Kuwafungia raia yaani kitu kinachoitwa Lockdown ni kuwapa ‘DEATH MULTIPLE CHOICE’

Kuwafungia raia yaani kitu kinachoitwa Lockdown ni kuwapa ‘DEATH MULTIPLE CHOICE’

Wolle Melkas Fernando

JF-Expert Member
Joined
May 4, 2016
Posts
253
Reaction score
360
Na Wolle;

Kwanza niseme kwenye ukweli huwa siko affiliated na chama chochote kile. Katika mijadala ya tahadhari dhidi ya Corona nimefuatilia sana wengi wakisema serikali ya Magufuli inafanya mzaha na kuhatarisha uhai wa watu.

Wanaosema haya hasa ni viongozi wa Vyama Vya Upinzani na wachache wa CCM na zaidi sana wanasema kwamba uhai haulinganishwi na mapato ama uchumi. Ni kweli uhai haulinganishwi na kitu chochote kile lakini siyo kweli kwamba serikali ya Magufuli inacheza na kuhatarisha uhai wa watu kuhusu uchukuaji wa tahadhari dhidi ya janga la Corona.

Wakati naelekea kwenye point yangu tukumbuke pia kuwa Afrika na Ulaya ni mabara mawili tofauti, kitamaduni, kiuchumi na kijiografia. Mifumo ya maisha ya raia wa Ulaya na nchi za Magharibi ni tofauti na yetu Afrika, mifumo ya biashara ya Ulaya ni tofauti na yetu, miundombinu ya Ulaya ni tofauti na yetu. Ukuaji wa Uchumi wa Afrika ni tofauti na ule wa Ulaya.

Hivi uliwahi kujiuliza kwamba ni kwanini Afrika tusiige mbinu walizotumia Ulaya ili tujikwamue kiuchumi tuondokane na umaskini? Viongozi wengi wa Afrika wamejaribu sana kuziiga hawajafanikiwa, unadhani ni kwanini? Kwasababu ile modeli ya uchumi wa ulaya (European economic model) haiwezi kukidhi haja ya bara la Afrika. Sasa kwanini katika kudhibiti Corona tutumie model inayotumiwa na bara la Ulaya? Tuachane na hayo.

Hapa tujipime wenyewe kwa nchi yetu ya Tanzania tuachane na bara la Afrika. Uchumi wa Watanzania wengi hasa kwenye miji na majiji makubwa ni ule wa 'hand to mouth,' kabla hata ya lockdown yaani hali ikiwa kawaida tu watu wana-starve! Je vipi wakiwa locked down? Haijalishi nusu karantini au karantini nzima (Patial or total lockdown), watu watahangaika sana. Ndiyo maana nasema Kuwafungia raia kwa kitu kinachoitwa 'Lockdown' ni kuwapa ‘DEATH MULTIPLE CHOICE’ Yaani mtu atachagua;

A) Akae ndani kuepuka corona afe kwa njaa au

B) Atoke aende kwenye shughuli za kumpa mkate aepuka njaa afe kwa corona.

Huku nafasi kubwa ya kifo ikiwa kwenye lockdown kuliko wangeachwa wafanye shughuli huku wakichukua tahadhari, kwasababu kumbuka kwenye lockdown raia watapambana na njaa pamoja na polisi ama vyombo vya ulinzi na usalama kwa ujumla. Hapa naungana na Mh. Rais Dr. Magufuli. Na hapa naongezea kuwa lockdown itaua zaidi kuliko Corona yenyewe.

Denis Waitley, mwandishi wa vitabu na mwanasaikolojia aliwahi kusema, “Life is inherently risky. There is only one big risk you should avoid at all costs, and that is the risk of doing nothing.”
Kwa tafsiri ya kawaida kabisa akimaanisha kwamba, “Maisha ni hatari kwa asili. Kuna hatari moja tu ambayo unapaswa kuepukana nayo kwa gharama zote, nayo ni hatari ya kutofanya chochote."

Fikiria Tume-lockdown Dar es Salaam, hapo tutakuwa tunapoteza watu kwa corona na kwa njaa huku uchumi na mapato vikiwa vimesimama. Kuacha watu waendelee na shughuli huku wakichukua tahadhari ni jambo la busara zaidi kuliko kukaa ndani watu wakiwa hawafanyi chochote wakisikiliza habari za corona.

