Kuwafungia raia yaani kitu kinachoitwa Lockdown ni kuwapa ‘DEATH MULTIPLE CHOICE’

Acha kuzungumza kama unaishi kisiwani jiongeze.
Umezungukwa na nchi 8 bado unataka kuishi kwa mazoea?
Magu ameishafanya majaribio ya lockdown kwao Chato,kesho akikwambia tufunge baadhi ya mikoa au wilaya utakuja hapa tena kutoa sifa?
Kumbe ndio maanake Mwingereza alitaks tupate uhuru miaka ya 2030 hadi 3000 !!!
 
Mwisho ni pale wewe binafsi utakapojitambua.

JILINDE NA MLINDE JIRANI
 
Huna mbinu yoyote ya kupambana na maambukizi zaidi ya kulaumu. Si ajabu wewe ni mmoja wa wale wasiotii au/na wanakejeri ushauri unaotolewa na wataalamu wa afya kujikinga dhidi ya maambukizi na kusambaza. Katika mazingira hayo, hata nchi ikiwekwa kwenye "lockdown" COVID-19 haitakwisha. Kenya, Rwanda, nchi za Ulaya (Italia, Uhisoania, Marekani), nk kwa mifano michache hiyo, kuna ripoti za maambukizi mapya kila siku.

Kukusaidia, japo unaweza kuwa na kichwa kizito au ujeuri tu, ili kuzuia maambukizi na kusambaa kwa COVID-19 tunashauriwa na kusisitizwa:-
1) Kuvaa barokoa unapokuwa karibu na mtu au mkusanyiko wa watu kuzuia usisambaze (kama umeathirika) au usiambukizwe (kama haujaathirika). Hii ni kwa sababu kama hujapima huwezi kujua iwapo umeambukizwa au la.
2) Kutakasa mikono (kwa maji ya kutiririka na sabuni au "sanitiser") kabla ya kushika/kugusa mdomo, pua, au/macho, viungo vya mwili vilivyo katika hatari ya kupokea virusi vya korona.

Iwapo kila mtu atazingatia ushauri, hakika virusi vya korona avitasambaa na Tanzania bila COVID-19, inawezekana.

Mengine unayodai ni ya unafiki mtupu.
 

Sijausoma upuuzi wako.

Tafadhali acha kuiandikia si uhitaji upuuzi wako kaa nao
 
Mkuu hii ya kuruhusu makanisa, masoko kujazana???? Hii ya kutudanganya level sit wakati tunatakiwa tukae umbali almost 2m ...




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu hii ya kuruhusu makanisa, masoko kujazana???? Hii ya kutudanganya level sit wakati tunatakiwa tukae umbali almost 2m ...




Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu hiyo inaitwa kisebu sebu na kiroho papo! Uchumi au maisha kwanza? Tuko njia panda.

Sala si za kukimbiza Corona, bali kumwombea beberu apate dawa au chanjo. Atakaye kufa acha afe atakaye pona haituhusu.

Hii wanaita "The devil's alternative".
 
Be
Mkuu hii ya kuruhusu makanisa, masoko kujazana???? Hii ya kutudanganya level sit wakati tunatakiwa tukae umbali almost 2m ...




Sent using Jamii Forums mobile app
realistically inawezekana? Au ni uwepesi wa kuongea tu. Likiisha hili tatizo watu sijui tutaficha wapi sura zetu, historia ni mwalimu, utadhani hili ndio janga la kwanza na la mwisho duniani. Life goes on no matter the situations.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…