Kabisa...Umekidhi vigezo vya kuwa mwenyekiti wa masingo
Nakuunga mkono 100%%%%%%Ukiwa na hela huwezi pata mapenzi ya kweli maana hela ndio zinapendwa, nikiona hivi naona bora kutokujiingiza moja kwa moja kwenye mahusiano sababu mtu anaangalia anafaidikaje na haya mahusiano.
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Ukikutana na watu wanapendana wanalishana warushie hata jiwe kwanini wafurahi peke yaoKabisa...
Inawezekana wengine tumekuja kushuhudia watu wakipendana...
Sisi ni wapenzi watazamaji....
Inafika hatua unaona watu wakipendana ni ajabu...na inawezekanaje watu wakubaliana kabisa na wakakutanisha vikojoleo vyao...
Mambo mengine tumeamua kuachana nayo...
Aise watu wanavyo jimwambafy hapa jf utajiona wee binge la falaa🤣🤣🤣🤣Kabisaaaa, yani huyu yuko lonely, kuwa single ni raha tuu kama uko na maisha yako mazuri
Hiyo stage nishapita...Ukikutana na watu wanapendana wanalishana warushie hata jiwe kwanini wafurahi peke yao
Kweli kabisa kuwa single ni shida sana. Hii mambo ya self service sio maisha. Ila sasa bila ndalama mbususu hupati[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Mimi hua nalala kama mti ulioanguka njiani. No goodnight bave, Naamka kama gaidi no good morning babe[emoji28]
Kua singo si lelemama, sura yangu inanifelisha
[emoji1751][emoji1751][emoji1751][emoji2357][emoji2357][emoji2357][emoji2357]
Sawa sie raia wa hovyooo nyie wenye akili endeleeni tuu kusoma ujinga wetu[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]na wewe uko single???? Kweli hii inchi ina raia wa hofyooooooo hadi wewe kweli[emoji38][emoji38][emoji38]
Mwe ye pesa mweli anatongoza😲😲😲Hivi kwa Karne hii ya 21 mtu unawezaje kuwa single especially mwanaume? Wanawake wapo wengi Sana ckuiz.
Mtoa mada kinachomsumbua Ni udomo zege tu maana anaweza kuwa na pesa ila akashindwa kujiongeza katika kutongoza wanawake.
Ulikuaga unawarushia? Naomba tips na mie niivuke hii stageHiyo stage nishapita...
Siku hizi nawaona wa ajabu...
Nishajitoa kwenye kundi la binadamu wa kawaida
Me sikujua kama na wewe uko singleSawa sie raia wa hovyooo nyie wenye akili endeleeni tuu kusoma ujinga wetu
Ulitaka uwe na sura nzuri ili iweje? Huna sura mbaya kila siku nakwambiaMimi hua nalala kama mti ulioanguka njiani. No goodnight bave, Naamka kama gaidi no good morning babe😅
Kua singo si lelemama, sura yangu inanifelisha
Mimi najiwekea plans na goals kila siku ..na ninatakiwa kuzitimiza Kwa vyovyote vile...so muda mwingi naupoteza huko...Ulikuaga unawarushia? Naomba tips na mie niivuke hii stage