UP TO DATE
JF-Expert Member
- Apr 20, 2021
- 740
- 903
Mtoto aitwe jina lolote tu ambalo mzazi anapenda , hata Kama akiitwa ukwaju ni sawa tu...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtoto unamuita pombe unatarajia nini 😃Habari salamu sio ndefu nimechefukwa mtoto wa dada yangu kapewa jina Moana, jina la kikatuni cha Disney nikapata maswali sana, kwanini hadi leo tunaendelea kushikilia majina ya wageni? Majina mazuri ya Kiswahili, lugha za asili yameisha au ndio tunayaona ya kizamani na hayafai kitu?
Kuna uhusiano gani kati ya kuwa Muislamu na kumpa mtoto jina la kiarabu? Au mkristo kumpa mtoto jina la Kizungu kama Frank, Aboubakar, Sameer, Chris, Dorice, Khadija
Kwanini sio majina ya kichina au kihindi? Labda dini ni kitu chema lakini isiondoe u-Afrika wetu. Tujitafakari.
Uliza mkuu ni muhimu nataka wikiendi nikachinje mke wa mtu kule si unajua huko juu kumejifichaSijawahi kuuliza mkuu,Kama upo serious nitauliza kwa wadau
Huu huitwa utumwa wa kujitakia wa kiakili usiokoma yaani perpetual mental slavery ambao dini zilipachika kwenye akili za watu wetu hadi wakajifunza kujichukia na kuchukiana huku wakitukuza na kupenda vya wenzao na kuponda vyao. Na hiki ndicho chanzo cha umaskini wetu hadi wanakuja wageni toka mbali wanatajirika miongoni mwetu kwa kututumia wakati tukipigana vita wenywe kw wenyewe wanangu. Nenda Dar uone wahindi wanavyowabagua waswahili lakini wao wakiendelea kuwaramba makalio na kuwatajirisha badala ya kuwasusa. Waarabu kadhalika. Ni aibu na hasara wanangu.Habari salamu sio ndefu nimechefukwa mtoto wa dada yangu kapewa jina Moana, jina la kikatuni cha Disney nikapata maswali sana, kwanini hadi leo tunaendelea kushikilia majina ya wageni? Majina mazuri ya Kiswahili, lugha za asili yameisha au ndio tunayaona ya kizamani na hayafai kitu?
Kuna uhusiano gani kati ya kuwa Muislamu na kumpa mtoto jina la kiarabu? Au mkristo kumpa mtoto jina la Kizungu kama Frank, Aboubakar, Sameer, Chris, Dorice, Khadija
Kwanini sio majina ya kichina au kihindi? Labda dini ni kitu chema lakini isiondoe u-Afrika wetu. Tujitafakari.
Ila ukimuita livingstone, zephyr na upuuzi mwingine anakuwa bora kuliko Pombe kweli? Mkumbuke Pombe aka Walwa Magufuli alivyowaamsha toka usingizini wakati akina Ali, Julius na Ben wakiwalaza usingizi wa kupotea.Mtoto unamuita pombe unatarajia nini 😃
Sasa Nani ametaja Magufuli hapo??? Mie nimetaja jina la Pombe tu nakuchagulia jina la mwanao, hayo mengine sijui akina walwa , utayapeleka kwa babu yako atakuchagulia.Ila ukimuita livingstone, zephyr na upuuzi mwingine anakuwa bora kuliko Pombe kweli? Mkumbuke Pombe aka Walwa Magufuli alivyowaamsha toka usingizini wakati akina Ali, Julius na Ben wakiwalaza usingizi wa kupotea.
Pia hajatuamsha nadhani amewaamsha watu wa huko Kanda ya ziwa sio hapa mjini watu tulibaki tunamuangalia tu alipojifanya yeye ni Simba wa nyika.Ila ukimuita livingstone, zephyr na upuuzi mwingine anakuwa bora kuliko Pombe kweli? Mkumbuke Pombe aka Walwa Magufuli alivyowaamsha toka usingizini wakati akina Ali, Julius na Ben wakiwalaza usingizi wa kupotea.
