Kuwakamata Mwabukusi au Mdude hakutasimamisha maandamano 9/11

Kuwakamata Mwabukusi au Mdude hakutasimamisha maandamano 9/11

Yaani umebaki kuweka mapicha picha tu. Nenda kwenye maandamano ya Mdue na wewe ukawe mdudu😁

Si mlizowea kusema watanzania waoga?

Lissu: Watanzania si waoga, ila wenye kutunyooshea kidole

Ile mijoga unaiona Hapa?

Retired, JokaKuu, Mshana Jr, mambio, Tua Ngoma, Elli,Accumen Mo, Mizania, Zawadini, denoo JG, na ndugu wengine katika damu tusaidiane kuwapa mashamba darasa mambuzi koko hawa:

FuU6qrLWIAIeQMZ.jpeg
 
Hata wewe udhibitiwe na haohao polisi usiwe unaenda kunya ili tuone utakuwaje kimuonekano
nasisitiza tena,
Jeshi la polisi kuwashughulikia wanaamanaji haramu kwa weledi mkubwa wa umbwa koko ili iwe fundisho kwao na kwa familia zao.....
 
nasisitiza tena,
Jeshi la polisi kuwashughulikia wanaamanaji haramu kwa weledi mkubwa wa umbwa koko ili iwe fundisho kwao na kwa familia zao.....
Usikute bibi yako naye kapanga kuwaunga mkono kina mdude
 
Usikute bibi yako naye kapanga kuwaunga mkono kina mdude
na ashugulikiwe vizuri sana ili akaone huduma za afya zilizoboreshwa sana hospitalini na Dr.SSH na ndio aache upotoshaji wa kijinga....
 
na ashugulikiwe vizuri sana ili akaone huduma za afya zilizoboreshwa sana hospitalini na Dr.SSH na ndio aache upotoshaji wa kijinga....
na ashugulikiwe vizuri sana ili akaone huduma za afya zilizoboreshwa sana hospitalini na Dr.SSH na ndio aache upotoshaji wa kijinga....
Miafrika ujinga mtaacha lini jisifie kwa kulipa kodi inayoyafanya hayo sio kulisifu jitu bila wewe kutoa kodi angeyfanya hayo Mr rotten brain
 
Miafrika ujinga mtaacha lini jisifie kwa kulipa kodi inayoyafanya hayo sio kulisifu jitu bila wewe kutoa kodi angeyfanya hayo Mr rotten brain
ile miafrica ikiongizwa na wasakatonge wateteze wa wanyonge pamoja na huyu mjaamaa wa kuandamana nyuma ya keyboard, Kesho waachwee kidogo wajaejae barabara waanze na kuimba nyimbo zao na kuanza kupora vibanda na maduka ya watu......

heheeheeeeeeeeeyoooo
halafu wapatiwe ilani ya kusambaa bila shuruti halafu kazi ya kuwashurutisha ichukue nafasi mara mojaa......

Virungu vielekezwe zaidi kwenye taya ili zipishane vizur ili kusudi watakapokua wanajieleza wanapoulizwa na madaktari umeumia wapi waseme "nathikia maumivu thingoni, gongoni na ndomoni"
"thikio la kuthoto halithikiii kabisha"

Pia virungu vielekezwe viunoni na magotini kuwapunguza spidi,
ili wanapokuja clinic baadae waje wanachechemea taratibu na hapa tutakua tumedhibiti funjo za hawa waandamanaji haramu pakubwa sana,na nchi yetu itakua na Amani ya kudumu...

wito wangu ni kwamba Kesho waandamanaji haramu wote mjitokeze kwa wingi ili mpewe maua yenu kutoka kwa polisi,
ni muhimu sana usipange kukosa.....
 
Hebu ninukuu wapi nilisema hivyo, acha upuuzi wa kunilisha maneno. Huoni aibu kubwatuka hovyo bila ushahidi?😁

Asante Kwa kutambua watanzania si waoga labda nilikuchanganya na ndugu wengine wapya waliojawa husuda na wivu ule aliouangazia mheshimiwa supika SS.
 
Tumekuwa na aina ya viongozi wabinafsi hawajali kitu kabisa.
Sasa wanauza hata uhuru wetu.
Ila wakae wakijua watanganyika hawajalala. Kinachosubiriwa ni upenyo tu. Mijadala ni mikali sana huku uraiani.

Ajabu na kweli hata wale ndugu zetu wa damu katika mapambano kwa kujua au kutokujua wameungana na wanademka nao kama hili jamaa (Tlaatlaah) lilioko kwenye ignore list yangu kwa miaka lukuki sasa.
 
Msisahau na siku ya kuandamana kuhusu mwanamke aliefungwa miaka 20 kisa nyama ya Swala
Swala huyu huyu kama mbuzi
Wana uchungu sana na swala kuliko anaechomwa na matairi hadharani na majizi ya mabilioni ya walipa kodi
 
Wanamuweka sawa iliwaendelee kupiga pesa za umma.

Inasikitisha zaidi ndugu katika mapambano wanapo demka naye:



Kwani mwizi ni mwizi kama kawaibia wao tu?

Kwamba katiba mpya akiidai Tulia au Ndugai hIyo siyo yenyewe? Kulikoni kutokuunganisha nguvu sasa kuwakabili mabazazi hawa?
 
Back
Top Bottom