LAPUA MAGNUM 338
JF-Expert Member
- Jan 12, 2015
- 431
- 1,223
Na hilo jina ndo alipewa na wazazi???Huyu jamaa ni mwanajeshi mstaafu
MAmbo yya asili haya.Kuna uhusiano gani kati ya kuwa Muislamu na kumpa mtoto jina la kiarabu? Au mkristo kumpa mtoto jina la Kizungu kama Frank, Aboubakar, Sameer, Chris, Dorice, Khadija
Sina uhakika Ila ninachojua ni jina lake la ukweliNa hilo jina ndo alipewa na wazazi???
Dah linaniacha hoi sana hilo jinaSina uhakika Ila ninachojua ni jina lake la ukweli
Ni mwanajeshi mstaafu na anakaa Mtoni kijichi far es salaam