Kuwapa watoto majina ya kigeni Kizungu/Kiarabu ndio usasa au kutojitambua?

Kuwapa watoto majina ya kigeni Kizungu/Kiarabu ndio usasa au kutojitambua?

Ahahahah yah ni jina la kijapan kweli
Lina historia kdogo ktk harakati zangu

Kipindi nipo skuli nilikuwa mpenzi sn wa muvi,siku moja nikakutana na muvi Kali sn starring allitwa Satoh Hiroshi,jamaa nilitokea kumkubali sn Hadi kwenye madaftari nikaandika Hilo jina badala ya jina langu halisi(utoto Raha Sana ),na wenzangu wakaanza kulizoea Hilo jina

Pia ndy ukawa mwanzo wa kujifundisha martial art..Kwa hiyo jamaa alini inspire sn ndy maana Hadi huku nimekuja na id ya Hilo jina..ni hivyo yani

Bridal Mask?

Lee Kang-to aka Sato Hiroshi.
 
Mkuu kuleta migogoro ya majina i kujipunguzia muda wa kuishi!
Acha watu waitane na kuatizana majia wanayojisikia comfort!
Ukizaa wa kwako mwite unavyotaka, ukimwita kwa kilugha mfao: Nyoronyo, Nyakabibi, Pantalusasi, Neemwannchekwene, Mwakafyusisye, au ya kiswahili : Melesiana, Annalieta, Jailosi, Sindano, Sesilia, Benezeti, Lusiata, Deusdediti n.k.
Kwa ufupi tusiyashangae majina ya kizungu wakati hata serikali tu imeruhusu miji, vitogoji na mitaa yetu kupewa majina ya Kizungu au majina ya nchi za wenzetu. Mfano Dar kuna tunacho kitogoji kiaitwa Morroco, tunayo barabara ya New York n.k
 
Kuna kitu kimoja watu wanashindwa elewa...

Jina la mtu lipo kwenye maana na wala si lugha iliyotumika...

Majina mengi ya kibantu yamebeba maana za ajabu ajabu, kwa sababu wakati wa kale majina ya watu yalitolewa kulingana na majira, matukio, hali n.k. Haina maana kuwa hayapo yenye maana nzuri...
 
Imagine mtoto wako unamwita Masumbuko...

Simple tuu ita mtoto Brightness,Britter,Brighton yaan mpaka raha kabisa
 
Mkuu, Cha muhimu ni maana ya jina tu. Nadhani kila mzazi anampa mwanaye jina linaloakisi uzuri wa jina lenyewe.
 
Habari salamu sio ndefu nimechefukwa mtoto wa dada yangu kapewa jina Moana, jina la kikatuni cha Disney nikapata maswali sana, kwanini hadi leo tunaendelea kushikilia majina ya wageni? Majina mazuri ya Kiswahili, lugha za asili yameisha au ndio tunayaona ya kizamani na hayafai kitu?

Kuna uhusiano gani kati ya kuwa Muislamu na kumpa mtoto jina la kiarabu? Au mkristo kumpa mtoto jina la Kizungu kama Frank, Aboubakar, Sameer, Chris, Dorice, Khadija

Kwanini sio majina ya kichina au kihindi? Labda dini ni kitu chema lakini isiondoe u-Afrika wetu. Tujitafakari.
Huku mtaan jina la Jayden limeshamiri...hawajui lilitoholewa kutoka kwa jina la mama.. jada..

Wabongo buana..ni ushamba tu
 
Wewe mfuasi wa shetani.majina yote ni ya dini kuu mbili.uislamu na ukristo.sasa uafrika wako upo wapi?wahindi wanaabudu ngombe,wachina wanaabudu jua.isitoshe kama unao watoto wape majina unayoyataka.mmoja mwite mavi,mwingine mkojo,Ngombe,Kondoo,pakan.k. Upo huru.Sasa nimeelewa kwa nini makampuni ya simu yalipandisha gharama za Internet.mijitu inaandika upuuzi tu.
Mkuu katika maisha tunayoishi, tumetofautiana , mawazo, mitazamo na fikra.. sio dhambi mtu kuwaza tofauti na wewe, au wewe kuwaza tofauti na mwingine.

Sijaona sababu ya wewe kupanic na kumuattack mtu hadi kumuita mfuasi wa shetani..?
 
