Kuwa single mateso

Kuwa single mateso

Ndio jaman mwanaume toka hata nje ukabebe zege na magunia ya mchele😒unakaa ndani kama utumbo akhaaaa sikutaki mie
🙄🙄🙄 Siku nikipata hela nitawanyanyasa sana na mie, nitawasimanga.. Kama Diamond.. ipo siku yangu tuu.. Acha niende left kutuma cv 😅😅
 
Hadi mimi tena jaman😒😒mbona me nakusupport hivo hivo kwa shida
😏😏😏😏 Unanisamanga sana mbona, natazama tuu.. Nasema ipp siku yangu tuu na na ntabarikiwaa mtanikomaaa mjiandaaeee nasema mjiandaaeee
 
Hembu kwenda huko
Mwenzio ana bodaboda ya maskan kwa siku sio chin ya 10000 haya wew ukiacha 2000 ya kusafisha banda😒😒😒
Acha nikarishe mmbwa sasa, najua nitapata buku tano ingine hapa.. Nijiunge bundle la wiki nishinde na jobless wenzangu vizuri 🙂🙂
 
😏😏😏😏 Unanisamanga sana mbona, natazama tuu.. Nasema ipp siku yangu tuu na na ntabarikiwaa mtanikomaaa mjiandaaeee nasema mjiandaaeee
We jishauwe tuu na hiyo siku isifike tuone kama hutauza simu tukusahau huku jf😆😆😆ila ikifika usinisabau😒
 
We jishauwe tuu na hiyo siku isifike tuone kama hutauza simu tukusahau huku jf😆😆😆ila ikifika usinisabau😒
😅😅😅 Umejuaje, hapa simu yenyewe ya dogo nagongea yangu nilishauza kitambooo... Wewe upo kwenye list ya nitao waringishia na kuwanyanyasa kwa medeim sio sanaaa
 
Mimi nadhani tatizo lako wewe upo single kwasababu za kiuchumi hapo lazima uone mateso..ila ukiwa na chenji chenji kadhaa, sehemu ya kukaa(hata kama umepanga), mkoko wa kukumuvuzisha sehem sehem huwezi ona tatizo lolote...ila kama unaamini hauna nguvu za kichumi lazima uone tabu kubwa...😀😀😀
 
😅😅😅 Umejuaje, hapa simu yenyewe ya dogo nagongea yangu nilishauza kitambooo... Wewe upo kwenye list ya nitao waringishia na kuwanyanyasa kwa medeim sio sanaaa
Mmmhhh hembu ngoja niongee na mzabzab tuangalie kama tunaweza kukusaidia na chochote kitu ununue hata tecno W3 au unasemaje juu ya hilo
 
Back
Top Bottom