Kumbuka namna ya kurudisha uchumi uliopotea Ulaya ni rahisi zaidi kuliko kurudisha kurudisha uchumi uliopotea Afrika (hasa Tanzania)

Mwisho kabisa nampa Rais Magufuli alama ya “A” kwa kufaulu mtihani ambao somo lake niliwahi kufundishwa na mwalimu wangu wa chuo kwenye kipengele kimoja kinaitwa ‘Professional Dilemma’. Walio wengi wameshindwa kufaulu changamoto hii, wamechanganyikiwa, mara walaumu uchumi kuyumba mara walaumu kutoku-lockdown.

Nakutakia kazi njema, endelea kufanya kazi huku ukijilinda wewe na uwapendao.

MUNGU IBARIKI AFRIKA, MUNGU IBARIKI TANZANIA
 
Na Wolle;

Kwanza niseme kwenye ukweli huwa siko affiliated na chama chochote kile. Katika mijadala ya tahadhari dhidi ya Corona nimefuatilia sana wengi wakisema serikali ya Magufuli inafanya mzaha na kuhatarisha uhai wa watu.

Wanaosema haya hasa ni viongozi wa Vyama Vya Upinzani na wachache wa CCM na zaidi sana wanasema kwamba uhai haulinganishwi na mapato ama uchumi. Ni kweli uhai haulinganishwi na kitu chochote kile lakini siyo kweli kwamba serikali ya Magufuli inacheza na kuhatarisha uhai wa watu kuhusu uchukuaji wa tahadhari dhidi ya janga la Corona.

Wakati naelekea kwenye point yangu tukumbuke pia kuwa Afrika na Ulaya ni mabara mawili tofauti, kitamaduni, kiuchumi na kijiografia. Mifumo ya maisha ya raia wa Ulaya na nchi za Magharibi ni tofauti na yetu Afrika, mifumo ya biashara ya Ulaya ni tofauti na yetu, miundombinu ya Ulaya ni tofauti na yetu. Ukuaji wa Uchumi wa Afrika ni tofauti na ule wa Ulaya.

Hivi uliwahi kujiuliza kwamba ni kwanini Afrika tusiige mbinu walizotumia Ulaya ili tujikwamue kiuchumi tuondokane na umaskini? Viongozi wengi wa Afrika wamejaribu sana kuziiga hawajafanikiwa, unadhani ni kwanini? Kwasababu ile modeli ya uchumi wa ulaya (European economic model) haiwezi kukidhi haja ya bara la Afrika. Sasa kwanini katika kudhibiti Corona tutumie model inayotumiwa na bara la Ulaya? Tuachane na hayo.

Hapa tujipime wenyewe kwa nchi yetu ya Tanzania tuachane na bara la Afrika. Uchumi wa Watanzania wengi hasa kwenye miji na majiji makubwa ni ule wa 'hand to mouth,' kabla hata ya lockdown yaani hali ikiwa kawaida tu watu wana-starve! Je vipi wakiwa locked down? Haijalishi nusu karantini au karantini nzima (Patial or total lockdown), watu watahangaika sana. Ndiyo maana nasema Kuwafungia raia kwa kitu kinachoitwa 'Lockdown' ni kuwapa ‘DEATH MULTIPLE CHOICE’ Yaani mtu atachagua;

A) Akae ndani kuepuka corona afe kwa njaa au

B) Atoke aende kwenye shughuli za kumpa mkate aepuka njaa afe kwa corona.

Huku nafasi kubwa ya kifo ikiwa kwenye lockdown kuliko wangeachwa wafanye shughuli huku wakichukua tahadhari, kwasababu kumbuka kwenye lockdown raia watapambana na njaa pamoja na polisi ama vyombo vya ulinzi na usalama kwa ujumla. Hapa naungana na Mh. Rais Dr. Magufuli. Na hapa naongezea kuwa lockdown itaua zaidi kuliko Corona yenyewe.

