Kuwa na mpini mkubwa sio suluhu ya kuridhisha mwanamke

Kuwa na mpini mkubwa sio suluhu ya kuridhisha mwanamke

Kamanda Asiyechoka

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2020
Posts
3,315
Reaction score
5,058
Nimekaa nikatafari sana kwa nini hili tatizo la wanawake walioolewa kuchepuka limekuwa kroniki?

Hapo awali nilidhani walio na mipini mikubwa huwa hawapigiwi wake zao.

Lakini ukiingia mitaani utakuta ni mambo ya ajabu kabisa. Mtu anajisifia kijiweni kuwa ana mpini ulioshiba lakini wahuni wanampigia na kutangaza, hii haijakaa sawa.

Wanawake wa siku hizi hawaridhiki kabisa.
 
Nimekaa nikatafari sana kwa nini hili tatizo la wanawake walioolewa kuchepuka limekuwa kroniki?

Hapo awali nilidhani walio na mipini mikubwa huwa hawapigiwi wake zao.

Lakini ukiingia mitaani utakuta ni mambo ya ajabu kabisa. Mtu anajisifia kijiweni kuwa ana mpini ulioshiba lakini wahuni wanampigia na kutangaza, hii haijakaa sawa.

Wanawake wa siku hizi hawaridhiki kabisa.
Hahahahahahah wanawake wabandika kucha kama Nsyuka wanaridhikaje sasa? Yeye mwenyewe tu hajaridhika alivyoumbwa hadi ajibandike mavitu
 
Kazi ipo
Wanaume nao hawaridhiki
  • Siku hizi wanajichubua
  • wanatapatapa na vumbi, viagra
  • wanatapata na makalio,
  • wanatapatapa mamodal, sister du
  • wanatapatapa kutafuta mipini nikubwa

Wanawake hawaridhiki
  • hataki nywele zao, ila madudu ya bandai
  • hawataki rangi zao ila kujichubua
  • hawataki sura zao halisi ili makeup
  • hawataki maumbile yao ila masponji
  • makucha ya bandia
  • nyusi za bandia

Kila kitu bandia


Maana yake wote wanaume na wanawake kwasasa ni bandia

Hawaridhiki, hawatosheki ni tamaa na ubabaishaji
 
Niko poa mkuu, yaani nimevamia mada.. leo j4, I feel like a good shag will make my day[emoji39][emoji39][emoji39]
Hata hujavamia mada.na inaonekana leo uko na furaha sana mwamba.😎😎😎
 
Nimekaa nikatafari sana kwa nini hili tatizo la wanawake walioolewa kuchepuka limekuwa kroniki?

Hapo awali nilidhani walio na mipini mikubwa huwa hawapigiwi wake zao.

Lakini ukiingia mitaani utakuta ni mambo ya ajabu kabisa. Mtu anajisifia kijiweni kuwa ana mpini ulioshiba lakini wahuni wanampigia na kutangaza, hii haijakaa sawa.

Wanawake wa siku hizi hawaridhiki kabisa.
Mtoto wa kike ni wakiketu hata umpee kubwa ajey bado hata ridhika🙈🙈🙈
 
Back
Top Bottom