secretagent
JF-Expert Member
- Jul 30, 2022
- 204
- 317
Ni maisha sidhani kamaWanawatafutia watoto vibaka!
Unadhani mzazi mwizi kama hao, wanaweza kuwafundisha watoto wao kutenda mema, hasa masuala ya kuheshimu vitu vya watu?
Sasa si bora huyu anachezewa tu, Uarabuni ama nchi za Kiarab anauliwa huyu.
Ungelea Sheria watu wanaibiwa mpaka unafilisika acha hizo subiri siku uibiwe?Ni Kwa vile tu wengi hawajui sheria lakini Hawa kina mama wanaweza kutajurika Kwa kwenda mahakamani kufungua kesi ya jinai kupigwa kuumizwa na shambulio la aibu...Baadae wakishinda jinai wafungue kesi ya madai kudhalilishwa na kuvunjiwa utu mbele ya jamii fidia b7
Wezi woote wanaokamaatwa huko mitaani si wangeshakuwa matajiri mkuu?Ni Kwa vile tu wengi hawajui sheria lakini Hawa kina mama wanaweza kutajurika Kwa kwenda mahakamani kufungua kesi ya jinai kupigwa kuumizwa na shambulio la aibu...Baadae wakishinda jinai wafungue kesi ya madai kudhalilishwa na kuvunjiwa utu mbele ya jamii fidia b7
Ingawa sikubaliani na kujichukulia sheria mkononi, ila kuna wanawake wezi na wanajua kabisa hawatadhibiwa kwa uanamke wao. Wangekuwa wanaume hao, wangeshakuwa maiti sasa hivipumbaaf kabisa wote wanaopiga wanamke