Ongea kwa herufi kubwa na uwazi nikuelewe. Kaja mara chato mara si utaje jina unaogopa nini wakati mtu mwenyewe ashajiondokea zake? Hivi SGR imejengwa kanda ya ziwa au unajifanya kipofu tu? Je mwendokasi uko kanda ya ziwa? Upanuzi wa uwanja JKNIA nao ni Musoma? Acheni unazi wa kifikra bila sababu za kitaalamu mwanangu.Pia hajatuamsha nadhani amewaamsha watu wa huko Kanda ya ziwa sio hapa mjini watu tulibaki tunamuangalia tu alipojifanya yeye ni Simba wa nyika.
Hivi jiulize umewahi kukutana na nyoka pale askari monument posta Dar es salaam??? Kaja mjini hapa tunamcheki tu, akajifanya oooh kama wewe ni mwanaume kweli ndani ya miaka mitano lazima uhame mjini, funny enough akaanza kuhama yeye Mara Dodoma, akajikuta Chato na habari yake ikaishia huko.
Tuheshimiane bana, ukija sehemu ukawakuta wenyeji salimia kwanza. Sasa ukiona wenyewe wanamuangalia tu usijimwambafai ujue kuna balaa linakufuata na hakuna atakayekushika sikio.
Samahani mwanangu. Sikujua kuwa kumbe nilijaribu kumpigia bata gitaa. Nisamehe. Mea culpa mea culpa.Pombe,
Sasa Nani ametaja Magufuli hapo??? Mie nimetaja jina la Pombe tu nakuchagulia jina la mwanao, hayo mengine sijui akina walwa , utayapeleka kwa babu yako atakuchagulia.
Mi nimetokea Kilakala MadiziniJina la mji mdogo morogoro upo mlimani,,kwa washua
Mimi wa Kilakala Madizini mkuu, kizalendo zaidiJina la mji mdogo morogoro upo mlimani,,kwa washua
Mi nimetokea Kilakala Madizini
Mimi wa Kilakala Madizini mkuu, kizalendo zaidi
Acha zako wewe,kwani lazima uwaze kwenye negativity Tu
Lulu
Furaha
neema
Waridi
Haya siyo majina mazuri ya Kiswahili ya kuwapa watoto mkuu? Wenzetu wapo ulaya lkn Wana wanawaita watoto "Dele Ali " " wale" na rotimi
Tuondoe hii dhana ya kila jina la Kiswahili ni Baya na kina mikosi asee!!!
Naongezea:
Upendo
Imara
Utukufu
Maua
Faraja
Hekima
Kunegunda
Mashauri
Ambangile
Mboka
Mobali
Nk.
Mengi kati ya hayo umetaja si majina ya WATU, bali ni VIELEZI tu au VIVUMISHI sijui [faraja, hekima, mashauri/mashauzi, upendo, utukufu, imara] na majina ya vitu [maua].
Ukisema majina ya kimila (kilugha) hapo sawa, Ambangile, Mboka, Mobali.
Hivyo, hakuna majina ya WATU ya KISWAHILI.
No ujinga,kutokujitambua,na utumwa wa fikra,Sahizi mtoto ukimuita majina kama Masanja, Mabula, Misoji, Minza, Rhobi na mengineyo mengi unaitwa mchawi pia unaabudu mizimu. Wengine huenda mbali na kudai mizimu ya mababu huwafuata watoto, acha tusonge hivi hivi.
[emoji3516]Mkuu ungekubali jina lako lingekuwa KISODA?
au NDUBWI?
Nimekuelewa Kaka,but the point ni kwamba; siyo lazima jina la Kiswahili liwe Baya km inavyodhaniwa,yaani siyo lazima umwite masumbuko au mateso kusha tuleteane mrejesho kwamba majina ya Kiswahili mabayaKimsingi hakuna majina WATU ya KISWAHILI labda useme majina ya KIMILA (kikabila). Hayo uliyotaja Lulu sijui Furaha sijui Neema ni VIELEZI au majina ya VITU vingine.
Niendelee?
Labda nikuulize swali mkuu..nini maana ya jina ambangileMengi kati ya hayo umetaja si majina ya WATU, bali ni VIELEZI tu au VIVUMISHI sijui [faraja, hekima, mashauri/mashauzi, upendo, utukufu, imara] na majina ya vitu [maua].
Ukisema majina ya kimila (kilugha) hapo sawa, Ambangile, Mboka, Mobali.
Hivyo, hakuna majina ya WATU ya KISWAHILI.