National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
๐๐๐๐Hao wana roho mbaya aiseeee
Sasa mate ni kitu ya kunyima mtu๐๐๐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
๐๐๐๐Hao wana roho mbaya aiseeee
Sasa mate ni kitu ya kunyima mtu๐๐๐
Good morning na good night au mate?Naomba basi
Unanidai lunch kwa hili ulilosemasahihi ,ana nguvu ndio ya kushawishi ila sio kwa kuomba ndoa bali inabidi matendo yaonyeshe kuwa yeye ni mke mwema
Nini hasira tena๐๐๐๐
Mwanawane kumbe una wapenzi, unanichota tu kumbe we maisha safi
Kulipata bundle ilibidi hadi kufua na kusafisha banda la kuku, ndio bi mdash kaninga cha buku mbili ๐๐๐Nini hasira tena
Afu leo umepata kibarua nini maana umeniacha online me na @mzabzab๐
Hawa warembo wenyewe leo upo nao kesho wamekutosa. Usipate presha mzeya....ngoja nikuachie Darlin ufurahie guu la bia hilo๐Mwanawane kumbe una wapenzi, unanichota tu kumbe we maisha safi
Aaahh madogo leo wameenda shule ndo maana. Kama nakuona ulivyonyanyua miguu kwenye hayo makochi unaperuzi zako baada ya kazi ngumu๐๐Kulipata bundle ilibidi hadi kufua na kusafisha banda la kuku, ndio bi mdash kaninga cha buku mbili ๐๐๐
Asante sanaUnanidai lunch kwa hili ulilosema
Ngoja naja pm nitakwambia tukutane wapi. Nikiweka hapa National Anthem hachelewi kufika eneo la tukioAsante sana
nikukute wapi ?
Aaah wapi naingia jikoni sasa hivi kuwapikia mmbwaaa.. Ila ipo siku yanguu tuuu na mie ntabarikiwaa๐๐Aaahh madogo leo wameenda shule ndo maana. Kama nakuona ulivyonyanyua miguu kwenye hayo makochi unaperuzi zako baada ya kazi ngumu๐๐
๐๐ Nauli natoa wapi mwanawane, hapa bundle lenyewe bi mkubwa kaniunga la buku mbili la masimango kweli.. sina miguu ya kwenda popoteNgoja naja pm nitakwambia tukutane wapi. Nikiweka hapa National Anthem hachelewi kufika eneo la tukio
Ndio ivyo wanaume wakweli tumebaki wachache sanaa ๐๐, ila mbona mzabzab ni jobless mwenzangu ila ana wapenzi.. Au mie kwakua houseboy wa home๐๐Si mliambiwa muwe mnadanganya kidogo mwanzoni ona sasa umeshasema wewe ni jobless me nikakukacha๐
I hope nitabadilika mbeleni...ila sasa goals firstHutaki kabisa mambo ya mapenzi mwanawane. Sasa lakini u ajua mbususu muhimu maana ndio raha ya dunia mzeya
Hilo tu ondoa shaka kwanzia kesho piem yako ntaipendezeshaGood night na morning kwanza. Mate yatufuata after a while
Ndio jaman mwanaume toka hata nje ukabebe zege na magunia ya mchele๐unakaa ndani kama utumbo akhaaaa sikutaki mieNdio ivyo wanaume wakweli tumebaki wachache sanaa ๐๐, ila mbona mzabzab ni jobless mwenzangu ila ana wapenzi.. Au mie kwakua houseboy wa home๐๐