Jumong S
JF-Expert Member
- Jul 3, 2013
- 7,385
- 10,659
Assume umekopa mkopo wa kausha damu Tsh 1,200,000 marejesho ni ya mwendo kasi... yaani kila wiki.
Upo zako unauza samaki ile saa 9 mchana, mzigo umebaki nusu, halafu mwizi anakwapua pochi lina Tsh laki 6.3, ndo unazitegemea ukalipe mkopo, watoto wapate chakula, ulipe kodi, upate na hela ya kuwatumia wazee kijijini wapate mlo na pesa ya palizi....
Kumbuka usipolipa wale wadeni wako watauza mpk godoro.
Haya wamekuja wameuza mpk jiko la mkaa baada ya kukosa hata sumni ya kuwalipa....
Unajipanga upya unakopa laki 4 unaanza tena biashara, from no whr kibaka anapita nazo kibabe....My friend, akikamatwa kale ka-utu kanapotea...we ni kutoa kipigo tu!
Hata polisi wakija wanakaa pembeni mmalize kwanza shughuri....
Sometimes mob justice inalipa. Mtaani kwetu tuliwaadabisha kadhaa, now pako shwari like 3 yrs now, washakariri huu mtaa ukiiba ujue haurudi na moyo wako....walitunyanyasa sana...tukachoka.
Kwa case ya clip hapo juu, the best way ya kumuadhibu huyo bila kumdharirisha, kama kweli kaiba ni kutumia njia nyeusi tu, akishakula kalai lake basi hata video hairekodiki!
Upo zako unauza samaki ile saa 9 mchana, mzigo umebaki nusu, halafu mwizi anakwapua pochi lina Tsh laki 6.3, ndo unazitegemea ukalipe mkopo, watoto wapate chakula, ulipe kodi, upate na hela ya kuwatumia wazee kijijini wapate mlo na pesa ya palizi....
Kumbuka usipolipa wale wadeni wako watauza mpk godoro.
Haya wamekuja wameuza mpk jiko la mkaa baada ya kukosa hata sumni ya kuwalipa....
Unajipanga upya unakopa laki 4 unaanza tena biashara, from no whr kibaka anapita nazo kibabe....My friend, akikamatwa kale ka-utu kanapotea...we ni kutoa kipigo tu!
Hata polisi wakija wanakaa pembeni mmalize kwanza shughuri....
Sometimes mob justice inalipa. Mtaani kwetu tuliwaadabisha kadhaa, now pako shwari like 3 yrs now, washakariri huu mtaa ukiiba ujue haurudi na moyo wako....walitunyanyasa sana...tukachoka.
Kwa case ya clip hapo juu, the best way ya kumuadhibu huyo bila kumdharirisha, kama kweli kaiba ni kutumia njia nyeusi tu, akishakula kalai lake basi hata video hairekodiki!