Kuwafungia raia yaani kitu kinachoitwa Lockdown ni kuwapa ‘DEATH MULTIPLE CHOICE’

Kuwafungia raia yaani kitu kinachoitwa Lockdown ni kuwapa ‘DEATH MULTIPLE CHOICE’

Umeisoma au umepita tu kwa kuwa tayari una maoni hasi. Katika bandiko langu hilo, na michango yangu humu JF, kuhusu gonjwa hili, nimeandika: TANZANIA bila korona inawezekana kama kila mwananchi atatimiza wajibu wake wa kuthamini uhai wake na wa mtu mwingine bila kujali siasa, dini, rangi, elimu, hali ya maisha nk

Mkuu bandiko lako nililisoma vizuri. Hata katika hili pia, haupo mkakati wa kuishinda Corona iliyosambaa sasa tokea Dar hadi Mbeya, Dodoma hadi Mwanza nk.

Kumbuka malkia Elizabeth, waziri mkuu Boris Johnson, Prince Charles, pana na mbunge hapa kwetu nk. Ni kipi ambacho hawakufanya kiasi cha kupata Corona na hata kuambukiza wengine ambacho wewe unadhani hawakufanya wajibu wao?

Acha maneno weka muziki. Weka mkakati wa kumaliza Corona inayosambaa kwa kasi hapa nchini kufikia kwenye community transmission kwa mujibu wa Ummy.

Usisahau pia si Rwanda wala Uganda waliofikia kwenye community transmission.
 
Mkuu bandiko lako nililisoma vizuri. Hata katika hili pia, haupo mkakati wa kuishinda Corona iliyosambaa sasa tokea Dar hadi Mbeya, Dodoma hadi Mwanza nk.

Kumbuka malkia Elizabeth, waziri mkuu Boris Johnson, Prince Charles, pana na mbunge hapa kwetu nk. Ni kipi ambacho hawakufanya kiasi cha kupata Corona na hata kuambukiza wengine ambacho wewe unadhani hawakufanya wajibu wao?

Acha maneno weka muziki. Weka mkakati wa kumaliza Corona inayosambaa kwa kasi hapa nchini kufikia kwenye community transmission kwa mujibu wa Ummy.

Usisahau pia si Rwanda wala Uganda waliofikia kwenye community transmission.
Mkakati upi unataka uwepo zaidi ya wajibu wa mtu mmoja mmoja kuzingatia ushauri!

Hao uliowataja unajua wazi hukutana na watu kadhaa wakiwemo watumishi na wahudumu wao walio karibu saana kiasi cha kuaminiana. Nina uhakika wameathirika ama kwa uzembe au kujiamini kupita kiasi.

Isitoshe maisha mitaani na sokoni yanaendelea kama kawaida na kusambaa kwa COVID-19 itakuwa hadithi iwapo kila mmoja wetu:-

JILINDE UMLINDE NA JIRANI YAKO
 
Sipingi chochote lakini ninajiuliza maswali yafuatayo:

1. Tunaelekezwa kuchukua tahadhari kwa
kunawa mikono na kuepuka
kukaribiana. Jambo jema.

Huku mikoani watu wana nawa mikono,
kuvaa barakoa ni 1 kati ya 5,
mikusanyiko bado ipo hasa vilabuni.

Kwanini serikali kuu kwenda hadi chini
isiamrishe na kusimamia kila raia kuvaa
barakoa na kuzuia mikusanyiko isiyo ya
lazima?

Ni hatari kusubiri raia wote waelewe
kwa wakati mmoja. Itachukua muda na
kutugharimu.

2. Bila shaka waathirika mikoani watakuwa
wengi kuliko kinachotangazwa kutokana
na ugumu wa kupata takwimu za
uhakika.

Kwanini serikali isizuie japo kwa wiki 2
watu wasiingie wala kutoka
Dar es Salaam ili kudhibiti mfumko huko
mikoani?

3. Ni kweli kuzuia watu wasitoke ndani ya
nyumba ni jambo gumu kulifanya sasa.
Hatua ngumu zilisha chukuliwa kufunga
mipaka, mashule, vyuo na michezo.

Kwanini serikali isidhibiti watu kusafiri
kati ya miji kwa japo wiki 2 ili
kupunguza kasi ya maambukizi?

4. Serikali imetoa mwongozo wa ujumla
kuzuia maambukizi zaidi lakini yapo
mengi yameachwa kwa uamuzi binafsi,
kama hiari hivi, mfano kusafiri, kwenda
ibadani, vikao na vijiwe vya michapo na
kucheza karata.

