Kuwafukuza uanachama Wanawake mashujaa 19 ni kujipiga risasi mguuni

Kuwafukuza uanachama Wanawake mashujaa 19 ni kujipiga risasi mguuni

Kuwafukuza uanachama ni option mojawapo ila hatarishi sana na bila shaka Chama hakitaopt kufanya hivyo

Huu ndio muda sasa wa akili kutawala hisia na mihemuko. Ni muda wa kuconsider athari za maamuzi yoyote in totality. Madhara ya kuwaacha hawa labda ni kupelekea watu wachache (Mnyika?) kuachia ngazi/kuondoka na hii inaweza kuonekana haina athari kubwa. Itakuwa ni case ya whether kutimua watu 20 au kuwaacha watu watatu or so waondoke🙂

Wakifukuzwa hawa 19/20 (Aida?) most likely watakimbilia mahakamani, Dola itawalinda na wataendelea kula posho nene mpaka June 2025.

Hapo katikati mihemuko ikipungua, wanaweza kusameheana, wakaanza kuchangia chama financially huku wakijipanga na uchaguzi wa 2025

Haya mambo hayahitaji hasira na Siasa ni Sayansi!
 
Mlisema tume ya uchaguzi sio huru, mliposhiriki uchaguzi mliamini katika matokeo huru? CHADEMA waacheni akinadada wakale posho isiyo huru msiwasumbue. Kwa kuwa ninyi wanaume ndio mliowapereka kwenye uchaguzi ulioongozwa na tume mliosema sio huru. Ikiwa mwanzo wa safari muliubariki basi lazima mukubaliane na mwisho wa safari.
 
Bora ubaki na wanachama 10 waaminifu kuliko kua na wanachama milioni wasaliti fukuzia mbali ili na wengine waogope Tena ikiwezekana uchunguzi ufanyike ili wote waliohusika kufanya uhuni huu waadhibiwe vikali.
 
Kuwafukuza sio jawabu la matatizo, tatizo ni mfumo unaozaa huo unaoitwa usaliti, lazima kila siku mtakuwa na wasaliti. Yawezekana mfumo upo ndani ya chama au nje ya chama.
Mtu akiamua kukengeuka muda wowote anakengeuka haijalishi mfumo na blah blah nyinginezo.Lucifer aligeuka chap na kuwa shetani.Hivyo hili litabaki kuwa ni suala la uhuru wa mtu na namna anavyoamua kuutumia uhuru wake huo.
 
Kuwafukuza uanachama ni option mojawapo ila hatarishi sana na bila shaka Chama hakitaopt kufanya hivyo

Huu ndio muda sasa wa akili kutawala hisia na mihemuko. Ni muda wa kuconsider athari za maamuzi yoyote in totality. Madhara ya kuwaacha hawa labda ni kupelekea watu wachache (Mnyika?) kuachia ngazi/kuondoka na hii inaweza kuonekana haina athari kubwa. Itakuwa ni case ya whether kutimua watu 20 au kuwaacha watu watatu or so waondoke🙂

Wakifukuzwa hawa 19/20 (Aida?) most likely watakimbilia mahakamani, Dola itawalinda na wataendelea kula posho nene mpaka June 2025.

Hapo katikati mihemuko ikipungua, wanaweza kusameheana, wakaanza kuchangia chama financially huku wakijipanga na uchaguzi wa 2025

Haya mambo hayahitaji hasira na Siasa ni Sayansi!
Haahaa wakiwaacha kitakuwa kikundi Cha wahuni Sio chama Cha siasa Tena,
Mlisema tume ya uchaguzi sio huru, mliposhiriki uchaguzi mliamini katika matokeo huru? CHADEMA waacheni akinadada wakale posho isiyo huru msiwasumbue. Kwa kuwa ninyi wanaume ndio mliowapereka kwenye uchaguzi ulioongozwa na tume mliosema sio huru. Ikiwa mwanzo wa safari muliubariki basi lazima mukubaliane na mwisho wa safari.
Ili wakale posho isiyo huru wakawe wabunge wa mahakama au ndugai.uwanachama wa chadema wawaachie wengine
 
Tatizo ni kwamba hata ukiwafukuza, ccm watakingia kifua na wataendelea kuwa bungeni!
Hata wakikingiwa watanzania watajua na dunia itajua kua Sheria hazifuatwi Tena nalo litakua tatzo lingine ambalo tutajua namna ya kulishughulikia
 
Hili tusi wangenitukana ccm, wala lisingeniumiza!! Anyway, soma bandiko lote mkuu, tujadiliane!
Mkuu umekosa pesa ya kula au ndiyo watafuta buku 7? Mambo ya CHADEMA waachie wenyewe CHADEMA
 
Chonde chonde kamati kuu ya CHADEMA, huu mtego utegueni kwa hekima. Kuwafukuza wanawake 19, au 20, ambao Ndio wanawake imara na wenye nguvu zaidi nchini kwa sasa, siyo tu kujipiga risasi mguuni, ni kumpa adui nafasi ya kujilinda na kukushambulia!

