National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
Mtakuwa mmeniokoa sanaaa, 😃😃😃 nitajimwambafai kabisa, hata siku nikiwa kwenye ufalme wangu sito wasahahu😊😊Mmmhhh hembu ngoja niongee na mzabzab tuangalie kama tunaweza kukusaidia na chochote kitu ununue hata tecno W3 au unasemaje juu ya hilo
Usisahau pesa mzee mana kupenda bila pesa utaishia kuwa mpenzi mtazamaji ukidumu na mwanamke kizazi hichi bila pesa shukuru MunguUkiona mwanaume yupo single hana nguvu za kiume 🤕
Wewe jikite kutafuta mpunga na kujijengaMimi hua nalala kama mti ulioanguka njiani. No goodnight bave, Naamka kama gaidi no good morning babe😅
Kua singo si lelemama, sura yangu inanifelisha
🙂🙂 Nimesambaza sana cv, hadi nimechoka, hadi napata kazi mtakuwa mmeonana kabisa na mzabzab 🤔🤔🤔Si tumekubaliana unatafuta kazi kwanza jaman halafu siku yako ikifika tutakua wote au unajisahaulisha😒
Mkuu unaniua mbavu [emoji3][emoji3][emoji3]Mimi hua nalala kama mti ulioanguka njiani. No goodnight bave, Naamka kama gaidi no good morning babe[emoji28]
Kua singo si lelemama, sura yangu inanifelisha
Dah ahsante acha tu kaka najisikia vibaya sana sipend kuwa single ni vile tu nifanyejeIt's true kuwa single ni kazi,, hasa ukiwa single and lonely unaweza tamani ujitundike maana Kuna wakati unahitaji mtu wa karibu umueleze jambo lakini ndo huna. Na pia Kuna wakati unatamani kubebika lakini ndo upo single tena.
Pole mkuu
Am on the way.....Sawa usichelewe jaman nakutengea maji ya kuoga mapema kabisaaaaa🤭
Nakuja nae...wacha amalize kula ugali dagaa hapa aliopikiwa na mama yakekaribu ipo wazi sasa
njoo na mwana wanne National Anthem
hahahaa sawaNakuja nae...wacha amalize kula ugali dagaa hapa aliopikiwa na mama yake
Mkuu huyo sophy27 nitakuua tafadhali..naomba umwache
Urembo wote ulionao unakuwaje singo aseekuna muda unawaza hadi unachoka
kweli ni mateso
sina urembo wa kutisha