Habari salamu sio ndefu nimechefukwa mtoto wa dada yangu kapewa jina Moana, jina la kikatuni cha Disney nikapata maswali sana, kwanini hadi leo tunaendelea kushikilia majina ya wageni? Majina mazuri ya Kiswahili, lugha za asili yameisha au ndio tunayaona ya kizamani na hayafai kitu?

Kuna uhusiano gani kati ya kuwa Muislamu na kumpa mtoto jina la kiarabu? Au mkristo kumpa mtoto jina la Kizungu kama Frank, Aboubakar, Sameer, Chris, Dorice, Khadija

Kwanini sio majina ya kichina au kihindi? Labda dini ni kitu chema lakini isiondoe u-Afrika wetu. Tujitafakari.
Forest Hill ndio nini sasa? Kwanini usijiite Gumbo, au Matotola au Vindili nk?
 
Habari salamu sio ndefu nimechefukwa mtoto wa dada yangu kapewa jina Moana, jina la kikatuni cha Disney nikapata maswali sana, kwanini hadi leo tunaendelea kushikilia majina ya wageni? Majina mazuri ya Kiswahili, lugha za asili yameisha au ndio tunayaona ya kizamani na hayafai kitu?

Kuna uhusiano gani kati ya kuwa Muislamu na kumpa mtoto jina la kiarabu? Au mkristo kumpa mtoto jina la Kizungu kama Frank, Aboubakar, Sameer, Chris, Dorice, Khadija

Kwanini sio majina ya kichina au kihindi? Labda dini ni kitu chema lakini isiondoe u-Afrika wetu. Tujitafakari.
Rel
Habari salamu sio ndefu nimechefukwa mtoto wa dada yangu kapewa jina Moana, jina la kikatuni cha Disney nikapata maswali sana, kwanini hadi leo tunaendelea kushikilia majina ya wageni? Majina mazuri ya Kiswahili, lugha za asili yameisha au ndio tunayaona ya kizamani na hayafai kitu?

Kuna uhusiano gani kati ya kuwa Muislamu na kumpa mtoto jina la kiarabu? Au mkristo kumpa mtoto jina la Kizungu kama Frank, Aboubakar, Sameer, Chris, Dorice, Khadija

Kwanini sio majina ya kichina au kihindi? Labda dini ni kitu chema lakini isiondoe u-Afrika wetu. Tujitafakari.
Dunia imeshakuwa kijiji, utamaduni umebadilika sana, kuanzia vyakula mavazi, miziki tunayosikiliza. Sasa kwanini unahoji majina, mbona hiyo ni ishu ndogo tu kwenye mabadiliko ya tamaduni zetu? Moana ni bonge la jina, haujaona kina Megan, Chloe wa hapa Bongo?
 
Habari salamu sio ndefu nimechefukwa mtoto wa dada yangu kapewa jina Moana, jina la kikatuni cha Disney nikapata maswali sana, kwanini hadi leo tunaendelea kushikilia majina ya wageni? Majina mazuri ya Kiswahili, lugha za asili yameisha au ndio tunayaona ya kizamani na hayafai kitu?

Kuna uhusiano gani kati ya kuwa Muislamu na kumpa mtoto jina la kiarabu? Au mkristo kumpa mtoto jina la Kizungu kama Frank, Aboubakar, Sameer, Chris, Dorice, Khadija

Kwanini sio majina ya kichina au kihindi? Labda dini ni kitu chema lakini isiondoe u-Afrika wetu. Tujitafakari.
havinitishi,mwanaasha,mwanamvua,mwanajua,mwananjaa,mwanakimbunga,msiba,mzugwa,mwakijambile,sumbuka..etc
 
Naunga mkono hoja... Maaana hata uislam umesema tuwape watoto wetu majina mazuri... Ila haujasema tuwape ya kiarabu pekee imesema majina mazur tuh.. Afu kingine kila mzazi apangiwi jina we ukiwa na wanao waite utakavyo c hatutokupinga.... Ila majina ya kizaramo mabaya aisee mara sikujua,chausiku,shida,mwakatobe .....kwa hio sometimes ya kizungu na kiarabu ni bora
Yaani la Mwakatobe liwe baya kuliko la Abdillatif?acha utumwa wewe katika waislamu ni Ditopile mzuzuli tu ndio kakataa utumwa mashujaa ni akina Ambwene,Atupele,Ipyana,Lusajo nk hilo la mwakatobe ni la ukoo, weka akilini mwako usikurupuke.
 
Back
Top Bottom