Sisiemu wana pandikiza mapandikizi kila leo, wale kina ‘Mamvi’, mzee ‘gusa unuke’, nk! Kwanini tusiwachezee mchezo wao huo huo?! Unapata wapi fursa nyingine kama hii!? Naomba suala la wamama tulimalize, alafu watu kadhaa vichwa kama Mnyika, na Catherine Ruge waunge juhudi mkono, waende jikoni mle, wakatulee mbinu! Kwa nini tutegemee njia moja tu? Huyu adui tunatumia njia hiyo tangu 1995, na tunapigwa?! Ok, Lisu na Lema wamekimbilia uhamishoni, ni mbinu lakini isiwe ya mwisho!

Wacha watutukane, watubeze na kutudharau, lakini mwishoni tuwatoe madarakani! Lengo lao chama kisambaratike na kufa, lakini Sisi tuamue kusambaratika na kuishi!

Kesho tokeni na agenda ya kukivunja vunja chama! Kama kawaida Mwamba Mbowe abebeshwe lawama ya kawaida ya kupenda ruzuku, kuwa ameteua 19 peke ake, alafu wajumbe wengine wakuu wajivue uanachama, waunge juhudi waingie serikalini, ‘kimafia’!! Tufe ili kuishi, sambaratisha chama kiingie kila uwanja wa vita.

Kila tutakapo ingia tueneze u-CHADEMA wetu, kama Wakristo wanavyo eneza Ukristo wao China, chini kwa chini! Tusitake mafanikio ya mda mfupi tu, tujipangeni ‘kimafia’ kwa ajili ya mafanikio ya mda mrefu!

Ni maoni yangu lakini nitaendelea kuunga mkono upinzani kwa khali na mali, hata kama ushauri wangu hautafuatwa!
Binafsi ninakesha na kuomba CDM iwatimulie mbali wasaliti hawa. Hatujui nyuma ya ubunge huu wa viti maalumu ni nini makubaliano (ToR) katika shughuli za kila siku za CDM. Amini ninakwambia Halima na timu yake sio mashujaa pekee nchini Tanzania. Wapo mashujaa wasioimbwa wametulia wanaweza wakapewa nafasi kuivusha CDM.

Huko CCM ndio wanakwenda kujimaliza wenyewe na ndio lengo la CCM. Jambo ambalo CCM hailijui ni kuwa upinzani sio CDM; upinzani upo miongoni mwa Watanzania wazalendo. Unaweza kuiua CDM na bado ukabaki unapingwa everywhere hata ndani ya CCM!!
 
'muasi' malipo yake ni risasi ya kichwa bila huruma au kunyongwa hadharan, kama unabisha muulize babu yako akuelezee kilicho Jiri baada ya vita kuu ya pili ya dunia ………………….
 
Kuwafukuza uanachama ni option mojawapo ila hatarishi sana na bila shaka Chama hakitaopt kufanya hivyo

Huu ndio muda sasa wa akili kutawala hisia na mihemuko. Ni muda wa kuconsider athari za maamuzi yoyote in totality. Madhara ya kuwaacha hawa labda ni kupelekea watu wachache (Mnyika?) kuachia ngazi/kuondoka na hii inaweza kuonekana haina athari kubwa. Itakuwa ni case ya whether kutimua watu 20 au kuwaacha watu watatu or so waondoke[emoji846]

Wakifukuzwa hawa 19/20 (Aida?) most likely watakimbilia mahakamani, Dola itawalinda na wataendelea kula posho nene mpaka June 2025.

Hapo katikati mihemuko ikipungua, wanaweza kusameheana, wakaanza kuchangia chama financially huku wakijipanga na uchaguzi wa 2025

Haya mambo hayahitaji hasira na Siasa ni Sayansi!
Hapo hakuna bla blaa wafukuzwe tu, na kama wakileta upuuzi na kuwaacha/ kuwasamehe basi Chadema inakufa kibudu
 
Chonde chonde kamati kuu ya CHADEMA, huu mtego utegueni kwa hekima. Kuwafukuza wanawake 19, au 20, ambao Ndio wanawake imara na wenye nguvu zaidi nchini kwa sasa, siyo tu kujipiga risasi mguuni, ni kumpa adui nafasi ya kujilinda na kukushambulia!

Sisiemu wana pandikiza mapandikizi kila leo, wale kina ‘Mamvi’, mzee ‘gusa unuke’, nk! Kwanini tusiwachezee mchezo wao huo huo?! Unapata wapi fursa nyingine kama hii!? Naomba suala la wamama tulimalize, alafu watu kadhaa vichwa kama Mnyika, na Catherine Ruge waunge juhudi mkono, waende jikoni mle, wakatulee mbinu! Kwa nini tutegemee njia moja tu? Huyu adui tunatumia njia hiyo tangu 1995, na tunapigwa?! Ok, Lisu na Lema wamekimbilia uhamishoni, ni mbinu lakini isiwe ya mwisho!