Denis Waitley, mwandishi wa vitabu na mwanasaikolojia aliwahi kusema, “Life is inherently risky. There is only one big risk you should avoid at all costs, and that is the risk of doing nothing.”
Kwa tafsiri ya kawaida kabisa akimaanisha kwamba, “Maisha ni hatari kwa asili. Kuna hatari moja tu ambayo unapaswa kuepukana nayo kwa gharama zote, nayo ni hatari ya kutofanya chochote."

Fikiria Tume-lockdown Dar es Salaam, hapo tutakuwa tunapoteza watu kwa corona na kwa njaa huku uchumi na mapato vikiwa vimesimama. Kuacha watu waendelee na shughuli huku wakichukua tahadhari ni jambo la busara zaidi kuliko kukaa ndani watu wakiwa hawafanyi chochote wakisikiliza habari za corona.

Kumbuka namna ya kurudisha uchumi uliopotea Ulaya ni rahisi zaidi kuliko kurudisha kurudisha uchumi uliopotea Afrika (hasa Tanzania)

Mwisho kabisa nampa Rais Magufuli alama ya “A” kwa kufaulu mtihani ambao somo lake niliwahi kufundishwa na mwalimu wangu wa chuo kwenye kipengele kimoja kinaitwa ‘Professional Dilemma’. Walio wengi wameshindwa kufaulu changamoto hii, wamechanganyikiwa, mara walaumu uchumi kuyumba mara walaumu kutoku-lockdown.

Nakutakia kazi njema, endelea kufanya kazi huku ukijilinda wewe na uwapendao.

MUNGU IBARIKI AFRIKA, MUNGU IBARIKI TANZANIA

Mkuu bandiko lako linakosa usahihi kabisa. Uganda, Rwanda, Kenya ni Afrika wala si ulaya au marekani kama unavyojaribu kujidanganya. Baadhi wamekwenda total lockdown na partial lockdown. Wengine ni masikini kuliko hata sisi. Wako vizuri na wanasonga mbele.

Ugonjwa umedhibitiwa na hakuna aliye kufa njaa.

Acheni kufanyia siasa Jambo hili ambalo liko wazi mno. Hivi tafsiri zenu mnazipatia wapi? Mbona yameelezwa sana haya mkuu?

Hoja za wanaoona lockdown haifai ni zipi? Tuelimishane - JamiiForums

Hizi njaa mnazoimba kila siku mnaziota tokea wapi?

IMG_20200424_181650_106.jpg
 
Huu ni ukweli usiopingika kabisa, approach yetu katika kudeal na majanga, maendeleo na vingine vingi haipaswi kufanana na Ulaya as we are quite so different in terms of many things, almost everything by the way.

Ukiongea na wazungu wenye mtizamo walau chanya juu ya maendeleo ya Afrika watakuambia, kuna mmoja alini-expose kusoma kitabu kinaitwa “Dead Aid”, humo utajua kwanini Afrika tumepewa misaada ya mabilioni ya dola za kigeni lakini mpaka sasa maendeleo hakuna.

Jiwe ni jiwe kweli kweli na kwa hilo nampa kudos from mi heart.
 
Na Wolle;

Kwanza niseme kwenye ukweli huwa siko affiliated na chama chochote kile. Katika mijadala ya tahadhari dhidi ya Corona nimefuatilia sana wengi wakisema serikali ya Magufuli inafanya mzaha na kuhatarisha uhai wa watu.

Wanaosema haya hasa ni viongozi wa Vyama Vya Upinzani na wachache wa CCM na zaidi sana wanasema kwamba uhai haulinganishwi na mapato ama uchumi. Ni kweli uhai haulinganishwi na kitu chochote kile lakini siyo kweli kwamba serikali ya Magufuli inacheza na kuhatarisha uhai wa watu kuhusu uchukuaji wa tahadhari dhidi ya janga la Corona.

Wakati naelekea kwenye point yangu tukumbuke pia kuwa Afrika na Ulaya ni mabara mawili tofauti, kitamaduni, kiuchumi na kijiografia. Mifumo ya maisha ya raia wa Ulaya na nchi za Magharibi ni tofauti na yetu Afrika, mifumo ya biashara ya Ulaya ni tofauti na yetu, miundombinu ya Ulaya ni tofauti na yetu. Ukuaji wa Uchumi wa Afrika ni tofauti na ule wa Ulaya.

