Kuwapiga wanawake hivi sio sawa hata kama ni wezi

Kuwapiga wanawake hivi sio sawa hata kama ni wezi

Wee unadhani walivyonaswa hapo hiyo ni siku yao ya kwanza?

Ukute wana maduka yao, wanakusanya wanaenda kuuzia madukani kwao.

Hapo mwanaume hauwezi jua lolote kuhusu uozo huo.

Unaagwa vizuri tu kuwa wanaenda mjini kununua vifaa na wala haombwi hela, ni michezo yao ya kila siku wanajifanya wajasiria mali.
Ni balaa sana kwa kweli.
 
Angefanikiwa kuiba,aliyeibiwa ingekuaje ?
Hapo swala sio mwanamke bali ni mwizi.
Kama unaona huyo mwanamke hakupaswa kupigwa namna hiyo basi hata mwanaume asingepaswa kupigwa namna .
Hii hata kwa wanyama haipo, kwa sisi tunaofuga mbwa tunaelewa namna mbwa anavyo react kama mbwa dume mwenzie akipita kwenye himaya yake ni tofauti na kwa mbwa jike. Ulishajiuliza kwa nini? ingawaje wote wamefanya kosa lile lile la kukatiza kwenye himaya yake lakini dume atashambuliwa na jike ataachwa au kupewa onyo kidogo. Hata polisi au magereza wanawake wanakuwa handled na askari wa kike.

Kama walilenga kutoa adhabu kwa nini wasiwaite wanawake wenzao, kuliko dume zima kujitia umwamba kuporomosha kipigo kwa mwanamke, huo ni upuuzi wa kiwango cha juu.​

Hao jamaa wachukuliwe hatua kwa kufanya ukatili hadharani kwa wanawake ili iwe fundisho.
Wanawapiga wezi sio wanawake. Sio kila mwizi ni mwanaume.
 
Hii hata kwa wanyama haipo, kwa sisi tunaofuga mbwa tunaelewa namna mbwa anavyo react kama mbwa dume mwenzie akipita kwenye himaya yake ni tofauti na kwa mbwa jike. Ulishajiuliza kwa nini? ingawaje wote wamefanya kosa lile lile la kukatiza kwenye himaya yake lakini dume atashambuliwa na jike ataachwa au kupewa onyo kidogo. Hata polisi au magereza wanawake wanakuwa handled na askari wa kike.

Kama walilenga kutoa adhabu kwa nini wasiwaite wanawake wenzao, kuliko dume zima kujitia umwamba kuporomosha kipigo kwa mwanamke, huo ni upuuzi wa kiwango cha juu.​

Hao jamaa wachukuliwe hatua kwa kufanya ukatili hadharani kwa wanawake ili iwe fundisho.
Swali langu liko pale pale angefanikiwa kuiba tungesemaje ? Hizi mambo za kusema adhabu ibague kwa kuwa mwizi ni mwanamke bado siiafiki.
Kuna wakati wanawake hao hao wanatumika kuweka mitego watu wanauawa na kuibiwa mali zao.
Kama anahitaji huruma ya kuwa mwanamke asimame kwenye jinsia yake na si vinginevyo
 
Wanavyochapwa wazazi wetu Hawa wanatafutia watoto wao dah so sad
Wanawatafutia watoto vibaka!

Unadhani mzazi mwizi kama hao, wanaweza kuwafundisha watoto wao kutenda mema, hasa masuala ya kuheshimu vitu vya watu?
 
Hii hata kwa wanyama haipo, kwa sisi tunaofuga mbwa tunaelewa namna mbwa anavyo react kama mbwa dume mwenzie akipita kwenye himaya yake ni tofauti na kwa mbwa jike. Ulishajiuliza kwa nini? ingawaje wote wamefanya kosa lile lile la kukatiza kwenye himaya yake lakini dume atashambuliwa na jike ataachwa au kupewa onyo kidogo. Hata polisi au magereza wanawake wanakuwa handled na askari wa kike.

Kama walilenga kutoa adhabu kwa nini wasiwaite wanawake wenzao, kuliko dume zima kujitia umwamba kuporomosha kipigo kwa mwanamke, huo ni upuuzi wa kiwango cha juu.​

Hao jamaa wachukuliwe hatua kwa kufanya ukatili hadharani kwa wanawake ili iwe fundisho.
kwannini waibe ilihali wanajua wao ni wa kike? if that the case... unaleta u-beijing kwenye mambo serious?
 
Nadhani waliamua kumalizana bila kuita polisi.
Kila jamii inaamua kuishi inavyotaka, kama mnataka kuishi kwa huo utaratibu wa kutoa hukumu za mtaani na kupiga au kuua watu ni sawa tuu endeleeni, ila siku yakikukuta wakaamua kumalizana na wewe usilalamike na hakuna pick and chose kosa gani umefanya maana kuna watu waliwahi kusingiziwa wachawi wakauliwa kwa kuchomwa moto, wengine waliitwa mashoga wakauwawa kwa kukatwa mikono, endeleeni tuu ndio utaratibu mliochagua
 
Kama kuna kitu WaTz wanapenda, ni kutesa wenzao! Akipata fursa ya kumpiga, basi ni kama hakuna mwisho.
Na hii si wezi tu.
Maofisini wanapata furaha kubwa sana kutesa wanaofata huduma. Hawapo kutatua shida za watu, kitu cha mwanzo ni kutafuta wapi wanaweza kukwamisha. Na kamwe hutapata maelekezo sahihi ya nini unapaswa kufanya ili shida yako ipate utatuzi.
 
Sina huruma na mwizi awe mwanamke au mwanaume wasagiwe heavily
 
wabongo tuna tabia za kikatili sana, Kwanini umdhalilishe mwenzio, Hio video ilikua ya maana gani kama si ukatili?
 
  • Thanks
Reactions: Auz
Ni udhaifu mno kumpiga mwanamke ata kama anakosa kubwa kiasi gan .
 
Na hii si wezi tu.
Maofisini wanapata furaha kubwa sana kutesa wanaofata huduma. Hawapo kutatua shida za watu, kitu cha mwanzo ni kutafuta wapi wanaweza kukwamisha. Na kamwe hutapata maelekezo sahihi ya nini unapaswa kufanya ili shida yako ipate utatuzi.
WaTz tuna roho mbaya, na ndio maana hatuendelei.
 
Aisee! wote mnao watetea hamjawahi kupigwa tukio na wezi,tena wa jinsia yá Kike.

Binafsi,walinisafishia pesa zote za kwenye droo,baada yá kuwaamini kupitia muonekano wao na jinsia Yao.

Kosa nililofanya ni kuwa ruhusu wajaribishe suti walizo zihitaji ndani yá duka.Nami kuwapa mgongo.Ili wajaribishe kwa uhuru.

Wezi ni wezi tu,usiwabague kwa jinsia yao.! Wakati wao wenyewe wanataka usawa na haki sawa. Hapo ilibidi mazingira yá watu wenye hasira Kali ya tengenezwe na wausike.

Kusingekuwa na muda wa kuchukua video na kuwapapasa hivyo.Kitu ambacho kitawaletea usumbufu na upotevu wa muda walio ibiwa.
 
Back
Top Bottom