Mbona self service ujaisemaaa🤣🤣🤣🤣🤣Hiyo ni KWA upande wako sie wengine tunaenjoy [emoji16][emoji16] cha mhimu nimekula nimeshiba na napumua bila shida yoyote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona self service ujaisemaaa🤣🤣🤣🤣🤣Hiyo ni KWA upande wako sie wengine tunaenjoy [emoji16][emoji16] cha mhimu nimekula nimeshiba na napumua bila shida yoyote
Nyege sio kabisa😂😂😂nyege mbaya sana aisee
piga nyeto komredi
Dah ahsante sana kwa ushauriWewe hauko single bali uko lonely, being single is not as being lonely, but as a man, you should not be single forever, at some point, you have to find a beautiful wife and settle down and having kids and making life together.
During your 20s is okey to be single, and channel your energy to create your name in the society in all facets of life as much as you can
Kweli kabisa tunakuwa single si kwa kupendaHuko kwenye mahusiano kugumu sana sometimes unaona bora kuwa single kwa maana ya nafsi,yaani hauruhusu kupendana na mtu,lakini kimwili unakuwa sio single,vitendea kazi vinatumika.
Kinachofanya single kuwa kitu adimu ni kwamba,wale watu tunaowapenda na kuwaamini ndio wanakuwa mwiba mchungu,wanakufanya uone maisha si kitu tena.
Ila mapenzi matamu kipindi cha good days,yakibadilika huwa machungu kama shubiri.
So.. mi naona kuwa na mwenza au kutokuwa nae inategemea fungu lako lilipo.unaweza kuwa mtu wa furaha au huzuni.
Kuwa na mwenza ni jambo zuri sana kwenye maisha,tatizo ni huyo mwenza mwenyewe.
Mgongo ukiwasha inabidi kujikuna ukutani kama mbuziSanaa ni tunajifariji tu
[emoji23]Mgongo ukiwasha inabidi kujikuna ukutani kama mbuzi
Naona watucheka masingo 😁[emoji23]
Umekidhi vigezo vya kuwa mwenyekiti wa masingoHiyo ni kweli...
Sijawahi kuwa na mpenzi toka nizaliwe..
.
Kuwa singo sio poa kabisa. Poleni 😃Naona watucheka masingo 😁
Kabisaaaa, yani huyu yuko lonely, kuwa single ni raha tuu kama uko na maisha yako mazuriWewe hauko single bali uko lonely, being single is not as being lonely, but as a man, you should not be single forever, at some point, you have to find a beautiful wife and settle down and having kids and making life together.
During your 20s is okey to be single, and channel your energy to create your name in the society in all facets of life as much as you can
Ahsante, aah tunashukuru ilimradi tunapumua inatoshaKuwa singo sio poa kabisa. Poleni 😃