Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Real Men never bull women!
Duuuuh makubwaaa khaaaaah.Kipindi cja sikukuu hasa hizi za Eid ya baada ya Ramadhan, huwa wanaendaga maduka ya nguo/ viatu wakiwa wamevaa mabaibui wanaenda watatu watatu.
Kuna mmoja Tandika aliiba duka fulani corridor yake kumejificha ficha kidogo wahuni wakataka wamf**re, walishaitana itana na ndoms zao
Ni wanaume wa hovyo
Mwanaume anayepiga mwanamke asiyeweza kujitetea ni mwanaume wa hovyo kabisa
Ha ha ha.....ukweli lazima usemwe mkuu, hao wanawake ukiwaangalia hawana nuru KABISA usoni. Kama wanaishi kwa matumaini[emoji1][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] my role model ni wewe wa kuongea hayo kweli?
Sent from my SM-G800F using JamiiForums mobile app
Km ni mwiziiiii?? Acha apigwe tyuuh.Fikiria mama yako ndo anafanyiwa hivyo [emoji20][emoji20][emoji20]
Yan watu wa ajab sn et kisa wezi ni wanawake ndo wakipigwa unyanyasaji, ila wa kiume sio unyanyasaji... mnawaendekeza sana hawaMwizi apigwe haijalishi umri, jinsia, rangi, taifa.
Mwizi apigwe ili akikumbuka aache wizi
Unapenda kutetea Usenge wewe . Sijui kwanini ?Sasa ushoga unahusu nn hapaa? Watu mmevurugwaaa? Wizi kwa wanawake na ushoga wapi na wapii???
Nimeumia sana aise dah💔💔😔😔
Watu wazima kabisa masikini
ishu inakuja kwenye vidhibiti ulivyomshika navyo huyo mwizi viko wapi..?? hapo wao wenyewe wameshaharibu mazingira
Hahahahaha mzabzab hapo ana mbinu za kuwala hivyo hivyo na asiupate[emoji23]Ha ha ha.....ukweli lazima usemwe mkuu, hao wanawake ukiwaangalia hawana nuru KABISA usoni. Kama wanaishi kwa matumaini[emoji1]
Usiku wanaombwa pumziko kesi kwishneyWangewapeleka kwenye mamlaka husika.
Kwahiyo nisiseme ukweli? Kila tatizo linasababishwa na ushoga?, hivi mko timamu kichwani? Kwahiyo wanawake wakiwa wezi basi ushoga unaongezeka zaidi?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unapenda kutetea Usenge wewe . Sijui kwanini ?
Hawa wakamatwe,waliofanya ukatili huu.Ilitakiwa wampeleke kwenye vyombo vya sheria.Sio ukatili huu.
Wanapiga kibaguzi, huyo aliyenona wanampapasa
Hata wangepelekwa kituoni bado kuna watu wangelaumuWasingeenda kuiba dukani nani angewapiga?
Tatizo mnaliruka suala la wizi kimakusudi. Wasingeenda kuiba dukani nani angewapiga?. Mwizi ni mwizi tu.