Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha zako. Wanaume nao je?. Mwizi ni mwizi tu. Kuchukua sheria mkononi ndio hatakiwi tena kwa wote. Wanawake hivi sasa ni manunda kweliUnaweza kuta hapo ameamua kufanya hivyo kwa ajili ya watoto, watoto wanalia njaa na yeye hana njia mbadala. Jamaa yake haeleweki. Watu wakiwashika wanawake dizaini hii lazima wawahoji kwa kina bila kuwaadhibu hivi. Wanaweza kupata ukweli ambao wenyewe ukawatoa machozi.
BTW, wanawake msijichukulie maamuzi mnapokua na wakati mgumu, tafuteni watu wa kuwaelezea
Wacha weeeeee, real men unamaanisha nini?ndio maana nikasema Real man sijamaaniaha wote,sikushangai kwa maana unaonekana sio mmojawapo so endelea kuwala stiki bt if you are Real Man you will Never do that
Jifanyeni wema tu kwa wanadamu, mtakuja juta siku moja.Duuh!! ukatili spirit
hujakutana na wale wanatembea wanne wanne wamejichubua wakikukosa sana bandle wanakuibia mzigo mpaka wa milioni kwa haraka faida ya week mbilipumbaaf kabisa wote wanaopiga wanamke
Tatizo wakuu mnaangalia upande mmoja tu wa shilingi.Sio wanawake tuu. Hata wanaume kupigwa hivyo si sawa
Tuschukue sheria mkononi
Duh mbaya sana aisee. Halafu sijui kabila gani hawa majamaa wana sound warugaruga.
Mwizi hana ubavu wa kufungua kesi ya malalamiko wala madai ya fidia baada ya kupondwa na kadamnasi yenye hasira.Ni Kwa vile tu wengi hawajui sheria lakini Hawa kina mama wanaweza kutajurika Kwa kwenda mahakamani kufungua kesi ya jinai kupigwa kuumizwa na shambulio la aibu...Baadae wakishinda jinai wafungue kesi ya madai kudhalilishwa na kuvunjiwa utu mbele ya jamii fidia b7
inasikitisha kwakweli
ishu inakuja kwenye vidhibiti ulivyomshika navyo huyo mwizi viko wapi..?? hapo wao wenyewe wameshaharibu mazingiraNa mwenye duka anafungua kesi ya wizi na upotev wa mali na uharibifu..fidia b10...
Adui ninamuweza simuachii MunguSio wanawake tuu. Hata wanaume kupigwa hivyo si sawa
Tuschukue sheria mkononi