Yanini kubahatisha na huku mifano
tunaiona? Au tuna hakika gani kuwa
hatuwezi pata mlipuko wa maambukizi
na maafa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkakati upi unataka uwepo zaidi ya wajibu wa mtu mmoja mmoja kuzingatia ushauri!

Hao uliowataja unajua wazi hukutana na watu kadhaa wakiwemo watumishi na wahudumu wao walio karibu saana kiasi cha kuaminiana. Nina uhakika wameathirika ama kwa uzembe au kujiamini kupita kiasi.

Isitoshe maisha mitaani na sokoni yanaendelea kama kawaida na kusambaa kwa COVID-19 itakuwa hadithi iwapo kila mmoja wetu:-

JILINDE UMLINDE NA JIRANI YAKO

Yaonyesha wazi hujui maana ya neno mkakati. Kwa sababu hiyo huna jipya wala hoja.

Unabwabwaja tu. Kubwabwaja huko ambako siyo mkakati hakuwezi hata kukupa picha y namna gani utawapata wagonjwa waliotapakaa na kuwatenga.
 
Hujui hizi data nani anazifikisha huko.

Hujui kuwa anayezifikisha huko asipopeleka wanasajili nini?

Kwamba huna facts lakini unajimwambafai kuwa una kitu cha kusema mbele za watu unapaswa kujihurumia.

Shule mnakwenda kusoma ili kufuzu ujinga.
Kama hufanyi jitihada za kujiondoa kwenye kisanduku cha mawazo finyu na hasi, utabaki huko huko, dunia ikisonga mbele.

Unataka tukuelewe kuwa unazo takwimu za wagonjwa na vifo kutokana na COVID-19 zinazofichwa na Serikali, siyo? Je, lini kifo katika jamii kikafichwa kisijulikane, wakati maiti huzikwa hivyo kaburi litakuwepo. Isitoshe binadamu si mnyama kwamba akifariki ndugu au jirani asijue!

Tanzania wananchi wanaendelea na shughuli zao za maisha kama kawaida, hivyo basi kama kuna vifo, misiba inaendelea kama kawaida, japo Serikali imeshauri kupunguza misongamano. Katika hali hii, kwamba takwimu za vifo zinafichwa ni uzushi wa uwongo, unafiki na uzandiki.

Kama huna takwimu, funga domo lako. Na takwimu hupatikana kwa njia ya tafiti. Tafiti hupingwa kwa tafiti.
 
Yaonyesha wazi hujui maana ya neno mkakati. Kwa sababu hiyo huna jipya wala hoja.

Unabwabwaja tu. Kubwabwaja huko ambako siyo mkakati hakuwezi hata kukupa picha y namna gani utawapata wagonjwa waliotapakaa na kuwatenga.

Sijajua unataka iweje? Umepata wapi takwimu za wagonjwa waliotapakaa? Wewe, mjuaji, una mkakati gani unaopendekeza wa kuwapata, kwa madai yako, hao wagonjwa waliotapakaa? Labda unaombea WaTz wapate maambukizi!

Wakati COVID-19 inasumbua dunia nzima, yakiwemo mataifa makubwa yenye uwezo wa kila aina, wewe unatumia muda wako kwenye mitandao ya kijamii kuilaumu tu Serikali.

Ni Mpumbavu na Lofa ambaye kichwani mwake kumesheheni mawazo, hoja na fikra za kulaumu tu!!
 
Mkuu bandiko lako linakosa usahihi kabisa. Uganda, Rwanda, Kenya ni Afrika wala si ulaya au marekani kama unavyojaribu kujidanganya. Baadhi wamekwenda total lockdown na partial lockdown. Wengine ni masikini kuliko hata sisi. Wako vizuri na wanasonga mbele.

Ugonjwa umedhibitiwa na hakuna aliye kufa njaa.

Acheni kufanyia siasa Jambo hili ambalo liko wazi mno. Hivi tafsiri zenu mnazipatia wapi? Mbona yameelezwa sana haya mkuu?

Hoja za wanaoona lockdown haifai ni zipi? Tuelimishane - JamiiForums

Hizi njaa mnazoimba kila siku mnaziota tokea wapi?

View attachment 1429029
Nakushukuru sana. Halafu ukweli ni kuwa hata bila lockdown wapo watakaohitaji msaada, hii ni crisis. Kwetu hao wataonekana wazembe tu.
 
