa password girlie
Unaweza kupendwa asbh, jioni mtu akakubadilikia kama kapata ukichaa.
Tena warushiwe Yale majini ya mayele😁Watu kwa kufukua makaburi hamjambo
Mtakuja kurushiwa majini...mtu akipendwa kidogo tu mshaanza kufukua ya nyuma
Jambazi nakuona kwenye harakati zako.Mkwe jambaziiiii....🤗
TM huna la kuongeza?Sawa
Jambazi nakuona kwenye harakati zako.
yaaaani najiuliza sipati majibu mahiiiMahi watu wako inruv
Wacha tumtakia lenye kheri😁yaaaani najiuliza sipati majibu mahiii
Dah mie sina kwa kweli ..TM huna la kuongeza?
Umeachana Na mume wako?Ni matumaini yangu nyote wazima wa Afya
Kama kuna mwenye changamoto na muombe kwa mungu ampe afya njema.
Moja kwa moja niingie kwenye, mada bila kupoteza muda
Kweli nime amini, mapenzi hayana formulae popote, saa yoyote unajikuta tu usha mpenda mtu 😘, Jamani mapenzi hayana stahaa
Naombeni ushari Niendelee ni ache na ogopa kumizwa bore maana machozi ya kulia sina.🙏
yakimkuta pia tuko hapa kumpa pole asisite kuleta kisa chakeWacha tumtakia lenye kheri😁
Kabisa,tunasubiri mrejesho wananzengoyakimkuta pia tuko hapa kumpa pole asisite kuleta kisa chake