Kuwa single mateso

Kuwa single mateso

Umekidhi vigezo vya kuwa mwenyekiti wa masingo
Kabisa...

Inawezekana wengine tumekuja kushuhudia watu wakipendana...

Sisi ni wapenzi watazamaji....


Inafika hatua unaona watu wakipendana ni ajabu...na inawezekanaje watu wakubaliana kabisa na wakakutanisha vikojoleo vyao...

Mambo mengine tumeamua kuachana nayo...
 
Kabisa...

Inawezekana wengine tumekuja kushuhudia watu wakipendana...

Sisi ni wapenzi watazamaji....


Inafika hatua unaona watu wakipendana ni ajabu...na inawezekanaje watu wakubaliana kabisa na wakakutanisha vikojoleo vyao...

Mambo mengine tumeamua kuachana nayo...
Ukikutana na watu wanapendana wanalishana warushie hata jiwe kwanini wafurahi peke yao
 
Hivi kwa Karne hii ya 21 mtu unawezaje kuwa single especially mwanaume? Wanawake wapo wengi Sana ckuiz.

Mtoa mada kinachomsumbua Ni udomo zege tu maana anaweza kuwa na pesa ila akashindwa kujiongeza katika kutongoza wanawake.
 
Kweli kabisa kuwa single ni shida sana. Hii mambo ya self service sio maisha. Ila sasa bila ndalama mbususu hupati[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]

[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]na wewe uko single???? Kweli hii inchi ina raia wa hofyooooooo hadi wewe kweli[emoji38][emoji38][emoji38]
 
Mimi hua nalala kama mti ulioanguka njiani. No goodnight bave, Naamka kama gaidi no good morning babe😅
Kua singo si lelemama, sura yangu inanifelisha
Ulitaka uwe na sura nzuri ili iweje? Huna sura mbaya kila siku nakwambia
 
Tusipangiane maisha.Kama wewe hauinjoi siyo SI units Kwa wengine.
 
Ulikuaga unawarushia? Naomba tips na mie niivuke hii stage
Mimi najiwekea plans na goals kila siku ..na ninatakiwa kuzitimiza Kwa vyovyote vile...so muda mwingi naupoteza huko...

Na hii imenisaidia sana...imenisaidia chuo na kuweza kuwa best student, kuweza kujiajili kwa mitandao, kuwa na startups kibao...ambayo imenifanya kimaisha kuwa poà na kudevelop haraka sana...

Lakin sasa kibembe huwa ni asubuhi...na ninaamka saa kumi...mtalimbo unakuwa unasimama Kwa hasira...Hadi nianze kupiga push ups na mazoezi ndo unatulia...sema nikishachoka naendelea na ratiba ngumu za siku hiyo mpaka jioni....
Nishasahau Hadi kuongea na wanawake kabisa, kuchati nao na ukizingatia nimesoma uboizini..naweza maliza week sijaongea na mwanamke zaidi ya mama Tu.....


Nb..Nilikuwa mpiga nyeto walau Kwa wiki mara moja nikizidiwa hasa nikitoka insta kuangalia picha za madada...lakin sasa nimekomaa sana inapita miezi hata tatu sijapiga ....sema wet dreams ndo kawaida mno....
 
Back
Top Bottom