Wacha watutukane, watubeze na kutudharau, lakini mwishoni tuwatoe madarakani! Lengo lao chama kisambaratike na kufa, lakini Sisi tuamue kusambaratika na kuishi!

Kesho tokeni na agenda ya kukivunja vunja chama! Kama kawaida Mwamba Mbowe abebeshwe lawama ya kawaida ya kupenda ruzuku, kuwa ameteua 19 peke ake, alafu wajumbe wengine wakuu wajivue uanachama, waunge juhudi waingie serikalini, ‘kimafia’!! Tufe ili kuishi, sambaratisha chama kiingie kila uwanja wa vita.

Kila tutakapo ingia tueneze u-CHADEMA wetu, kama Wakristo wanavyoeneza Ukristo wao China, chini kwa chini! Tusitake mafanikio ya mda mfupi tu, tujipangeni ‘kimafia’ kwa ajili ya mafanikio ya muda mrefu!

Ni maoni yangu lakini nitaendelea kuunga mkono upinzani kwa hali na mali, hata kama ushauri wangu hautafuatwa!
wafukuzwe haraka sana
 
Mlisema tume ya uchaguzi sio huru, mliposhiriki uchaguzi mliamini katika matokeo huru? CHADEMA waacheni akinadada wakale posho isiyo huru msiwasumbue. Kwa kuwa ninyi wanaume ndio mliowapereka kwenye uchaguzi ulioongozwa na tume mliosema sio huru. Ikiwa mwanzo wa safari muliubariki basi lazima mukubaliane na mwisho wa safari.
Nikisema wewe ni chizi Maarifa nakiwa nimekosea au kukutukana?
 
Chonde chonde kamati kuu ya CHADEMA, huu mtego utegueni kwa hekima. Kuwafukuza wanawake 19, au 20, ambao Ndio wanawake imara na wenye nguvu zaidi nchini kwa sasa, siyo tu kujipiga risasi mguuni, ni kumpa adui nafasi ya kujilinda na kukushambulia!

Sisiemu wana pandikiza mapandikizi kila leo, wale kina ‘Mamvi’, mzee ‘gusa unuke’, nk! Kwanini tusiwachezee mchezo wao huo huo?! Unapata wapi fursa nyingine kama hii!? Naomba suala la wamama tulimalize, alafu watu kadhaa vichwa kama Mnyika, na Catherine Ruge waunge juhudi mkono, waende jikoni mle, wakatulee mbinu! Kwa nini tutegemee njia moja tu? Huyu adui tunatumia njia hiyo tangu 1995, na tunapigwa?! Ok, Lisu na Lema wamekimbilia uhamishoni, ni mbinu lakini isiwe ya mwisho!

Wacha watutukane, watubeze na kutudharau, lakini mwishoni tuwatoe madarakani! Lengo lao chama kisambaratike na kufa, lakini Sisi tuamue kusambaratika na kuishi!

Kesho tokeni na agenda ya kukivunja vunja chama! Kama kawaida Mwamba Mbowe abebeshwe lawama ya kawaida ya kupenda ruzuku, kuwa ameteua 19 peke ake, alafu wajumbe wengine wakuu wajivue uanachama, waunge juhudi waingie serikalini, ‘kimafia’!! Tufe ili kuishi, sambaratisha chama kiingie kila uwanja wa vita.

Kila tutakapo ingia tueneze u-CHADEMA wetu, kama Wakristo wanavyoeneza Ukristo wao China, chini kwa chini! Tusitake mafanikio ya mda mfupi tu, tujipangeni ‘kimafia’ kwa ajili ya mafanikio ya muda mrefu!

Ni maoni yangu lakini nitaendelea kuunga mkono upinzani kwa hali na mali, hata kama ushauri wangu hautafuatwa!
Kama ni kwenye chess chadema inakaribia checkmate.

Mbinu hawana kabisa za kimapambano zaidi ya mbinu moja tu ya kupiga kelele vyombo vya habari na kwa wazungu huo ni ujinga nisawa upigwe shule ukaseme kwa kaka yako.

Chadema kwanza inatakiwa iyachane na unafiki unafiki ndio shetani anae itafuna chadema toka 2015 bada ya kumleta lowasa.

Kingine chama mwenyekiti ni moja kwa takribani mwongo moja. Abadilike aingie mwingine huwezi juwa uwezo wa kufikiri watu tumetofautiana kama sura zetu hivo hivo. Mboe amwandae mtu anae mwamini na kumpika. Kwani huyo mbowe hato kufa kama yye hatotoka madarakani.?
“In politics, nothing happens by accident. If it happens, you can bet it was planned that way. “
 
Na kwakuto kufanya hovyo ni dhahiri kuwa kuna watu ni wakubwa kuliko chama #period
 
Back
Top Bottom