Hivi uliwahi kujiuliza kwamba ni kwanini Afrika tusiige mbinu walizotumia Ulaya ili tujikwamue kiuchumi tuondokane na umaskini? Viongozi wengi wa Afrika wamejaribu sana kuziiga hawajafanikiwa, unadhani ni kwanini? Kwasababu ile modeli ya uchumi wa ulaya (European economic model) haiwezi kukidhi haja ya bara la Afrika. Sasa kwanini katika kudhibiti Corona tutumie model inayotumiwa na bara la Ulaya? Tuachane na hayo.

Hapa tujipime wenyewe kwa nchi yetu ya Tanzania tuachane na bara la Afrika. Uchumi wa Watanzania wengi hasa kwenye miji na majiji makubwa ni ule wa 'hand to mouth,' kabla hata ya lockdown yaani hali ikiwa kawaida tu watu wana-starve! Je vipi wakiwa locked down? Haijalishi nusu karantini au karantini nzima (Patial or total lockdown), watu watahangaika sana. Ndiyo maana nasema Kuwafungia raia kwa kitu kinachoitwa 'Lockdown' ni kuwapa ‘DEATH MULTIPLE CHOICE’ Yaani mtu atachagua;

A) Akae ndani kuepuka corona afe kwa njaa au

B) Atoke aende kwenye shughuli za kumpa mkate aepuka njaa afe kwa corona.

Huku nafasi kubwa ya kifo ikiwa kwenye lockdown kuliko wangeachwa wafanye shughuli huku wakichukua tahadhari, kwasababu kumbuka kwenye lockdown raia watapambana na njaa pamoja na polisi ama vyombo vya ulinzi na usalama kwa ujumla. Hapa naungana na Mh. Rais Dr. Magufuli. Na hapa naongezea kuwa lockdown itaua zaidi kuliko Corona yenyewe.

Denis Waitley, mwandishi wa vitabu na mwanasaikolojia aliwahi kusema, “Life is inherently risky. There is only one big risk you should avoid at all costs, and that is the risk of doing nothing.”
Kwa tafsiri ya kawaida kabisa akimaanisha kwamba, “Maisha ni hatari kwa asili. Kuna hatari moja tu ambayo unapaswa kuepukana nayo kwa gharama zote, nayo ni hatari ya kutofanya chochote."

Fikiria Tume-lockdown Dar es Salaam, hapo tutakuwa tunapoteza watu kwa corona na kwa njaa huku uchumi na mapato vikiwa vimesimama. Kuacha watu waendelee na shughuli huku wakichukua tahadhari ni jambo la busara zaidi kuliko kukaa ndani watu wakiwa hawafanyi chochote wakisikiliza habari za corona.

Kumbuka namna ya kurudisha uchumi uliopotea Ulaya ni rahisi zaidi kuliko kurudisha kurudisha uchumi uliopotea Afrika (hasa Tanzania)

Mwisho kabisa nampa Rais Magufuli alama ya “A” kwa kufaulu mtihani ambao somo lake niliwahi kufundishwa na mwalimu wangu wa chuo kwenye kipengele kimoja kinaitwa ‘Professional Dilemma’. Walio wengi wameshindwa kufaulu changamoto hii, wamechanganyikiwa, mara walaumu uchumi kuyumba mara walaumu kutoku-lockdown.

Nakutakia kazi njema, endelea kufanya kazi huku ukijilinda wewe na uwapendao.

MUNGU IBARIKI AFRIKA, MUNGU IBARIKI TANZANIA
Mkuu wanaolilia lockdown ni Chadema ili uchumi uharibike wapate kiki za kupost twita.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu bandiko lako linakosa usahihi kabisa. Uganda, Rwanda, Kenya ni Afrika wala si ulaya au marekani kama unavyojaribu kujidanganya. Baadhi wamekwenda total lockdown na partial lockdown. Wengine ni masikini kuliko hata sisi. Wako vizuri na wanasonga mbele.

Ugonjwa umedhibitiwa na hakuna aliye kufa njaa.

Acheni kufanyia siasa Jambo hili ambalo liko wazi mno. Hivi tafsiri zenu mnazipatia wapi? Mbona yameelezwa sana haya mkuu?

