Kuwafukuza uanachama Wanawake mashujaa 19 ni kujipiga risasi mguuni

Mziki uliowashwa na CCM unachezwa kwa vurugu kubwa na Chadema.
Kuna ngumi zitalika muda simrefu pale Ufipa.
 
Tatizo ni kwamba hata ukiwafukuza, ccm watakingia kifua na wataendelea kuwa bungeni!
Lakini lengo lao la kupata hela za mabeberu,sababu wana bunge lenye wapinzani halitatimia.
Ccm hawana shida na akina Mdee bali wanataka watumike kupata trillion za mabeberu.
 
Lakini lengo lao la kupata hela za mabeberu,sababu wana bunge lenye wapinzani halitatimia.
Ccm hawana shida na akina Mdee bali wanataka watumike kupata trillion za mabeberu.
Kwann lisitimie wakati kambi ya upinzani imeshapatikana ?

Wasipotupa hizo pesa watakuwa wana visa na sisi
 
Lakini lengo lao la kupata hela za mabeberu,sababu wana bunge lenye wapinzani halitatimia.
Ccm hawana shida na akina Mdee bali wanataka watumike kupata trillion za mabeberu.
Hilo lipo wazi mkuu, hata MATAGA wengine humu, leo wanajifanya kumsifu Mdee, mara eti kutetea haki za wanawake, hakuna upendo wala nini, nia yao ni kubomoa chadema na kujijenga wao! Lakini mimi naona fursa hapo hapo ya kujenga chama!
 
Chadema ipo ICU mda wowote inafariki ghafra na kupora kwa chadema ni kuwafukuza wa kike 19 a.k.a wanandungai kinyume na hapo chadema inafariki ghafra na kuwa level ya chauma UDP DP TLP NCCR na CUF ya Lipumba
 
Bora wawe wabunge wa mahakamaccm kuliko kukaa na maradhi ya wakke 19 wanandungai ambao wataivua heshima yote ya chadema na kudharaulika Duniani kote
 
Hakuna mkubwa kuiko chama covid 19 waondoke wote
Wanandungai 19 ni Sumu ni corona iliyoingia chadema bora wafukuzwe mapema chadema ipone kinyume na hapo chadema itadharaulika na kuwa chama cha hovyo mno
 
Chuki yako kwa Mbowe inatambulisha upo upande gani, na mpo wengi!
Hakuna chuki kwa mbowe Tambua mbowe anawadharau viongozi wenzake, mfano kaenda kuchukua bilion 3 peke yake CCM kamgawia Salum mwalimu kidogo kawazunguka Lisu na mnyika na sasa yupo nyumbani kwa Kenyata kenya anaficha hizo pesa kwanza ndipo atengeneze mazingira ya kuwahadaa watanzania , chadema ichague moja kudharaulika zaidi au kuheshimika zaidi leo
 
Mbowe na wakike 19 wanandungai lao ni moja wapo after money’ huku akiwinda ruzuku haramu tokea kwao ndiyo maana kawazunguka akina Lisu na mnyika kienyeji kwa njia haramu za kishetani lakini leo anaenda kuumbuliwa endapo hatakuwa na uthubutu wa kuwafukuza hao wanandungai 19 waliojisimika ubunge kienyeji
 
Chadema ipo ICU mda wowote inafariki ghafra na njia pekee ya kuiokoa chadema ni kuwafukuza wa wanandungai 19 tu siyo vinginevyo
 
Sio kweli kwamba kuwafukuza ni kujipiga risasi mguuni, kwani wamekwishapoteza sifa ya kuwa mashujaa.
 
Chadema ipo ICU mda wowote inafariki ghafra na njia pekee ya kuiokoa chadema ni kuwafukuza wa wanandungai 19 tu siyo vinginevyo
Kuwepo au kutokuwepo kwa COVID-19, hakuwezi kuiua chadema! Maneno kama hayo kuhusu Mbowe, wameyaimba sana ccm, naona ni zamu yetu sasa! Tujihadhari tu, kama tukimmaliza Mbowe, tutamuanza Nani?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…