WABONGO UKI
WAJUWA WALA HAINA HAJA YA KUHANGAIKA MANGE KAANZISHA WALIJUWA WATU WATAENDA KWELI HAKUENDA HATA MMOJA
Hayo unasema wewe Nani kakwambia watafanya?Binafsi natoa wito kwa Jeshi la Polisi kuthibiti maandamano haya haramu, kuchukua hatua kali kwelikweli kwa wakaidi wote watakaoshiriki ujambazi huu wa kuharibu amani na utulivu, kupora mali katika vibanda na maduka ya watu na kwa kwakutokutii sheria bila shuruti wakabiliwe na wawajibishwe vilivyo ili iwe fundisho kwao na kwa familia zao.....
huwezi kudhulumu mali na fedha za watu kwa kupora vibanda na maduka watu kisha unaenda kudai haki serikalini...
hili haliwezekani,
Ndiyo tuungane sasaInasikitisha zaidi ndugu katika mapambano wanapo demka naye:
View attachment 2807608
Kwani mwizi ni mwizi kama kawaibia wao tu?
Kwamba katiba mpya akiidai Tulia au Ndugai hIyo siyo yenyewe? Kulikoni kutokuunganisha nguvu sasa kuwakabili mabazazi hawa?
Hao wamekata tamaa ya maishaIngependeza zaidi.
Wasikie kina Retired, JokaKuu, Zawadini, Tindo, denoo JG, Pascal Mayalla, Lusungo, Nanye Go nk.
Katiba mpya haitapatikana kwa kukaa mkao huu:
View attachment 2807626
Saa ya ukombozi ni sasa.
Hawana namnaKukata tamaa na maisha = kuunga mkono juhudi.
Kama ndivyo wao na wale madada COVID 19 baba mmoja, mama mmoja.
View attachment 2807630
Usiwe na mazoea ya kubwatuka bwatuka hovyo bila ushahidi😁😁Asante Kwa kutambua watanzania si waoga labda nilikuchanganya na ndugu wengine wapya waliojawa husuda na wivu ule aliouangazia mheshimiwa supika SS.
bado msisitizo wangu kwenye jambo hili ni uleule,Hayo unasema wewe Nani kakwambia watafanya?
Haramu maana yake Nini?
Kilicho halalishwa na katiba wewe unapata wapi nguvu ya kukiita haramu!?
nawasifu sana Jeshi la Polisi kwa kujiandaa vyema kuwapa mau yao wana Mbeye watakaothubutu kusogeza pua zao maeneo ambayo yameainishwa.....Ajabu na kweli hata wale ndugu zetu wa damu katika mapambano kwa kujua au kutokujua wameungana na wanademka nao kama hili jamaa (Tlaatlaah) lilioko kwenye ignore list yangu kwa miaka lukuki sasa.
Usiwe na mazoea ya kubwatuka bwatuka hovyo bila ushahidi😁😁
NINE ELEVEN✊️✊️✊️🚶♂️🚶♀️🚶👯♂️👯♀️👯Ni kesho.
Siku Ile imewadia.
Shetani hajawahi kumshinda MunguHilo ni Eneo la Spika wa Bunge la JMT na Rais wa IPU
Nawakumbusheni tu!
Ni kesho.
Siku Ile imewadia.
Weka picha nyingine, hii moja haitoshi.Kwamba unajua watanzania si waoga, hilo linatosha sana kujua wewe hufuzu kutafutiwa kiguo cha kijani kama hIvi:
View attachment 2807697
Labda utushauri vinginevyo mkuu.
Usisahau tuko kwenye kutambuana. Mwenye kutudhania sisi ni waoga wa nini huyo?
imhotep kuna unasaba hapa?
Weka picha nyingine, hii moja haitoshi.
kwani mpaka mtutangazie- mbona jaribio la ugaidi hamkututangaziaWananchi wanapokuwa na jambo lao katiba inawaruhusu kuandamana au kukusanyika kuliongelea.
Kwenye hili, polisi ni mawakala wa wanaolalamikiwa. Mlalamikiwa au wakala wake wanaupata wapi uhalali wa kujaribu kumnyamazisha mlalamikaji wao kwa maguvu ya msuli wa mwili, vitisho au hata mtutu wa bunduki?
