Kuwapiga wanawake hivi sio sawa hata kama ni wezi

Kuwapiga wanawake hivi sio sawa hata kama ni wezi

Kwa hiyo kuwapiga ndio adhabu yake, hawakuwa tishio hao wangeweza kabisa kuwashika na kuita polisi, tuache kuishi kama wanyama
Mkuu wezi sio watu wazuri hata kidogo ukiwapeleka polisi wanatolewa dhamana wanatoka then wanaendelea kuiba tena wengine wakitoka wanawatafuta waliowapeleka polisi wanaweza kukuua, dawa ya mwizi ni kipigo tu ila sisupport kuuwawa
 
Sio wanawake tuu. Hata wanaume kupigwa hivyo si sawa
Tuschukue sheria mkononi
Unaamka asubuh unakuta nyavyu ichana mwizi kapita cm ya suruali yako ulo8 Jana uliotundika ktk msumari.
 
Hichi kitendo kimeambatana na Ukatili.

View attachment 2628980
13238861_1039005906183623_2295481478542966665_n.jpg
 
Itakua hajaibiwa bado wezi ni watu hatari kwenye anga zao

kuna jmaa mmoja katoka zake bush kaja town kapambana mishe zake zenyewe kubeba cargo sokoni kazi ngumu balaa, kjipanga kama miaka miwili hvi akapanga chumba na ndani vitu alikua kashajaza wahuni walipita na chumba kizima,

Kuna mwengne alikuwa anarudi nyumbani usiku kakutana na vibaka wakataka kumpora akawabishia walimchana chana na viwembe uso mzima na wakamwibia kila kitu.

Halafu niambie mtu kama huyu akutane na mwizi eti asi.pige sasa amfanye nini tena hao wamama hawajapigwa kabisa sijui wanaosikugika wanasikitika nini
Mtu wa hivyo mkuu unaachana naye hajui maumivu watu wanaopitia, jamaa alibiwa vitu ndani pamoja na document za ofisi aliweka kwenye begi wakadhani ni pesa, alikaa ndani mwaka mzima ofisi ikajua anawachezea game halafu huyo mtu akutane na mwizi kwamba amwambie hongera
 
Kuna upigaji mwingine siyo mtu unampiga kichwani akifariki inakuaje, hiyo si adhabu, kingine wanao mpiga ni watoto wanao weza kuita mama.......
Wizi sio mzuri ila sijapenda hao kupigwa style hiyo.
 
Hata mimi imenikwanza sana, mwanaume inakuwaje unampiga hivyo mwanamke............hata hapa nimebishana na wife nikamweleza ni bora hata wangetafuta wanawake wenzao ndo wawaadhibu au wawasute, naturally haijakaa vyema.
Angefanikiwa kuiba,aliyeibiwa ingekuaje ?
Hapo swala sio mwanamke bali ni mwizi.
Kama unaona huyo mwanamke hakupaswa kupigwa namna hiyo basi hata mwanaume asingepaswa kupigwa namna .
 
hadi ukiona mwanamke ameiba ni nadra sana kuwa ni mwizi,na angekuwa mwizi sio rahisi kukamatwa sio mzoefu na uwwzekano mkubwa kuna shida kubwa imempelekea kufanya hivyo fanya tafiti kati ya wanawake na wanaume wanaofanya wizi wengi ni wapi...aslimia kubwa ni matatizo waliyopitia na kwa wenye hekima ukimkamata mqanamke anaiba sio kumpiga bali kumweka kitako umuulize sababu za yy kufanya hivyo na kumfanyia counselling...hata huyo unawmuona hapo naamini akihojiwa huenda watu wengi wangepatwa na huruma na sio kimshambulia....nakuhakikishia ningekuwepo hapo pangechimbika hakuna mtu angefanya huo ujinga wa kumpiga huyo mama mbele ya macho yangu kiukweli imeniuma sana na waungwana wote yatupasa kukemea unyanyasaji huu na kuutweza utu wa wanawake...isitoshe kama waliona amevunja sheria wangemfikisha kwenye vyombo vya sheria simple&clear
Mwizi ni mwizi tu haijalishi kama ni mwanamke au mwanaume. Kama unaweza kuwa na muda wa kumdadisi mwizi mwanamke kwa nini usipate muda kama huo wa kumpakata mwizi mwanaume na kumdadisi mazingira yaliyopelekea kujiingiza kwenye wizi? Issue kubwa au tatizo hapa ni mtu au watu kujichukulia sheria mkononi. Sympathy zingine tunazoonyeshwa na baadhi ya wachangiaji ni zile za "mitandaoni" tu lakini pindi ukiibiwa utabadilisha kauli.
 
Unaweza kuta hapo ameamua kufanya hivyo kwa ajili ya watoto, watoto wanalia njaa na yeye hana njia mbadala. Jamaa yake haeleweki. Watu wakiwashika wanawake dizaini hii lazima wawahoji kwa kina bila kuwaadhibu hivi. Wanaweza kupata ukweli ambao wenyewe ukawatoa machozi.
BTW, wanawake msijichukulie maamuzi mnapokua na wakati mgumu, tafuteni watu wa kuwaelezea
Hao wapumbavu ningewasukuma ndani ,hii clip kama ni current imfikie mama yetu,,kama ni ya tendo limefanyika Ndani TZ Territorial area ....
 
Back
Top Bottom