Kuwapiga wanawake hivi sio sawa hata kama ni wezi

Kuwapiga wanawake hivi sio sawa hata kama ni wezi

Ni Kwa vile tu wengi hawajui sheria lakini Hawa kina mama wanaweza kutajurika Kwa kwenda mahakamani kufungua kesi ya jinai kupigwa kuumizwa na shambulio la aibu...Baadae wakishinda jinai wafungue kesi ya madai kudhalilishwa na kuvunjiwa utu mbele ya jamii fidia b7
Unaweza kuta hapo ameamua kufanya hivyo kwa ajili ya watoto, watoto wanalia njaa na yeye hana njia mbadala. Jamaa yake haeleweki. Watu wakiwashika wanawake dizaini hii lazima wawahoji kwa kina bila kuwaadhibu hivi. Wanaweza kupata ukweli ambao wenyewe ukawatoa machozi.
BTW, wanawake msijichukulie maamuzi mnapokua na wakati mgumu, tafuteni watu wa kuwaelezea
 
Kwani dheria zilizokamilika zina hukumu tofauti kwa mwizi wa kike?
sio duniani tu hata kwa Mungu kuna sheria zinaapply kwa mwanaume ila kwa mwanamke haiapply...ndio maana vitabu vinatuambia tumewaumbia wanawake kama pambo kwetu wanaume na ukweli usiopingika wanawake ni viumbe dhaifu kwa wanaume lazima tuwahandle with care(they are fragile) Always ukiona mwanaume anabull mwanamke jua hajakamilika
 
Real Men never bull women!
Acha ujinga wewe, jama wameiba inatakiwa wale stiki tena zaidi ya hizo. Ningekuwa mimi ningewavua nguo na kuwalamba stiki mpaka makalio yatoke damu na yachanike ili siku nyingine akiona alama ajue wizi mbaya. Hawajapigwa hao, inatakiwa waachwe na ukumbusho usoni/mwilini mwao. Binadamu haendi bila kufanyiwa ukatili.
 
Acha ujinga wewe, jama wameiba inatakiwa wale stiki tena zaidi ya hizo. Ningekuwa mimi ningewavua nguo na kuwalamba stiki mpaka makalio yatoke damu na yachanike ili siku nyingine akiona alama ajue wizi mbaya. Hawajapigwa hao, inatakiwa waachwe na ukumbusho usoni/mwilini mwao. Binadamu haendi bila kufanyiwa ukatili.
Duuh!! ukatili spirit
 
sio duniani tu hata kwa Mungu kuna sheria zinaapply kwa mwanaume ila kwa mwanamke haiapply...ndio maana vitabu vinatuambia tumewaumbia wanawake kama pambo kwetu wanaume na ukweli usiopingika wanawake ni viumbe dhaifu kwa wanaume lazima tuwahandle with care(they are fragile) Always ukiona mwanaume anabull mwanamke jua hajakamilika
Huku Mbinguni hatutafika muafaka sababu kila Mbingu yake ina taratibu zake za kufika na ina zawadi na mapokezi ya aina yake kulingana na anavyoamini amefikaje.

Hasara anayoipata aliyeibiwa itabaki kuwa hasara ileile bila kujali amesababishiwa na mwanamke au mwanaume.

Hoja kuu hapa ni kutochukua sheria mkononi, bila kujali ni dhidi ya mwanaume au mwanamke. Huna hoja ya kuweza kutete kuwa mwanaume mdiye aadhibiwe na mwanamke aachiwe
 
Acha ujinga wewe, jama wameiba inatakiwa wale stiki tena zaidi ya hizo. Ningekuwa mimi ningewavua nguo na kuwalamba stiki mpaka makalio yatoke damu na yachanike ili siku nyingine akiona alama ajue wizi mbaya. Hawajapigwa hao, inatakiwa waachwe na ukumbusho usoni/mwilini mwao. Binadamu haendi bila kufanyiwa ukatili.
ndio maana nikasema Real man sijamaaniaha wote,sikushangai kwa maana unaonekana sio mmojawapo so endelea kuwala stiki bt if you are Real Man you will Never do that
 
Back
Top Bottom