Hoja za wanaoona lockdown haifai ni zipi? Tuelimishane - JamiiForums

Hizi njaa mnazoimba kila siku mnaziota tokea wapi?

View attachment 1429029
Kama marekani wananchi wake wanauhitaji mkubwa wa chakula, juzi tu, mwanamuziki Wiz Khalifa kacheza game lake la Weed farm masaa kumi na mbili kukusanya fedha kuchangia wenye njaa Marekani, mind you not in Afrika! unashangaa madhara ya njaa kuwepo Afrika? U have got to be kidding yourself.
 
Kama marekani wananchi wake wanauhitaji mkubwa wa chakula, juzi tu, mwanamuziki Wiz Khalifa kacheza game lake la Weed farm masaa kumi na mbili kukusanya fedha kuchangia wenye njaa Marekani, mind you not in Afrika! unashangaa madhara ya njaa kuwepo Afrika? U have got to be kidding yourself.

Mkuu kwanini tunakomalia sana marekani?

Kwa nini siyo Rwanda, Uganda, Kenya wala South Africa?

Au labda mkuu huu ugonjwa utaondoka je hapa kwetu? Si unajua kuutokomeza ni mpaka kila mwathirika apatikane mmoja mmoja kutoka kokote kule aliko nchini?

Mkuu nini mbadala?

Kwa nini mstakabala huu wanaotumia Rwanda na Uganda ni mwiba kwetu? Tatizo liko wapi?

IMG_20200424_181650_106.jpg
 
Mkuu kwanini tunakomalia sana marekani?

Kwa nini siyo Rwanda, Uganda, Kenya wala South Africa?

Au labda mkuu huu ugonjwa utaondoka je hapa kwetu? Si unajua kuutokomeza ni mpaka kila mwathirika apatikane mmoja mmoja kutoka kokote kule aliko nchini?

Mkuu nini mbadala?

Kwa nini mstakabala huu wanaotumia Rwanda na Uganda ni mwiba kwetu? Tatizo liko wapi?

View attachment 1429085
Mpaka sasa hakuna nchi iliyo na uhakika wa matibabu not to mention means to be used to totally tackle down the epidemic virus, sisi wale tunaitwa shit hole countries, Rwanda, Kenya na hizo nyingine unazozing’ang’ania combined, unategemea nn kipya haswa kutoka kwenye hizo nchi?

Hutaki jifukiza, omba, hutaki omba jifungie ndani.
“We are born to die, why fight to live?” The game.
 
Mkuu bandiko lako linakosa usahihi kabisa. Uganda, Rwanda, Kenya ni Afrika wala si ulaya au marekani kama unavyojaribu kujidanganya. Baadhi wamekwenda total lockdown na partial lockdown. Wengine ni masikini kuliko hata sisi. Wako vizuri na wanasonga mbele.

Ugonjwa umedhibitiwa na hakuna aliye kufa njaa.

Acheni kufanyia siasa Jambo hili ambalo liko wazi mno. Hivi tafsiri zenu mnazipatia wapi? Mbona yameelezwa sana haya mkuu?

Hoja za wanaoona lockdown haifai ni zipi? Tuelimishane - JamiiForums

Hizi njaa mnazoimba kila siku mnaziota tokea wapi?

View attachment 1429029
Kuna ushahidi wowote wa takwimu kwamba Nchi za Afrika mashariki zilizofanya lockdown zimepunguza maambukizi kwa asilimia ngapi na sisi ambao hatujafanya lockdown maambukizi yameongezeka kwa asilimia ngapi dhidi ya wenzetu?

Kwa kuangalia tu madhara ya lockdown waliyoyapata hao unaowasema ni makubwa sana vikiwemo vifo sisi hicho kitu kwetu hakipo. Msipende kuiga na kukosoa masuala ya msingi kama haya, acheni!
 