Na Wolle;

Kwanza niseme kwenye ukweli huwa siko affiliated na chama chochote kile. Katika mijadala ya tahadhari dhidi ya Corona nimefuatilia sana wengi wakisema serikali ya Magufuli inafanya mzaha na kuhatarisha uhai wa watu.

Wanaosema haya hasa ni viongozi wa Vyama Vya Upinzani na wachache wa CCM na zaidi sana wanasema kwamba uhai haulinganishwi na mapato ama uchumi. Ni kweli uhai haulinganishwi na kitu chochote kile lakini siyo kweli kwamba serikali ya Magufuli inacheza na kuhatarisha uhai wa watu kuhusu uchukuaji wa tahadhari dhidi ya janga la Corona.

Wakati naelekea kwenye point yangu tukumbuke pia kuwa Afrika na Ulaya ni mabara mawili tofauti, kitamaduni, kiuchumi na kijiografia. Mifumo ya maisha ya raia wa Ulaya na nchi za Magharibi ni tofauti na yetu Afrika, mifumo ya biashara ya Ulaya ni tofauti na yetu, miundombinu ya Ulaya ni tofauti na yetu. Ukuaji wa Uchumi wa Afrika ni tofauti na ule wa Ulaya.

Hivi uliwahi kujiuliza kwamba ni kwanini Afrika tusiige mbinu walizotumia Ulaya ili tujikwamue kiuchumi tuondokane na umaskini? Viongozi wengi wa Afrika wamejaribu sana kuziiga hawajafanikiwa, unadhani ni kwanini? Kwasababu ile modeli ya uchumi wa ulaya (European economic model) haiwezi kukidhi haja ya bara la Afrika. Sasa kwanini katika kudhibiti Corona tutumie model inayotumiwa na bara la Ulaya? Tuachane na hayo.

Hapa tujipime wenyewe kwa nchi yetu ya Tanzania tuachane na bara la Afrika. Uchumi wa Watanzania wengi hasa kwenye miji na majiji makubwa ni ule wa 'hand to mouth,' kabla hata ya lockdown yaani hali ikiwa kawaida tu watu wana-starve! Je vipi wakiwa locked down? Haijalishi nusu karantini au karantini nzima (Patial or total lockdown), watu watahangaika sana. Ndiyo maana nasema Kuwafungia raia kwa kitu kinachoitwa 'Lockdown' ni kuwapa ‘DEATH MULTIPLE CHOICE’ Yaani mtu atachagua;

A) Akae ndani kuepuka corona afe kwa njaa au

B) Atoke aende kwenye shughuli za kumpa mkate aepuka njaa afe kwa corona.

Huku nafasi kubwa ya kifo ikiwa kwenye lockdown kuliko wangeachwa wafanye shughuli huku wakichukua tahadhari, kwasababu kumbuka kwenye lockdown raia watapambana na njaa pamoja na polisi ama vyombo vya ulinzi na usalama kwa ujumla. Hapa naungana na Mh. Rais Dr. Magufuli. Na hapa naongezea kuwa lockdown itaua zaidi kuliko Corona yenyewe.

Denis Waitley, mwandishi wa vitabu na mwanasaikolojia aliwahi kusema, “Life is inherently risky. There is only one big risk you should avoid at all costs, and that is the risk of doing nothing.”
Kwa tafsiri ya kawaida kabisa akimaanisha kwamba, “Maisha ni hatari kwa asili. Kuna hatari moja tu ambayo unapaswa kuepukana nayo kwa gharama zote, nayo ni hatari ya kutofanya chochote."

Fikiria Tume-lockdown Dar es Salaam, hapo tutakuwa tunapoteza watu kwa corona na kwa njaa huku uchumi na mapato vikiwa vimesimama. Kuacha watu waendelee na shughuli huku wakichukua tahadhari ni jambo la busara zaidi kuliko kukaa ndani watu wakiwa hawafanyi chochote wakisikiliza habari za corona.

Kumbuka namna ya kurudisha uchumi uliopotea Ulaya ni rahisi zaidi kuliko kurudisha kurudisha uchumi uliopotea Afrika (hasa Tanzania)

Mwisho kabisa nampa Rais Magufuli alama ya “A” kwa kufaulu mtihani ambao somo lake niliwahi kufundishwa na mwalimu wangu wa chuo kwenye kipengele kimoja kinaitwa ‘Professional Dilemma’. Walio wengi wameshindwa kufaulu changamoto hii, wamechanganyikiwa, mara walaumu uchumi kuyumba mara walaumu kutoku-lockdown.

