Kuwapiga wanawake hivi sio sawa hata kama ni wezi

Kuwapiga wanawake hivi sio sawa hata kama ni wezi

sio duniani tu hata kwa Mungu kuna sheria zinaapply kwa mwanaume ila kwa mwanamke haiapply...ndio maana vitabu vinatuambia tumewaumbia wanawake kama pambo kwetu wanaume na ukweli usiopingika wanawake ni viumbe dhaifu kwa wanaume lazima tuwahandle with care(they are fragile) Always ukiona mwanaume anabull mwanamke jua hajakamilika
Mwanamke mwenye tabia ya wizi ni pambo wapi na kwa nani?
 
Ni Kwa vile tu wengi hawajui sheria lakini Hawa kina mama wanaweza kutajurika Kwa kwenda mahakamani kufungua kesi ya jinai kupigwa kuumizwa na shambulio la aibu...Baadae wakishinda jinai wafungue kesi ya madai kudhalilishwa na kuvunjiwa utu mbele ya jamii fidia b7
Na huko kuiba kwao je!
 
Hata mimi imenikwanza sana, mwanaume inakuwaje unampiga hivyo mwanamke............hata hapa nimebishana na wife nikamweleza ni bora hata wangetafuta wanawake wenzao ndo wawaadhibu au wawasute, naturally haijakaa vyema.
Vipi wewe hujawahi mpiga mkeo ngumi? Au ni kwasababu jf tunadanganyana?
 
Unaweza kuta hapo ameamua kufanya hivyo kwa ajili ya watoto, watoto wanalia njaa na yeye hana njia mbadala. Jamaa yake haeleweki. Watu wakiwashika wanawake dizaini hii lazima wawahoji kwa kina bila kuwaadhibu hivi. Wanaweza kupata ukweli ambao wenyewe ukawatoa machozi.
BTW, wanawake msijichukulie maamuzi mnapokua na wakati mgumu, tafuteni watu wa kuwaelezea
Hivi wewe unaibiwa utamhoji mtu kweli mazingira hayo? Usiombe kuibiwa, mfano unafanya kazi kwa mtu unaibiwa halafu muuzaji unakatwa mshahara omba unavyoumia nayeye pia anafamillia pia.
 
Sijapata kuona Wanaume Mashoga kama hawa, Yaani hawajui kabisa kupiga mtu. Wanatekenya wake za watu wanasems wanapiga Mwiz?
Duu umetisha [emoji32][emoji32][emoji32][emoji32]
 
sio duniani tu hata kwa Mungu kuna sheria zinaapply kwa mwanaume ila kwa mwanamke haiapply...ndio maana vitabu vinatuambia tumewaumbia wanawake kama pambo kwetu wanaume na ukweli usiopingika wanawake ni viumbe dhaifu kwa wanaume lazima tuwahandle with care(they are fragile) Always ukiona mwanaume anabull mwanamke jua hajakamilika
Ila kwenye kwenye kuiba ndiyo poa ,kupigwa viumbe dhaifu acha wafundishwe adabu, kama yule mama arusha aliyefumaniwa na kudundwa
 
sio duniani tu hata kwa Mungu kuna sheria zinaapply kwa mwanaume ila kwa mwanamke haiapply...ndio maana vitabu vinatuambia tumewaumbia wanawake kama pambo kwetu wanaume na ukweli usiopingika wanawake ni viumbe dhaifu kwa wanaume lazima tuwahandle with care(they are fragile) Always ukiona mwanaume anabull mwanamke jua hajakamilika
Hao viumbe dhaifu ndo tumesisitizwa tuishi nao kwa akili
 
Hata mimi imenikwanza sana, mwanaume inakuwaje unampiga hivyo mwanamke............hata hapa nimebishana na wife nikamweleza ni bora hata wangetafuta wanawake wenzao ndo wawaadhibu au wawasute, naturally haijakaa vyema.
Sasa sii bora hao wamewapiga wengine wangewala tigo kabisa
 
ishu inakuja kwenye vidhibiti ulivyomshika navyo huyo mwizi viko wapi..?? hapo wao wenyewe wameshaharibu mazingira
Unazani vidhibiti havippo pale, wamepigwa mpaka mikoba yao wametupa
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom