Dr Rutagwerera Sr
JF-Expert Member
- Dec 21, 2011
- 5,809
- 11,462
Kama ni demu kimbambau unachapa tu. Ila wenye mizigo hapana. Demu wenye mzigo wa duara uliokaa vema ni tunu hata Museveni alisema.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwizi ni mwizi tu, hakuna cha mwanamke wala mwanaume..ni kipigo cha mbwa koko tu, tena bora huyo anapigwa na fimbo, ilifaa apigwe mawe wamalizie na tairi na kiberiti.
Real man ya NIOKO.ndio maana nikasema Real man sijamaaniaha wote,sikushangai kwa maana unaonekana sio mmojawapo so endelea kuwala stiki bt if you are Real Man you will Never do that
Walivyoumuka Kama wanatumia arv,Hawa dawa Yao ilikuwa kuwala kwa zamu! Na Wala wasingekataa
Kwa kuwa ni mwanamke.
Hawa wakamatwe,waliofanya ukatili huu.Ilitakiwa wampeleke kwenye vyombo vya sheria.Sio ukatili huu.
Mwanamke kuiba kuna mahali mwanaume amekoseaMwizi apigwe, ukiwapeleka Polisi wanadhaminiwa
Kuna mahali Mwanaume hajaplay part yake vizuriKuibiwa kunauma, yahitaji moyo kuvumilia mwizi.
Akishakuwa mwizi tunamtoa kwenye kundi la wanawake, tunamuweka kwenye kundi la wezi.. Kipigo tu
Hatuko sawa mkuu.Wasipigwe wenyewe wamekuwa akina nani naona upendeleo wa wanawake unataka kuvuka mipaka
Ndio aibe!?Kuna mahali Mwanaume hajaplay part yake vizuri
Aisee, unamaanisha kuwabaka?Hawa dawa Yao ilikuwa kuwala kwa zamu! Na Wala wasingekataa
Unadhani upendeleo kwao uwe katika maeneo ganiHatuko sawa mkuu.
kimaumbile tunatofautiana sana
Part gani tena, si tulishakubaliana 50/50?Kuna mahali Mwanaume hajaplay part yake vizuri