Nakutakia kazi njema, endelea kufanya kazi huku ukijilinda wewe na uwapendao.

MUNGU IBARIKI AFRIKA, MUNGU IBARIKI TANZANIA
I strongly support your thought. Hii ni kweli strategies za kupambana na corona kwa nchi za Marekani, Ulaya na baadhi ya nchi tajiri Asia haziwezi tumika hapa Tanzania. Kwa hili nampongeza sana JPM. UCHUMI WA RAIA WENGI TZ NI MASIKINI, HUWEZI LOCKDOWN RAIA MASIKINI KUSUBIRI KUFA KWA NJAA KWA KUOGOPA CORONA.

Hii ni kama vita, kila nchi itumie mbinu zake tutakutane mwisho wa vita na hapo ndipo tutapima ni nani alikuwa na mbinu sahihi, kwa sasa huwezi sema fulani kapatia au fulani kakosea, hii ni vita.
 
Kama hufanyi jitihada za kujiondoa kwenye kisanduku cha mawazo finyu na hasi, utabaki huko huko, dunia ikisonga mbele.

Unataka tukuelewe kuwa unazo takwimu za wagonjwa na vifo kutokana na COVID-19 zinazofichwa na Serikali, siyo? Je, lini kifo katika jamii kikafichwa kisijulikane, wakati maiti huzikwa hivyo kaburi litakuwepo. Isitoshe binadamu si mnyama kwamba akifariki ndugu au jirani asijue!

Tanzania wananchi wanaendelea na shughuli zao za maisha kama kawaida, hivyo basi kama kuna vifo, misiba inaendelea kama kawaida, japo Serikali imeshauri kupunguza misongamano. Katika hali hii, kwamba takwimu za vifo zinafichwa ni uzushi wa uwongo, unafiki na uzandiki.

Kama huna takwimu, funga domo lako. Na takwimu hupatikana kwa njia ya tafiti. Tafiti hupingwa kwa tafiti.

Wapi nilipoandika kuwa nina takwimu za serikali? Au wewe ndiye unayejaribu kujifanya kuwa unajua sana?

Wa kwanza kufunga mdomo ni wewe kwa sababu unapayuka upuuzi upuuzi tu.

Eti tafiti, tafiti gani wewe umefanya?

Ama kweli nyani haoni kund**".
 
Sijajua unataka iweje? Umepata wapi takwimu za wagonjwa waliotapakaa? Wewe, mjuaji, una mkakati gani unaopendekeza wa kuwapata, kwa madai yako, hao wagonjwa waliotapakaa? Labda unaombea WaTz wapate maambukizi!

Wakati COVID-19 inasumbua dunia nzima, yakiwemo mataifa makubwa yenye uwezo wa kila aina, wewe unatumia muda wako kwenye mitandao ya kijamii kuilaumu tu Serikali.

Ni Mpumbavu na Lofa ambaye kichwani mwake kumesheheni mawazo, hoja na fikra za kulaumu tu!!


Wewe hujui kuwa taarifa ya mgonjwa wa kwanza ilikuwa tokea arusha? Hujui ilkuja dar, halafu Zanzibar?

Hujui kuwa sasa hivi hadi Lindi, Mbeya, dodoma na kadhalika sasa kuna wagonjwa?

Unajua kiswahili wewe? Unajua maana ya kusambaa?

Ni zaidi ya mpumbavu na location ambaye hajui kuwa sasa hivi ugonjwa umesambaa hapa nchini.

Ni zaidi ya mpumbavu na location ajidhaniaye kuwa yeye ana haki zaidi katika nchi na eti ni mzalendo kiasi cha kujifanya yu ana uchungu sana na nchi kuliko wengine. Kwa kipimo jipi? Ruler?

Tabia za kijinga jinga kama zako ni za wapumbavu fulani ambao huwa aghalabu wastarabu kuwapa hata a thought.

Bye bye amigo do not even mind to write back!
 
Wapi nilipoandika kuwa nina takwimu za serikali? Au wewe ndiye unayejaribu kujifanya kuwa unajua sana?

Wa kwanza kufunga mdomo ni wewe kwa sababu unapayuka upuuzi upuuzi tu.

Eti tafiti, tafiti gani wewe umefanya?