We unaelewa lockdown tu? Hujui kama kuna complete na partial lockdown, kuna curfew pia

Unaandika kama unekatwa kichwa, na mahaba yako ya CCM

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeainisha kwenye andiko kwamba iwe 'Partial Lockdown au Total Lock Down' Zote zina madhara makubwa. Kuweni wazalendo na Tanzania. Najua Kote kuna madhara lakini Lockdown inakuwa na madhara mengi zaidi kuliko kuwaacha watu waendelee na shughuli huku wakichukua tahadhari ndio maana mwishoni nimesema Rais Magufuli amefaulu mtihani wa ‘Professional Dilemma’ . Kinachowashinda nyie hamuwezi kufanya analysisi ya kipi chenye madhara mara mbili, Lockdown au kutoku-lockdown? Fungueni hizo medula.
 
nyie wanafunzi wa chuo mnachekesha sanaa.
Msidhani maisha ni marahisi hvyo.
Baba yako akitoka kwenda kazini anaomba isije ikatokea lockdown hapo nyumbani mkafa njaa.
Cha ajabu mtoto mwenyewe a naomba baba yake akae ndani sijui mtakula nini..
Hivi kweli uwe na familia inakutegemea utapiga hizi kelele za kutaka mfungiwe?
We unaelewa lockdown tu? Hujui kama kuna complete na partial lockdown, kuna curfew pia

Unaandika kama unekatwa kichwa, na mahaba yako ya CCM

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hausikii wanavyolia njaa.?.
Museven kuwapa kilo sita za unga na kilo tatu za maharage wananchi wake.
Hivi unadhani watakula siku ngapi?.
Mkuu bandiko lako linakosa usahihi kabisa. Uganda, Rwanda, Kenya ni Afrika wala si ulaya au marekani kama unavyojaribu kujidanganya. Baadhi wamekwenda total lockdown na partial lockdown. Wengine ni masikini kuliko hata sisi. Wako vizuri na wanasonga mbele.

Ugonjwa umedhibitiwa na hakuna aliye kufa njaa.

Acheni kufanyia siasa Jambo hili ambalo liko wazi mno. Hivi tafsiri zenu mnazipatia wapi? Mbona yameelezwa sana haya mkuu?

Hoja za wanaoona lockdown haifai ni zipi? Tuelimishane - JamiiForums

Hizi njaa mnazoimba kila siku mnaziota tokea wapi?

View attachment 1429029

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna ushahidi wowote wa takwimu kwamba Nchi za Afrika mashariki zilizofanya lockdown zimepunguza maambukizi kwa asilimia ngapi na sisi ambao hatujafanya lockdown maambukizi yameongezeka kwa asilimia ngapi dhidi ya wenzetu? kwa kuangalia tu madhara ya lockdown waliyoyapata hao unaowasema ni makubwa sana vikiwemo vifo sisi hicho kitu kwetu hakipo. Msipende kuiga na kukosoa masuala ya msingi kama haya, acheni!

Umeuliza kupata majibu? Au kujikoki kufikia conclusion unayotaka?

Mind you the two are different. Ila kama unataka ushahidi mmoja huu hapa:



Kama unataka zaidi tutakupa.
 
Na Wolle;

Kwanza niseme kwenye ukweli huwa siko affiliated na chama chochote kile. Katika mijadala ya tahadhari dhidi ya Corona nimefuatilia sana wengi wakisema serikali ya Magufuli inafanya mzaha na kuhatarisha uhai wa watu.

Wanaosema haya hasa ni viongozi wa Vyama Vya Upinzani na wachache wa CCM na zaidi sana wanasema kwamba uhai haulinganishwi na mapato ama uchumi. Ni kweli uhai haulinganishwi na kitu chochote kile lakini siyo kweli kwamba serikali ya Magufuli inacheza na kuhatarisha uhai wa watu kuhusu uchukuaji wa tahadhari dhidi ya janga la Corona.

Wakati naelekea kwenye point yangu tukumbuke pia kuwa Afrika na Ulaya ni mabara mawili tofauti, kitamaduni, kiuchumi na kijiografia. Mifumo ya maisha ya raia wa Ulaya na nchi za Magharibi ni tofauti na yetu Afrika, mifumo ya biashara ya Ulaya ni tofauti na yetu, miundombinu ya Ulaya ni tofauti na yetu. Ukuaji wa Uchumi wa Afrika ni tofauti na ule wa Ulaya.