Kwenu polisi ni kupewa taarifa tu. Mnadhani katiba ilikosewa kuwapa ninyi mipaka ya wazi hivyo kuhusiana na wananchi wenye jambo lao?
Kwamba mmefikia kujiapiza kuvunja watu miguu au hata kuwaua? Ama kweli huku ni kuvuka mipaka kuliko pitiliza mno, kunakofuzu kuitwa ushweitwani kazini.
Kwamba mmekuwa mkizisumbua hadi familia zao? Hivyo sasa mnadhani hatujui nia yenu ni kuwakamata wawili hawa kwa sababu zozote, ili 9/11 wasiwepo medani za Tahrir? Hilo tunalijua na tuko kamili gado!
Ila kaeni mkijua:
9/11 tupo Tahrir "with or without Mwabukubusi, Mdude, Slaa au awaye yote."
Mmetuchosha na tabia zenu za usiginaji wenu wa katiba wa wazi. Wavunja katiba dhidi ya walinda katiba tukutane Tahrir.
Hatutabeba jiwe, rungu wala sindano, bali damu na roho zetu.
Mkitaka kita umana!
Nyie ni mazuzu yaliyochanganyikiwa, hakuna kazi ya kufanya au mnatafuta cheap popularity? Najua hata kukohoa hamtaweza hiyo tarehe. Jaribu tuone kima wakiandamana, mara paa huna guu, mara paa kiuno kinayumba, tungefurahi kuona hiyo movie bahati mbaya hamtajaribu. Km mtu unaona kabisa umekataa tamaa ya kuishi jitundike tu yaishe siyo kuja kutusumbua! mkuu wa opereseheni jeshi la polisi amewaambia andamaneni na wake zetu sebuleni kwenu huko!Wananchi wanapokuwa na jambo lao katiba inawaruhusu kuandamana au kukusanyika kuliongelea.
Kwenye hili, polisi ni mawakala wa wanaolalamikiwa. Mlalamikiwa au wakala wake wanaupata wapi uhalali wa kujaribu kumnyamazisha mlalamikaji wao kwa maguvu ya msuli wa mwili, vitisho au hata mtutu wa bunduki?
Kwenu polisi ni kupewa taarifa tu. Mnadhani katiba ilikosewa kuwapa ninyi mipaka ya wazi hivyo kuhusiana na wananchi wenye jambo lao?
Kwamba mmefikia kujiapiza kuvunja watu miguu au hata kuwaua? Ama kweli huku ni kuvuka mipaka kuliko pitiliza mno, kunakofuzu kuitwa ushweitwani kazini.
Kwamba mmekuwa mkizisumbua hadi familia zao? Hivyo sasa mnadhani hatujui nia yenu ni kuwakamata wawili hawa kwa sababu zozote, ili 9/11 wasiwepo medani za Tahrir? Hilo tunalijua na tuko kamili gado!
Ila kaeni mkijua:
9/11 tupo Tahrir "with or without Mwabukubusi, Mdude, Slaa au awaye yote."
Mmetuchosha na tabia zenu za usiginaji wenu wa katiba wa wazi. Wavunja katiba dhidi ya walinda katiba tukutane Tahrir.
Hatutabeba jiwe, rungu wala sindano, bali damu na roho zetu.
Mkitaka kita umana!
Sawa aunt yangumamako ndiyo dhalimu, amekudhulumu akili, huna akili kabisa.
hao ni mazuzu ya
Nyie ni mazuzu yaliyochanganyikiwa, hakuna kazi ya kufanya au mnatafuta cheap popularity? Najua hata kukohoa hamtaweza hiyo tarehe. Jaribu tuone kima wakiandamana, mara paa huna guu, mara paa kiuno kinayumba, tungefurahi kuona hiyo movie bahati mbaya hamtajaribu. Km mtu unaona kabisa umekataa tamaa ya kuishi jitundike tu yaishe siyo kuja kutusumbua! mkuu wa opereseheni jeshi la polisi amewaambia andamaneni na wake zetu sebuleni kwenu huko!