Ama kweli nyani haoni kund**".
Kumbe najibu hoja za mtu "asiyejua kuwa hajui ni kulalama kama mtoto.

Jilinde umlinde jirani yako maambukizi ya COVID-19, kama mbinu sahihi za kujikinga na kuzuia kusambaa.
 
Wewe hujui kuwa taarifa ya mgonjwa wa kwanza ilikuwa tokea arusha? Hujui ilkuja dar, halafu Zanzibar?

Hujui kuwa sasa hivi hadi Lindi, Mbeya, dodoma na kadhalika sasa kuna wagonjwa?

Unajua kiswahili wewe? Unajua maana ya kusambaa?

Ni zaidi ya mpumbavu na location ambaye hajui kuwa sasa hivi ugonjwa umesambaa hapa nchini.

Ni zaidi ya mpumbavu na location ajidhaniaye kuwa yeye ana haki zaidi katika nchi na eti ni mzalendo kiasi cha kujifanya yu ana uchungu sana na nchi kuliko wengine. Kwa kipimo jipi? Ruler?

Tabia za kijinga jinga kama zako ni za wapumbavu fulani ambao huwa aghalabu wastarabu kuwapa hata a thought.

Bye bye amigo do not even mind to write back!
Utaangamia kwa kuishi ukilaumu tu bila kuchukua hatua za kulinda uhai wako au/na kusubiri serikali itoe amri ya kukufungia ndani.
 
Huu ni ukweli usiopingika kabisa, approach yetu katika kudeal na majanga, maendeleo na vingine vingi haipaswi kufanana na Ulaya as we are quite so different in terms of many things, almost everything by the way.

Ukiongea na wazungu wenye mtizamo walau chanya juu ya maendeleo ya Afrika watakuambia, kuna mmoja alini-expose kusoma kitabu kinaitwa “Dead Aid”, humo utajua kwanini Afrika tumepewa misaada ya mabilioni ya dola za kigeni lakini mpaka sasa maendeleo hakuna.

Jiwe ni jiwe kweli kweli na kwa hilo nampa kudos from mi heart.
Ww ni mjinga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbe najibu hoja za mtu "asiyejua kuwa hajui ni kulalama kama mtoto.

Jilinde umlinde jirani yako maambukizi ya COVID-19, kama mbinu sahihi za kujikinga na kuzuia kusambaa.

Tafuta elimu utajikomboa. Ujinga ulionao ni zaidi ya zigo la miba umejitwika.

Nenda shule.hata ngumbalu itakusaidia.

Kwa eti nyie ndiyo washauri no wonder leo twapanga foleni Loliondo kujipatia kikombe na tunaongelea kujifukiza mvuke wa 100°C kupambana na Corona katika karrne ya 21.

No wonder too hatujui mkakati ni nini na kwa nini unaweza kuwa muhimu.

Kalagabaho - kaa hivyo hivyo. Uko vizuri mkuu.
 
Utaangamia kwa kuishi ukilaumu tu bila kuchukua hatua za kulinda uhai wako au/na kusubiri serikali itoe amri ya kukufungia ndani.

Machozi yako ya mamba siyahitaji jitu lisolujilikana wahedi wee!

Machozi yako ya mamba peleka kwa waliokutuma uwaambie wamekundua.

Ni wazi kuwa vifo vya watu kwenu si issue.w wangapi mmewaua au kuwapoteza. Nini kipya kwenu kuhusu mtu kufa au kuishi?

Ndiyo maana mmetumwa kuja na hizi propaganda ili kununua muda dawa au chanjo ipatikane?

Kwenu nyie matumbo yenu ni muhimu zaidi even if the entire nation perishes, au siyo?

Ila bakini mkijua yote yana mwisho.
 
Mkuu

Mm si chadema.. Mm si act wazalendo. Mm si nccr mageuzi.. Mimi c chauma wala tlp

Nalilia lockdown... Lkn si total lockdown.. Nahitaji partial lockdown.. Naona inatufaa zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
Inakufaa wewe na familia yako, inatufaa unajua hali zetu wote mpaka ugeneralize? Wewe ni Mpumbavu na wakupuuzwa, partial lockdown unayoongelea imeshafanyika tayari as shule na vyuo vimefungwa tayari, uwezi ingia taasisi yeyote before hand washing na nyinginezo nyingi, unless otherwise, hujui tofauti ya partially na totally.
 
Back
Top Bottom