Hivi uliwahi kujiuliza kwamba ni kwanini Afrika tusiige mbinu walizotumia Ulaya ili tujikwamue kiuchumi tuondokane na umaskini? Viongozi wengi wa Afrika wamejaribu sana kuziiga hawajafanikiwa, unadhani ni kwanini? Kwasababu ile modeli ya uchumi wa ulaya (European economic model) haiwezi kukidhi haja ya bara la Afrika. Sasa kwanini katika kudhibiti Corona tutumie model inayotumiwa na bara la Ulaya? Tuachane na hayo.

Hapa tujipime wenyewe kwa nchi yetu ya Tanzania tuachane na bara la Afrika. Uchumi wa Watanzania wengi hasa kwenye miji na majiji makubwa ni ule wa 'hand to mouth,' kabla hata ya lockdown yaani hali ikiwa kawaida tu watu wana-starve! Je vipi wakiwa locked down? Haijalishi nusu karantini au karantini nzima (Patial or total lockdown), watu watahangaika sana. Ndiyo maana nasema Kuwafungia raia kwa kitu kinachoitwa 'Lockdown' ni kuwapa ‘DEATH MULTIPLE CHOICE’ Yaani mtu atachagua;

A) Akae ndani kuepuka corona afe kwa njaa au

B) Atoke aende kwenye shughuli za kumpa mkate aepuka njaa afe kwa corona.

Huku nafasi kubwa ya kifo ikiwa kwenye lockdown kuliko wangeachwa wafanye shughuli huku wakichukua tahadhari, kwasababu kumbuka kwenye lockdown raia watapambana na njaa pamoja na polisi ama vyombo vya ulinzi na usalama kwa ujumla. Hapa naungana na Mh. Rais Dr. Magufuli. Na hapa naongezea kuwa lockdown itaua zaidi kuliko Corona yenyewe.

Denis Waitley, mwandishi wa vitabu na mwanasaikolojia aliwahi kusema, “Life is inherently risky. There is only one big risk you should avoid at all costs, and that is the risk of doing nothing.”
Kwa tafsiri ya kawaida kabisa akimaanisha kwamba, “Maisha ni hatari kwa asili. Kuna hatari moja tu ambayo unapaswa kuepukana nayo kwa gharama zote, nayo ni hatari ya kutofanya chochote."

Fikiria Tume-lockdown Dar es Salaam, hapo tutakuwa tunapoteza watu kwa corona na kwa njaa huku uchumi na mapato vikiwa vimesimama. Kuacha watu waendelee na shughuli huku wakichukua tahadhari ni jambo la busara zaidi kuliko kukaa ndani watu wakiwa hawafanyi chochote wakisikiliza habari za corona.

Kumbuka namna ya kurudisha uchumi uliopotea Ulaya ni rahisi zaidi kuliko kurudisha kurudisha uchumi uliopotea Afrika (hasa Tanzania)

Mwisho kabisa nampa Rais Magufuli alama ya “A” kwa kufaulu mtihani ambao somo lake niliwahi kufundishwa na mwalimu wangu wa chuo kwenye kipengele kimoja kinaitwa ‘Professional Dilemma’. Walio wengi wameshindwa kufaulu changamoto hii, wamechanganyikiwa, mara walaumu uchumi kuyumba mara walaumu kutoku-lockdown.

Nakutakia kazi njema, endelea kufanya kazi huku ukijilinda wewe na uwapendao.

MUNGU IBARIKI AFRIKA, MUNGU IBARIKI TANZANIA
MTAA WA LUMUMBA
 
Na Wolle;

Kwanza niseme kwenye ukweli huwa siko affiliated na chama chochote kile. Katika mijadala ya tahadhari dhidi ya Corona nimefuatilia sana wengi wakisema serikali ya Magufuli inafanya mzaha na kuhatarisha uhai wa watu.

Wanaosema haya hasa ni viongozi wa Vyama Vya Upinzani na wachache wa CCM na zaidi sana wanasema kwamba uhai haulinganishwi na mapato ama uchumi. Ni kweli uhai haulinganishwi na kitu chochote kile lakini siyo kweli kwamba serikali ya Magufuli inacheza na kuhatarisha uhai wa watu kuhusu uchukuaji wa tahadhari dhidi ya janga la Corona.

