Sol de Mayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 6,515
- 6,230
Hata wangepelekwa kituoni bado kuna watu wangelaumu
Watakaolaumu ni watu wasiokua na imani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata wangepelekwa kituoni bado kuna watu wangelaumu
Ukizikiliza vizuri ni kama kanda maalumuWengi wetu imani hakuna, hapo ni wapi na duka linamilikiwa na kabila lipi?
Wanapiga kibaguzi, huyo aliyenona wanampapasa
Kanda maalum bhana!!!
Halafu wanaowapiga ni wafanyakazi na wao Kila siku wanaeaibia walio waajiri. .....asiye na dhambi na awe wa kwanza kumrushia huyu jiwe..... Eee Bwana kama wewe ungehesabu maovu yetu nani angesimama? Lakini kwako Kuna msamaha ili wewe uogopwe
Kuna mtu wa kanda maalum kasikika hapo mwishoniHii ni kaskazini sio?
Ila wizi ni aibu Sana, sijui huyo mama atawambia Nini watoto wake.
Wakiwa na ushahidi sawa.
Ila kwa Video hii wanaweza piga pesa ndefu
Ha ha ha ....mzabzab Kama fisi wa nyikani, kila Mbususu inayokatiza usoni Ni kanyaga twende[emoji1]Hahahahaha mzabzab hapo ana mbinu za kuwala hivyo hivyo na asiupate[emoji23]
Sent from my SM-G800F using JamiiForums mobile app
hadi ukiona mwanamke ameiba ni nadra sana kuwa ni mwizi,na angekuwa mwizi sio rahisi kukamatwa sio mzoefu na uwwzekano mkubwa kuna shida kubwa imempelekea kufanya hivyo fanya tafiti kati ya wanawake na wanaume wanaofanya wizi wengi ni wapi...aslimia kubwa ni matatizo waliyopitia na kwa wenye hekima ukimkamata mqanamke anaiba sio kumpiga bali kumweka kitako umuulize sababu za yy kufanya hivyo na kumfanyia counselling...hata huyo unawmuona hapo naamini akihojiwa huenda watu wengi wangepatwa na huruma na sio kimshambulia....nakuhakikishia ningekuwepo hapo pangechimbika hakuna mtu angefanya huo ujinga wa kumpiga huyo mama mbele ya macho yangu kiukweli imeniuma sana na waungwana wote yatupasa kukemea unyanyasaji huu na kuutweza utu wa wanawake...isitoshe kama waliona amevunja sheria wangemfikisha kwenye vyombo vya sheria simple&clear
Warundi walio kariakooDuh mbaya sana aisee. Halafu sijui kabila gani hawa majamaa wana sound warugaruga.
Sio rahisi hivyo,nguvu ya sheria bongo uamuliwa na nguvu ya pesa uliyonayo Sasa hao wezi masikini wanahela ya kuendeshaaa kesiNi Kwa vile tu wengi hawajui sheria lakini Hawa kina mama wanaweza kutajurika Kwa kwenda mahakamani kufungua kesi ya jinai kupigwa kuumizwa na shambulio la aibu...Baadae wakishinda jinai wafungue kesi ya madai kudhalilishwa na kuvunjiwa utu mbele ya jamii fidia b7
Mwizi Hana jinsia kushughulikiwa ni haki yakeIssue siyo wanawake, hapo issue ni kuchukua sheria mkononi?
Kwani wanaume ndiyo wanatakiwa kuchukuliwa sheria mkononi?
Mfumo wa sheria hauwezi maliza tatizo la vibakaNafikiri kuna namna nzuri ya kudeal na vibaka
Fikiria mama yako ndo anafanyiwa hivyo 😞😞😞
Hivi wamepigwa kwasababu ni wanawake au kwasababu ni wezi?pumbaaf kabisa wote wanaopiga wanamke
Huna tofauti na hao wezi, jamii iliyostaarabika haifanyi hayo mambo ya kupiga watu ovyo, kuna utaratibu, kamata ita polisi au mamlaka inayohusika,wangekuwa tishio kwa wengineningeelewa lakini hao wanawake sio tishio kwa maisha ya wengine, hata polisi haruhusiwi kukupiga risasi ukikimbia, tuwe wastaarabu kidogo