econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Kwa hiyo kuwapiga ndio adhabu yake, hawakuwa tishio hao wangeweza kabisa kuwashika na kuita polisi, tuache kuishi kama wanyama
Mwizi yeyeote ni tishio.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo kuwapiga ndio adhabu yake, hawakuwa tishio hao wangeweza kabisa kuwashika na kuita polisi, tuache kuishi kama wanyama
Huyo anayepigwa amekamtwa kwa Mara ya pili anaiba. Mara ya Kwanza alikamatwa anaiba kwenye duka la jirani.
Hao wapumbavu ningewasukuma ndani ,hii clip kama ni current imfikie mama yetu,,kama ni ya tendo limefanyika Ndani TZ Territorial area ....
Sasa kama ameiba afanyweje mkuu? Labda useme adhabu aliyopewa ni kubwapumbaaf kabisa wote wanaopiga wanamke
Unajua nyie watanzania wengi ndo mnaofugaga matatizo. Ooh tumsamehe, ooh ni mmama hao ndo wanaofukuzisha wamama wenzao kazi, mtu kila siku dukani vitu vinapungua unaambiwa wewe ndo unaiba dukani kumbe mpumbavu mmoja tu.Kwa kosa gani?. Kwenye sheria hatuendi hivyo. Tunaangalia msabababishaji wa tukio. Hao vibaka wasingeenda happy dukani nani angewapiga?. Unaongea kana kwamba wamevamiwa kwao wakati wao ndio wamevamia dukani kwa mtu.
Adhabu ndogo hawajapigwa hata vitofaSasa kama ameiba afanyweje mkuu? Labda useme adhabu aliyopewa ni kubwa
Karucee njoo uwasute hao kina mama.ni bora hata wangetafuta wanawake wenzao ndo wawaadhibu au wawasute, naturally haijakaa vyema.
Wanaonekana ni watu wa pande za ziwa Victoria kule. Maana wale maeneo ya akina mura kule huwa hawanaga simile kwenye kutoa dozi mwanamke anakung'utwa kama si tatizo vile.Duh mbaya sana aisee. Halafu sijui kabila gani hawa majamaa wana sound warugaruga.
Naam! Nitaendelea kuwa katili mpaka wajitafutie njia sahihi ya kujipatia kipato, hatukuiba tulivyo navyo, tulivitafuta kwa jasho!Basi wewe ni mbaya kuliko hao wezi. Wewe ni katili kabisa.
I know. Wewe huwachukii kuliko mimi. Mwizi akikupatia kwenye anga zake anakuumiza vibaya sana na hata kukuua. Mimi nilichosema ni kutumia nguvu inayolingana na jinsi mwizi alivyokujia na anavyo-behave baada ya kumuweka kwenye ulinzi. Unaweza kumpa bakora ndiyo hasa ukizingatia kuwa polisi hawachukulii serious lakini siyo upige kama unaua. Hao kina mama kipigo walichopata hakiendani na haya niliyoelezea.Naam! Nitaendelea kuwa katili mpaka wajitafutie njia sahihi ya kujipatia kipato, hatukuiba tulivyo navyo, tulivitafuta kwa jasho!
Niliwekwa kati na wezi miaka fulani, mmoja wao alikuwa mwanamke, walikuwa na mapanga na bisibisi, walishawahi kuruka pia ukuta wakaiba kila kitu kwenye gari wakaniachia nusu gari, walishawahi kuiba dukani kwangu wakasafisha walivyoweza kusafisha! Worse enough ni pale walipomkata kata dada yangu panga, sina huruma na mwizi, jinsia yeyote
Wee unadhani walivyonaswa hapo hiyo ni siku yao ya kwanza?Waume zao wawapage pesa sio kutembeza miili mikubwa madukani kwa watu kumbe majizi