Miss_Mariaah
JF-Expert Member
- Nov 9, 2022
- 2,176
- 4,979
Hata Mimi nimeshangaa Hawa ndo wanafanya vijana wakatae kuoa Na wanawake tuonekane Hatuna maanaSuhendra si umeolewa wewe?
Au niulete ule uzi uzuri wa jf nyuzi hazifutiki
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mwisho wa siku mtakuja kuanikana hapa tutajua hadi lodge mliyoenda na hela mlizopeana…
Anyways Hongera diha❤️
Life is too Short to complicate,!umejua chanzo Cha yeye kutaka bby mpya?kama keshapewa talaka je?Hata Mimi nimeshangaa Hawa ndo wanafanya vijana wakatae kuoa Na wanawake tuonekane Hatuna maana
As usual...hunaga maneno mingiDah mie sina kwa kweli ..
Usimpoteze mwenzako🤣🤣🤣
Raha jipe mwenyewe dear, kama mnapendana n anakupa furaha usimuache maisha ni haya haya.
Hahahahaha...maneno mengi yanachosha..mambo vipi lknAs usual...hunaga maneno mingi
Huko mjini 🙌🙌🙌ndo maana joto 35°cMjini vinatumika zaidi ya kimoja
hii ndio fahari ya kupeleka binti skuli wallahBarikiwa sana..I like you much my daddy ☺️
Na kule joto lake naskia ni zaidi ya 40Huko mjini 🙌🙌🙌ndo maana joto 35°c
Poa tu,nasindikiza weekend na Uzi wa malavidavi...nakula point.😁Hahahahaha...maneno mengi yanachosha..mambo vipi lkn
Sasa huko mnapeleka moto au mnaenda kuchukua motoNa kule joto lake naskia ni zaidi ya 40
Mhm kumbe kuna washamba hiv[emoji849]Mwisho wa siku mtakuja kuanikana hapa tutajua hadi lodge mliyoenda na hela mlizopeana…
Anyways Hongera diha[emoji3590]
Me sijui mkuu, naonaga tu watu wanavyoanzishaga nyuzi za kukandiana🙌🙌Mhm kumbe kuna washamba hiv[emoji849]
Hahahahahahaha...points za nn tena ? Haya bana ukizipata points za kutosha utanipatia..mie niko sehemu nitakua nachunguliaPoa tu,nasindikiza weekend na Uzi wa malavidavi...nakula point.😁
Mhm initia mashaka kwa kwel inabidi ata kama umependa ID ya mtu humu ukaushe tu😛Me sijui mkuu, naonaga tu watu wanavyoanzishaga nyuzi za kukandiana🙌🙌
Hamna usiogope mkuuMhm initia mashaka kwa kwel inabidi ata kama umependa ID ya mtu humu ukaushe tu😛