Firdaus9
JF-Expert Member
- Jun 22, 2022
- 1,196
- 2,797
KwakwelWaume zao wawapage pesa sio kutembeza miili mikubwa madukani kwa watu kumbe majizi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KwakwelWaume zao wawapage pesa sio kutembeza miili mikubwa madukani kwa watu kumbe majizi
Kwann mwanamke asipigwe? Kwani Si haki Sawa kwa wote au?pumbaaf kabisa wote wanaopiga wanamke
hadi ukiona mwanamke ameiba ni nadra sana kuwa ni mwizi,na angekuwa mwizi sio rahisi kukamatwa sio mzoefu na uwwzekano mkubwa kuna shida kubwa imempelekea kufanya hivyo fanya tafiti kati ya wanawake na wanaume wanaofanya wizi wengi ni wapi...aslimia kubwa ni matatizo waliyopitia na kwa wenye hekima ukimkamata mqanamke anaiba sio kumpiga bali kumweka kitako umuulize sababu za yy kufanya hivyo na kumfanyia counselling...hata huyo unawmuona hapo naamini akihojiwa huenda watu wengi wangepatwa na huruma na sio kimshambulia....nakuhakikishia ningekuwepo hapo pangechimbika hakuna mtu angefanya huo ujinga wa kumpiga huyo mama mbele ya macho yangu kiukweli imeniuma sana na waungwana wote yatupasa kukemea unyanyasaji huu na kuutweza utu wa wanawake...isitoshe kama waliona amevunja sheria wangemfikisha kwenye vyombo vya sheria simple&clearMwanamke mwenye tabia ya wizi ni pambo wapi na kwa nani?
Sikiliza ndugu yangu hata kwenye uislamu Allah ambae ni muumba mbingu na nchi kaagiza mwizi akatwe mkono,wezi ni watu wabaya sana na ili kuwatokomeza dawa yao ni moja tu kuwachoma moto tu hiyo ndio haki yaoWangewapeleka kwenye mamlaka husika.Kwa kipigo hicho akifa mmoja kwa fimbo kupiga sehemu hatarishi za mwili watajua hawajui.Kweli inaumiza kuibiwa lakini hasira zinaweza kukuletea balaa kubwa zaidi.Mob Justice sio suluhisho.
Unachimba mikwara huku umepaka lotion usoni eti pangechimbika... mwizi ni mwizi awe mwanamke au mwanaume haki yao wakikamatwa ni kuadhibiwa tuhadi ukiona mwanamke ameiba ni nadra sana kuwa ni mwizi,na angekuwa mwizi sio rahisi kukamatwa sio mzoefu na uwwzekano mkubwa kuna shida kubwa imempelekea kufanya hivyo fanya tafiti kati ya wanawake na wanaume wanaofanya wizi wengi ni wapi...aslimia kubwa ni matatizo waliyopitia na kwa wenye hekima ukimkamata mqanamke anaiba sio kumpiga bali kumweka kitako umuulize sababu za yy kufanya hivyo na kumfanyia counselling...hata huyo unawmuona hapo naamini akihojiwa huenda watu wengi wangepatwa na huruma na sio kimshambulia....nakuhakikishia ningekuwepo hapo pangechimbika hakuna mtu angefanya huo ujinga wa kumpiga huyo mama mbele ya macho yangu kiukweli imeniuma sana na waungwana wote yatupasa kukemea unyanyasaji huu na kuutweza utu wa wanawake...isitoshe kama waliona amevunja sheria wangemfikisha kwenye vyombo vya sheria simple&clear
Hao wanaotetea wezi ni machoko tu hawajawahi kuibiwa kiasi cha kubaki maskiniHUjawahi kutana na madhila ya wezi ww!
Mwizi mwizi tu! Mimi wakiniibia napiga na mapanga sio fimbo!
Wapi?Kuna kitoto juzi ni under 16 kimechomwa moto walidhani ni mwizi wa simu kumbe simu zilikuwa zinafanana.
Waliohusika wamekamatwa wapo kolokoloni
so ile 50/50 ina mipaka?sio duniani tu hata kwa Mungu kuna sheria zinaapply kwa mwanaume ila kwa mwanamke haiapply...ndio maana vitabu vinatuambia tumewaumbia wanawake kama pambo kwetu wanaume na ukweli usiopingika wanawake ni viumbe dhaifu kwa wanaume lazima tuwahandle with care(they are fragile) Always ukiona mwanaume anabull mwanamke jua hajakamilika
Mie kuna mdogo wangu hapo Kariakoo aliibiwa mzigo wa takriban 600k kwa style ya mmoja anajifanya anachagua huku ana mkinga muuzaji huku mwingine akiiba. Acha watandikwe tuWezi wanakera sana..ibiwa siku moja ndo utajua uchungu wake...hapo bado hawajapigwa vizuri..inatakiwa paka wachakaee...
Na wanawake wengi saivi wanatumika sana kwa uwizi kwenye maduka ya nguoo na viatu...
Na wanajua wakikamatwa watapata huruma ya wananchi kisaa tuu ni wanawake ili wasipate kibano
Piga picha unafanya kazii halafu unaibiwa unajisikiaje hapo ukatwe mshahara wengine wanafukuzwa kabisa.Kwakwel
Ona sasaMie kuna mdogo wangu hapo Kariakoo aliibiwa mzigo wa takriban 600k kwa style ya mmoja anajifanya anachagua huku ana mkinga muuzaji huku mwingine akiiba. Acha watandikwe tu
Kwani mwenye duka hana Mungu?hadi ukiona mwanamke ameiba ni nadra sana kuwa ni mwizi,na angekuwa mwizi sio rahisi kukamatwa sio mzoefu na uwwzekano mkubwa kuna shida kubwa imempelekea kufanya hivyo fanya tafiti kati ya wanawake na wanaume wanaofanya wizi wengi ni wapi...aslimia kubwa ni matatizo waliyopitia na kwa wenye hekima ukimkamata mqanamke anaiba sio kumpiga bali kumweka kitako umuulize sababu za yy kufanya hivyo na kumfanyia counselling...hata huyo unawmuona hapo naamini akihojiwa huenda watu wengi wangepatwa na huruma na sio kimshambulia....nakuhakikishia ningekuwepo hapo pangechimbika hakuna mtu angefanya huo ujinga wa kumpiga huyo mama mbele ya macho yangu kiukweli imeniuma sana na waungwana wote yatupasa kukemea unyanyasaji huu na kuutweza utu wa wanawake...isitoshe kama waliona amevunja sheria wangemfikisha kwenye vyombo vya sheria simple&clear
KabisaaaaaNa mwenye duka anafungua kesi ya wizi na upotev wa mali na uharibifu..fidia b10...
Theoretical...so ile 50/50 ina mipaka?