Kuwapiga wanawake hivi sio sawa hata kama ni wezi

Kuwapiga wanawake hivi sio sawa hata kama ni wezi

Ni Kwa vile tu wengi hawajui sheria lakini Hawa kina mama wanaweza kutajurika Kwa kwenda mahakamani kufungua kesi ya jinai kupigwa kuumizwa na shambulio la aibu...Baadae wakishinda jinai wafungue kesi ya madai kudhalilishwa na kuvunjiwa utu mbele ya jamii fidia b7
Ungelea Sheria watu wanaibiwa mpaka unafilisika acha hizo subiri siku uibiwe?
 
Ni Kwa vile tu wengi hawajui sheria lakini Hawa kina mama wanaweza kutajurika Kwa kwenda mahakamani kufungua kesi ya jinai kupigwa kuumizwa na shambulio la aibu...Baadae wakishinda jinai wafungue kesi ya madai kudhalilishwa na kuvunjiwa utu mbele ya jamii fidia b7
Wezi woote wanaokamaatwa huko mitaani si wangeshakuwa matajiri mkuu?
Wewe hauutaki utajiri? Si ujitolee uwakusanye uwashauri kwenda mahalamani wakadai mabioni yao halafu wewe unakula cha juu?
 
pumbaaf kabisa wote wanaopiga wanamke
Ingawa sikubaliani na kujichukulia sheria mkononi, ila kuna wanawake wezi na wanajua kabisa hawatadhibiwa kwa uanamke wao. Wangekuwa wanaume hao, wangeshakuwa maiti sasa hivi
 
Back
Top Bottom