Wakati naelekea kwenye point yangu tukumbuke pia kuwa Afrika na Ulaya ni mabara mawili tofauti, kitamaduni, kiuchumi na kijiografia. Mifumo ya maisha ya raia wa Ulaya na nchi za Magharibi ni tofauti na yetu Afrika, mifumo ya biashara ya Ulaya ni tofauti na yetu, miundombinu ya Ulaya ni tofauti na yetu. Ukuaji wa Uchumi wa Afrika ni tofauti na ule wa Ulaya.

Hivi uliwahi kujiuliza kwamba ni kwanini Afrika tusiige mbinu walizotumia Ulaya ili tujikwamue kiuchumi tuondokane na umaskini? Viongozi wengi wa Afrika wamejaribu sana kuziiga hawajafanikiwa, unadhani ni kwanini? Kwasababu ile modeli ya uchumi wa ulaya (European economic model) haiwezi kukidhi haja ya bara la Afrika. Sasa kwanini katika kudhibiti Corona tutumie model inayotumiwa na bara la Ulaya? Tuachane na hayo.

Hapa tujipime wenyewe kwa nchi yetu ya Tanzania tuachane na bara la Afrika. Uchumi wa Watanzania wengi hasa kwenye miji na majiji makubwa ni ule wa 'hand to mouth,' kabla hata ya lockdown yaani hali ikiwa kawaida tu watu wana-starve! Je vipi wakiwa locked down? Haijalishi nusu karantini au karantini nzima (Patial or total lockdown), watu watahangaika sana. Ndiyo maana nasema Kuwafungia raia kwa kitu kinachoitwa 'Lockdown' ni kuwapa ‘DEATH MULTIPLE CHOICE’ Yaani mtu atachagua;

A) Akae ndani kuepuka corona afe kwa njaa au

B) Atoke aende kwenye shughuli za kumpa mkate aepuka njaa afe kwa corona.

Huku nafasi kubwa ya kifo ikiwa kwenye lockdown kuliko wangeachwa wafanye shughuli huku wakichukua tahadhari, kwasababu kumbuka kwenye lockdown raia watapambana na njaa pamoja na polisi ama vyombo vya ulinzi na usalama kwa ujumla. Hapa naungana na Mh. Rais Dr. Magufuli. Na hapa naongezea kuwa lockdown itaua zaidi kuliko Corona yenyewe.

Denis Waitley, mwandishi wa vitabu na mwanasaikolojia aliwahi kusema, “Life is inherently risky. There is only one big risk you should avoid at all costs, and that is the risk of doing nothing.”
Kwa tafsiri ya kawaida kabisa akimaanisha kwamba, “Maisha ni hatari kwa asili. Kuna hatari moja tu ambayo unapaswa kuepukana nayo kwa gharama zote, nayo ni hatari ya kutofanya chochote."

Fikiria Tume-lockdown Dar es Salaam, hapo tutakuwa tunapoteza watu kwa corona na kwa njaa huku uchumi na mapato vikiwa vimesimama. Kuacha watu waendelee na shughuli huku wakichukua tahadhari ni jambo la busara zaidi kuliko kukaa ndani watu wakiwa hawafanyi chochote wakisikiliza habari za corona.

Kumbuka namna ya kurudisha uchumi uliopotea Ulaya ni rahisi zaidi kuliko kurudisha kurudisha uchumi uliopotea Afrika (hasa Tanzania)

Mwisho kabisa nampa Rais Magufuli alama ya “A” kwa kufaulu mtihani ambao somo lake niliwahi kufundishwa na mwalimu wangu wa chuo kwenye kipengele kimoja kinaitwa ‘Professional Dilemma’. Walio wengi wameshindwa kufaulu changamoto hii, wamechanganyikiwa, mara walaumu uchumi kuyumba mara walaumu kutoku-lockdown.

Nakutakia kazi njema, endelea kufanya kazi huku ukijilinda wewe na uwapendao.

MUNGU IBARIKI AFRIKA, MUNGU IBARIKI TANZANIA
Huu Uzi una harufu ya uvccm kama siyo ccm yenyewe.
 
Back
Top Bottom